F9T
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,677
- 4,959
Ndo tatizo lilipo.Inawezekana kuna watu wana maslahi binafsi..haiwezekani taasisi zote hizo bado pawe na shida mahali...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo tatizo lilipo.Inawezekana kuna watu wana maslahi binafsi..haiwezekani taasisi zote hizo bado pawe na shida mahali...
Kwa nini kuandikia mate? Shabiby anaahidi bei kupungua chini ya 50%?
Kwanini asipewe nafasi kama Masudi Kipanya ku prove gari lake la umeme?
Unautaka na nani?Anakuwa je mpigaji kupendekeza msingi wa kupunguza bei kufikia 50%?
Kama huo ni upigaji kwa hakika huo ndiyo tunaoutaka!
brazaj hamna chochote huyu Mh ni mjanja mjanja tu. Huu ushauri wake utaingiza serikali chaka. Yaangaliwe mapungu kwenye bulk procument yarekebishwe na serikali itoe ruzuku kwenye mafuta. Kwani serikali inashindwa nini kufanya bulk procument kutoka kwenye hizo meli zilizo huko deep sea zinazotafuta wateja?
Mchawi mpe mwana alee taabu iko wapi?
Mfanye Shabiby kinara akashushe bei hata 40% tu.
Shida iko wapi ndugu?
Unautaka na nani?
CHADEMA siyo wazalendo kabisa.
Asubiri Chadema ishinde ndio impe nafasi!Kwa nini kuandikia mate? Shabiby anaahidi bei kupungua chini ya 50%?
Kwanini asipewe nafasi kama Masudi Kipanya ku prove gari lake la umeme?
Hakuna kitu kama hicho kwa bepari. Akijitahidi atapunguza tushilingi kadhaa basi. Nini ambacho Mh Shabibu anaweza kufanya ambacho serikali haiwezi? Serikali wafanye ambacho Mh Shabibu atakifanya kupunguza bei ya mafuta.
kabisa mkuu. Kikubwa wananchi tunataka bei ya mafuta ishuke .Shabiby anaongea point, katika yote watakayoongea mwisho wake sisi tunataka kuona mafuta yamepungua bei ifikie ile wakati magufuri yupo 1600-200/l
Bei zishuke lakini kwa kufuata sheria na taratibu.Wewe hutaki bei kupungua? Tunataka sisi tunaopinga uhuni na kuhitaji bei kupungua.
Kama bei inapungua na shetani ndiye kafanya hilo nini taabu?
Kama bei zinapanda na mpandishaji ni malaika.
Malaika huyo basi hatumtaki aende kuongoza wenziwe huko.
Hatutaki wahuni hapa. Uhuni ni kutupandishia bei na kukataa juhudi zozote za bei kushuka kwa jina lolote.
Habari ndiyo hiyo.
Asubiri Chadema ishinde ndio impe nafasi!
Kwanini hamtaki kumpa nafasi kufanya hilo?
Kwanini kuandikia mate?
Bei zishuke lakini kwa kufuata sheria na taratibu.
Hatutaki serikali ikose chanzo cha mapato, matokeo yake deni la taifa lina skyrocket.
Tanzania itajengwa na Watanzania, serikali ikusanye kodi na kuzuia ama kupunguza ukwepaji.
kwa hayo kiparangoto Ndo mzalendo ?Unautaka na nani?
CHADEMA siyo wazalendo kabisa.
Suala la hili la mufuta ni very senstive kwa nchi huwezi kuchezea shilingi kwenye shimo la choo.
Kwahiyo kama CHADEMA mngekuwa madarakani mngeruhusu waingize kiholela?Mapato ya serikali? Kama hata huko nako shida watashauriwa cha kufanya.
Tuungane kukataa wahuni.
Hayati Magufuli.kwa hayo kiparangoto Ndo mzalendo ?
Kufikisha bei 3,000/- kwa Lita waona halali hata kama linaweza kuepukwa?