Kuwekwa kwa somo ya Kiislamu kwenye Tahasusi kunaashiria nini?

Kuwekwa kwa somo ya Kiislamu kwenye Tahasusi kunaashiria nini?

Tupendane Watanganyika vita yetu ni moja kumtoa adui CCM na ni lengo lao tugeukiane sisi kwa sisi hizi ni mbinu.
Hata hiyo Tanganyika wanayodai haitoweza kufika popote kukiwa na mitazamo ya chuki namna hii .Utaona teuzi ikitoka hata Idadi ya Waislamu ikizidi kidogo ni kelele kama nidhambi Waislamu kuongoza inchi hii wao ndio wanastahili pekee kinyume wakiwa watu wa dini yao wanakaa kimya .

Brother Malcolm X aliongea kuhusu watu kuhangaika na chuki za kidini wakati nchi ina matatizo makubwa na watu wanafaidika wanapoona mnazozana coz mnatoka katika mstari mmoja wa kudai haki ,uwajibikaji na utawala bora.
IMG_20230706_175804.jpg


IMG_20230706_175745.jpg
 
View attachment 2680112

Kuna siri nyuma ya pazia? Kuna watu wana jambo lao? Kama sio kwa nini Bible knowledge haipo? Kwa nini limekuja awamu ya 6?

=====

Hii ni orodha ya masomo kwenye TAHASUSI za Tanzania Bara pamoja na Zanzibar, kwa Zanzibar wana masomo ya dini yanayoingia kwenye TAHASUSI tofauti na Tanzania Bara.

A-level subject combinations for Tanzania Bara (Mainland) and Zanzibar


If you’re looking for A’level Combinations in Tanzania, This guide will help you as we have provides all information about A’level Combinations in Tanzania.

Doing or choosing the right Combination after O’level is very mandatory, since professional career begins in choosing the right Combination and it also plays a vital role in professional life. In the current scenario with so many available options for courses and tough competition, it is very hard and confusing to decide for both students and parents. With so many influential people around, we often get swayed or simply do what is toNaturalld by our parents.

But it is very important to know and analysis your interests as well as options available in that Field.
Let us have a look of all A’level Combinations in TANZANIA to understand your career option
in a better way:

The following are the List of A’level Combinations in Tanzania.

Tanzania Bara (Mainland)
  • PCM - Physics, Chemistry and Mathematics
  • PCB - Physics, Chemistry and Biology
  • PGM - Physics, Geography and Mathematics
  • EGM - Economics, Geography and Mathematics
  • CBG - Chemistry, Biology and Geography
  • CBA - Chemistry, Biology and Agriculture
  • CBN - Chemistry, Biology and Food and Human Nutrition
  • PMC – Physics, Mathematics and Computer Science
  • PeBFa – Physical Education, Biology and Fine Arts
  • HGL - History, Geography and English Language
  • HGK - History, Geography and Kiswahili
  • HKL - History, Kiswahili and English Language
  • KLF - Kiswahili, English Language and French
  • ECA - Economics, Commerce and Accountancy
  • HGE - History, Geography and Economics
  • PeGE – Physical Education, Geography and Economics
  • KFC – Kiswahili, French and Chinese
  • KEC – Kiswahili, English and Chinese
Zanzibar
  • PCB - Physics, Chemistry and Biology
  • PCM - Physics, Chemistry and Mathematics
  • PGM - Physics, Geography and Mathematics
  • EGM - Economics, Geography and Mathematics
  • CBG - Chemistry, Biology and Geography
  • CBA - Chemistry, Biology and Agriculture
  • CBN - Chemistry, Biology and Food and Human Nutrition
  • PMC – Physics, Mathematics and Computer Science
  • PeBFa – Physical Education, Biology and Fine Arts
  • HGL - History, Geography and English Language
  • HGK - History, Geography and Kiswahili
  • HKL - History, Kiswahili and English Language
  • KLF - Kiswahili, English Language and French
  • ECA - Economics, Commerce and Accountancy
  • HGE - History, Geography and Economics
  • PeGE – Physical Education, Geography and Economics
  • CBA - Chemistry, Biology and Agriculture
  • HKF - History, Kiswahili, French language
  • AHG - Arabic language, History and Geography
  • KAR - Kiswahili, Arabic language, and Islamic
  • KLG - Kiswahili, English language and Geography
  • AKF - Arabic Language, Kiswahili and french language
  • AHK - Arabic language, History and Kiswahili
  • AKL - Arabic language, Kiswahili and English language
  • KLI - Kiswahili English Language and Islamic
  • GKI - Geography, Kiswahili and Islamic
  • CBM - Chemistry, Biology and Mathematics
  • HLF - History, English language and French language
  • PeCB - Physical Education, chemistry and Biology
  • PcoM - Physics, Computer and Advanced Mathematics
Schoolpvh
Kwahyo hiyo knowledge ya Islamic itamsaidia nini mwanafunzi akiwa na ufaulu mkubwa!?

