Kwahiyo kama CHADEMA mngekuwa madarakani mngeruhusu waingize kiholela?
Kuingiza kiholela maana yake nini?
Shabiby kasema wazi mafuta yote yanaingia kupitia kwenye flow meter.
Achana na ukereketwa wa kivyama. Maendeleo hayana chama!
Tuungane kukataa wahuni!
Mzizi wa fitina uko hapo.