Kuwekwa kwa somo ya Kiislamu kwenye Tahasusi kunaashiria nini?

Kuwekwa kwa somo ya Kiislamu kwenye Tahasusi kunaashiria nini?

Samia anataka kuifanya Tanganyika Arab Country
Na bandari ndo keshawapa yani huu mpango wao tufungue macho kuhakikisha haufanikiwi maana naona wanatamani sana kujifanya Tz Islamic state si mnakumbuka hata mambo ya ioc
 
we kwa upumbavu huo ni bora babako angevaa condom usizaliwe, kiarabu kina uhusiano gani ni upuuzi wenu huo. Km kuna watu wanahitaji kuisoma we kinakuwasha nini? Mbwa koko kweli
😁😁

Nilijua tu kwamba, andiko langu litawaleta wajinga wajinga wengi wavaa kobazi!

Cha kushangaza ni kwamba, huna tusi jipya hapo, yote ni yale yale ya kale,

Unalingine we jini maimuna?

Nawajua nyinyi, majini hayajawahi kuwaacha salama, mnahasira kumshinda hata huyo shetani
 
Screenshot_20230620_084104_Chrome.jpg
 
Kwa nini waingeze tahasusi zinazofungamana na uislam pekee?, hapo wangeweka Arabic, Islamic, Divinity, Bible knowledge, Budha et al wala tusingehoji chochote.


LAKINI KWA NINI ARABIC NA ISLAMIC pekee?.

Hapa wala kitimoto tumeshaona nia na dhamira ya kuifanya Tanganyika kuwa Islamic State
 
Arabic ni lugha pia kama lugha nyingine..

Hii inatupa shida sababu tayari tumepewa elimu kwa lugha ya KINGEREZA

mazafanta
 
Inapendeza sana lakini wagalatia watapinga na hili.

Ngoja niwatag Wagalatia wakereketwa .

Cc : Maghayo Retired vibesen xxx uwe hodari

Nafurahi kuona Wagalatia wakiweweseka na mambo madogo kama haya ngoja nisikilizie mapovu .

Dj leta Wagalatia...
Kwahiyo hao watoto wanafundishwa Islamic kwenye mtaala wa Serikali?
Ili wakifaulu wawe kina nani? Masheikh.....
Serikali inayo misikiti ya kuwapeleka hawa masheikh wapya?
 
Arabic ni lugha pia kama lugha nyingine..

Hii inatupa shida sababu tayari tumepewa elimu kwa lugha ya KINGEREZA

mazafanta
Wapo amabao wanapiga kiarabu hii itakuwa fursa kubwa sana na itaongeza hadi wigo wa ajira kwa wale maprofeshino wa lugha ya kiarabu.
 
Back
Top Bottom