raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Anaangalia kwa mbaali project yake inavyokwenda 😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaangalia kwa mbaali project yake inavyokwenda 😄
Kuna watu wakiona neno Kiarabu wanaweweseka na wanakosa amani ,wanaweza kusema Wameuzwa hao watu ni wajinga sana..Mimi sio muislam
Ila mbona kwenye hizo combi kiingereza kipo tena miaka mingi na ndio lugha ya kufundishia elimu ya juu
Tangia lini ufaulu ukawekwa kwenye leaving certificate?Ahahah niliona living certificate ya mtu kafaulu kwa alama B somo la Islamic peeke tu
Kachukue Akili yako Kwa ustaadh au mchungaji aliyekushkia.Jibu :Sifahamu .
Weka povu lengine endelea kazi yangu hapa ni kutathini mapovu.
Kuna mashoga wakiona kiarabu wanaona ndio lugha ya peponiKuna watu wakiona neno Kiarabu wanaweweseka na wanakosa amani ,wanaweza kusema Wameuzwa hao watu ni wajinga sana..
Ukiwa mjinga kiasi hiki haustahili kujibiwa.Kachukue Akili yako Kwa ustaadh au mchungaji aliyekushkia.
Mnaenndekeza dini, mnakuwa kama wajinga.
Acha kukashifu Imani ya mwenzio, tujadiliane kwa hoja na staha.Hizo mbinu zenu chafu na dini yenu feki tushazibaini Ila Mungu tunaemuabudu sisi hamumuwezi hamuoni kwamba mnakwama kila kona mmebaki kutukana tu....mtaendelea kuwa chini na mwisho tu😁
Ukiwa mjinga kiasi hiki haustahili kujibiwa.Kuna mashoga wakiona kiarabu wanaona ndio lugha ya peponi
Nauliza iv mtu akiwa amefeli kidato cha nne anapewa nini?Tangia lini ufaulu ukawekwa kwenye leaving certificate?
Watapinga na hili , ngoja nishushe uzi ukiwa na uchambuzi wa kina kuhusu kauli yako.Kiarabu kina fursa tofauti na bible knowledge ebu tafakari in deep
Kumbuka kuna waarabu wengine sio waislamKachukue Akili yako Kwa ustaadh au mchungaji aliyekushkia.
Mnaenndekeza dini, mnakuwa kama wajinga.
Chuki zinapelekea mtu akose akili kabisa hata ndogo ya kujiongeza .Kumbuka kuna waarabu wengine sio waislam
Acha wenge mkuu
Hapewi chochote kutoka NECTA. Leaving certificate hupewa shuleni mara baada ya kuhitimu kidato cha nne au sita.Nauliza iv mtu akiwa amefeli kidato cha nne anapewa nini?
Mjinga na mpumbavu ni Jitu jeusi tii, linalovaa Kama mwarabu, kufuga midevu Kama mwarabu, kuongea Kama mwarabu na kuona kila mwarabu Kama ndio mtume wake.Ukiwa mjinga kiasi hiki haustahili kujibiwa.
Hawajui tu ,na hawaoni mbaliWatapinga na hili , ngoja nishushe uzi ukiwa na uchambuzi wa kina kuhusu kauli yako.
Sawa kile anachopewa shule huwa kinaonyesha nini?Hapewi chochote kutoka NECTA. Leaving certificate hupewa shuleni mara baada ya kuhitimu kidato cha nne au sita.
Ila cheti kutoka NECTA chenye alama mpaka awe amefaulu.