myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
AiseeWatu wa Zanzibar tushaelewa kitambo naomba mtuache [emoji1672]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeWatu wa Zanzibar tushaelewa kitambo naomba mtuache [emoji1672]
Sasahivi itafika sehemu kama huna kanzu hupati hudumakulikuwa na kombi za sayansi (pcm, pcb, pgm, n.k) Arts (Hkl, Hge, Egm, n.k) na Biashara (Eca, Egm)
Kwa sasa zimeongezeka kombi za dini ya kiislam
KAI - Kiswahili, Arabic (Kiarabu) na Islamic (Elimu ya uislam)
KLI - KIshwahili, Kiingereza na Islamic
GKI - Geography, Kiswahili na Islamic
Hapo zamani masomo ya dini yalikuwepo ila yalikuwa ni ya ziada tu kama ilivyo kwa mapishi, kushona, n.k. hayakuwa rasmi balo yalikuwa ni woto tu wa mtu kuyasomea. Na hata kwa wakristo kuna somo la Divinity.
Una maoni gani
Ndiyo lengo kuuSamia anataka kuifanya Tanganyika Arab Country
TumeshachelewaHivi, kuwa kiongozi ni kufanya tu yale unajisikia?
Huyu kiongozi wetu anapaswa kupingwa kila pahala
"Arab Country"? Sio kweli.Samia anataka kuifanya Tanganyika Arab Country
Katiba mpya. Katiba mpya. Katiba mpya.Tumeshachelewa
we kwa upumbavu huo ni bora babako angevaa condom usizaliwe, kiarabu kina uhusiano gani ni upuuzi wenu huo. Km kuna watu wanahitaji kuisoma we kinakuwasha nini? Mbwa koko kweliHivi, kuwa kiongozi ni kufanya tu yale unajisikia?
Huyu kiongozi wetu anapaswa kupingwa kila pahala
Kuna Mission maalum.kulikuwa na kombi za sayansi (pcm, pcb, pgm, n.k) Arts (Hkl, Hge, Egm, n.k) na Biashara (Eca, Egm)
Kwa sasa zimeongezeka kombi za dini ya kiislam...
Tuwekee chanzo