Kuwekwa kwa somo ya Kiislamu kwenye Tahasusi kunaashiria nini?

Mjinga na mpumbavu ni Jitu jeusi tii, linalovaa Kama mwarabu, kufuga midevu Kama mwarabu, kuongea Kama mwarabu na kuona kila mwarabu Kama ndio mtume wake.

Hopeless dog
Childhood mates hamkopeshagi Wajinga, ni tit for tat, nimecheka kinyama na hii pp yako [emoji116][emoji23]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Watu kama wewe tunawahitaji katika kusimamia mienendo ya nchi hii.

Lakini hata kama ukisema kwa zanzibar ni sawa.
Mimi nitakataa kwasababu sidhani kama zanzibar ni nchi ya kidini.
Kuna watu ambao si islamic kule na wanalipa kodi.
Hapo inakuwaje!?
 
Hapo sijaona cha maana kwasababu masomo ya dini huwa hayazingatiwi kwenye ufaulu.
 
Unipashe mambo yako ya ushoga? Mbweha we
Tatizo mnachanganya sana kati ya UKRISTO na dini.
1. Ukristo
2. Dini
MAANA YAKE
-Ukristo ni kufuata amri kuu za Mungu na kuamini Yesu kristo ni njia ya kweli na uzima. Mafundisho yake yapo kwenye Biblia Takatifu. Hapa mkristo anatakiwa kutenda mema, kuwapenda wengine na kuwa mkamilifu. Hapa tunatumia hasa jina la mwana wa Mungu, Yesu kristo kwasababu amepewa mamlaka.
Kutoka 20:2-17
AMRI KUU ZA MUNGU

1. Usiwe na miungu mingine ila mimi
2. Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia. Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, Bwana, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao, nami nawarehemu maelfu elfu wanipendao, na kuzishika amri zangu.
3. Usilitaje bure jina la Bwana, Mungu wako, maana Bwana hatamhesabia kuwa hana hatia mtu alitajaye jina lake bure.
4. Ikumbuke siku ya Sabato uitakase.Siku sita fanya kazi, utende mambo yako yote; lakini siku ya saba ni Sabato ya Bwana, Mungu wako, siku hiyo usifanye kazi yo yote, wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala mjakazi wako, wala mnyama wako wa kufuga, wala mgeni aliye ndani ya malango yako. Maana, kwa siku sita Bwana alifanya mbingu, na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba; kwa hiyo Bwana akaibarikia siku ya Sabato akaitakasa.
5. Waheshimu baba yako na mama yako; siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi upewayo na Bwana, Mungu wako.
6. Usiue.
7. Usizini.
8. Usiibe.
9; Usimshuhudie jirani yako uongo.

10: Usiitamani nyumba ya jirani yako, usimtamani mke wa jirani yako; wala mtumwa wake, wala mjakazi wake, wala ng'ombe wake, wala punda wake, wala cho chote alicho nacho jirani yako

- Dini ni mpango wa mwanadamu kumtafuta Mungu kwahiyo unaona kuna madhehebu mengi yameanzishwa. Wanatumia chumvi, maji na kila aina ya uchafu huku wanatumia Biblia. Mungu, Yesu na Roho Mtakatifu hawana dini.
Mathayo 7:21

“Si kila aniambiaye, ‘Bwana, Bwana’, ataingia katika ufalme wa mbinguni; ila ni yule tu anayetimiza matakwa ya Baba yangu aliye mbinguni". Matakwa gani? kufuata amri kuu za Mungu
Si kila unayemuona anaenda kanisani au kushika Biblia ukajua ni Mkristo. Unaweza ukawa padri, mchungaji, muumini au kiongozi yoyote au hata kujenga kanisa ukafikiri wewe ni mkristo. Ukristo ni kufuata amri kuu za Mungu.

1 Wakorintho 6:9-11
Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang’anyi. Na baadhi yenu mlikuwa watu wa namna hii; lakini mlioshwa, lakini mlitakaswa, lakini mlihesabiwa haki katika jina la Bwana Yesu Kristo, na katika Roho wa Mungu wetu.

Hakuna mtu mwenye hati miliki ya Biblia Takatifu na hakuna mtu atakayekuhumu kwasababu umekojolea Biblia, umeichana au umeinyea ndiyo maana unaona mashoga na wafiraji wanatumia watakavyo na watu wamebadili mtazamo wakihusisha dini na ukristo ni kitu kimoja. Upo tofauti sana yoyote anaweza kuitumia atakavyo.
Kwanini watu wanatumia Bibilia watakavyo na hawapingwi na wakristo?
JIBU: Mungu ndiye anahukumu na si mtu mwingine yoyote kwasababu ukifanya hivyo watenda dhambi ndiyo hakuna mahakama wala kushitakiwa na mtu yoyote.
Mathayo 7:1
“Usihukumu ili usije ukahukumiwa.
Yohana 8:7-9

"Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe. Akainama tena, akaandika kwa kidole chake katika nchi. Nao waliposikia, wakashitakiwa na dhamiri zao, wakatoka mmoja mmoja, wakianzia tangu wazee hata wa mwisho wao; akabaki Yesu peke yake, na yule mwanamke amesimama katikati."

Swali kwako
Ni wapi katika Biblia kunaruhusu ndoa ya jinsia moja, ushoga au ufiraji?

NENO LA LEO

Mathayo 5:44-45
Lakini mimi nawaambia, Wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi, ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni; maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki.
 
🤔🤔🤔Na Waziri wa Elimu kabariki hili kweli? Udini is real ehh in TZA!! But hata iweje bado Kristo atatawala Sana hata kama wameondoa divinity ktk list...
Ila tukiwa positive zaidi, huenda Arabic inakuja kutusaidia ktk mawasiliano na watawala wajao..aka Waarabu wa DP😁😁
 
Hivi, kuwa kiongozi ni kufanya tu yale unajisikia?

Huyu kiongozi wetu anapaswa kupingwa kila pahala
Hakunaga duniani kiongozi anayeitwa mwanamke akafanya jambo la maana,unless aitwe tu kiongozi kwa sababu amewekwa kwa sababu alijikuta yupo ila kusema ana impact yoyote kiuongozi hiyo ni uwongo
 
Maandalizi ya ajira mpya Bandarini
 
Usiwe na shaka most christians are brave.... They are disciplined from the grassroots... They spiritual life teach them how to live in the world.... That is why they lead mostly in all angles of life... In politics, technology, administration, industries, education and other sectors..... But our neighbors all they know is hating christians and call them kafiri..... They thinking capacity is very law and when it comes to education they cannot compete with christians... So, they saying elim dunia is haram.... And when they get a chance to lead they end up planting islamic agenda and praising arabic culture in critical issues instead of ensuring the welfare of the society that he/she lead.....

I have a lots to say about our neighbors in faith... But all in all I can say about is that, they were and are missleaded by their faith......
 
Margret Thatcher
Huyu wa kwako unamuona akifanana na huyo?

Genetically ngozi nyeusi na ngozi nyeupe ni vitu viwili tofauti so unapomsikia huyo Thatcher elewa hao aliokuwa anawaongoza pia kuna waliyoona ni mapungufu tena makubwa,nasisitiza mwanamke aliumbwa aongoze watoto wadogo ndani ya familia anayoianzisha na mumewe tena huyo mume asipokuwepo bado hawezi na siyo aongoze taasisi/jamii kubwa kama taifa.
 
QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI MPINGA KRISTO NA NABII WA UONGO.

QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN

1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?????

2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI????

JIBU NI SHETANI.

DINI HIYO NI SHIMO LA KUZIMU LA UNABII. UFUNUO 9.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…