Au ni kipaumbele pia wakiingia kazini ama itamsaidia vipi kwenye kujiajiri!?
 
Ni kuwasaidia ufaulu, wala usikonde Wakristo hawana tabia ya ulalamishi.
At the end, mchele na pumba lazima zitatengana.
Mtu msimo atakuwa msomi. Mjinga atakuwa anamwaga ushuzi kwa kwenda mbele na elimu yake bandit.
As long as Islam inasaidia watu kuwa wasomi bora, wenye kuongezea maana kwenye haya maisha, sioni cha kuogopwa
 
Mbona sioni Tanzania bara hiyo tahasusi ya inayojumuisha Islamic?


Ni Zanzibar mkuu relax.
 
Binafsi naona kwamba Knowledge is Power; sasa kama wewe binafsi unaamua kujikita kwenye kutafuta / kuendeleza ufahamu zaidi kwenye Tasnia fulani all the best; Ingawa kujikita sana kwenye Imani sidhani kama kutalivusha sana Taifa kutoka hapa tulipo mpaka pale.....; Tunahitaji sana fikra za kupambana na Changamoto zilizopo humu humu Duniani (kwa manufaa ya wote) kuliko hata Furaha ya huko utakapokwenda Ukifa (Kwa manufaa yako Binafsi )

Anyway to each his / her own

Ila katika ajira sioni kama itaongeza Wigo wa Ajira kwa hao Wadogo zetu; Ningefurahi zaidi kuona Agriculture hapo imenyunyizwa zaidi
 
Hata hiyo Tanganyika wanayodai haitoweza kufika popote kukiwa na mitazamo ya chuki namna hii .Utaona teuzi ikitoka hata Idadi ya Waislamu ikizidi kidogo ni kelele kama nidhambi Waislamu kuongoza inchi hii wao ndio wanastahili pekee kinyume wakiwa watu wa dini yao wanakaa kimya .

Brother Malcolm X aliongea kuhusu watu kuhangaika na chuki za kidini wakati nchi ina matatizo makubwa na watu wanafaidika wanapoona mnazozana coz mnatoka katika mstari mmoja wa kudai haki ,uwajibikaji na utawala bora.View attachment 2680284

View attachment 2680287
Sijawahi kufaidika kwa lolote kwa mtu wa dini yangu kuteuliwa, hayo ni manufaa yake na familia yake Tena siyo wote.

Kuna ndugu yangu wa karibu aliwahi kuteuliwa na Rais sikuwahi kufaidika naye kwa lolote kutokana na post yake.

Kwahiyo ni watu wajinga tu wanaojificha kwenye dini zote waislamu na Wakristo, hizi dini mbili zina kundi kubwa la watu wajinga.
 
View attachment 2680112

Kuna siri nyuma ya pazia? Kuna watu wana jambo lao? Kama sio kwa nini Bible knowledge haipo? Kwa nini limekuja awamu ya 6?

=====

Hii ni orodha ya masomo kwenye TAHASUSI za Tanzania Bara pamoja na Zanzibar, kwa Zanzibar wana masomo ya dini yanayoingia kwenye TAHASUSI tofauti na Tanzania Bara.

A-level subject combinations for Tanzania Bara (Mainland) and Zanzibar


If you’re looking for A’level Combinations in Tanzania, This guide will help you as we have provides all information about A’level Combinations in Tanzania.

Doing or choosing the right Combination after O’level is very mandatory, since professional career begins in choosing the right Combination and it also plays a vital role in professional life. In the current scenario with so many available options for courses and tough competition, it is very hard and confusing to decide for both students and parents. With so many influential people around, we often get swayed or simply do what is toNaturalld by our parents.

But it is very important to know and analysis your interests as well as options available in that Field.
Let us have a look of all A’level Combinations in TANZANIA to understand your career option
in a better way:

The following are the List of A’level Combinations in Tanzania.

Tanzania Bara (Mainland)
  • PCM - Physics, Chemistry and Mathematics
  • PCB - Physics, Chemistry and Biology
  • PGM - Physics, Geography and Mathematics
  • EGM - Economics, Geography and Mathematics
  • CBG - Chemistry, Biology and Geography
  • CBA - Chemistry, Biology and Agriculture
  • CBN - Chemistry, Biology and Food and Human Nutrition
  • PMC – Physics, Mathematics and Computer Science
  • PeBFa – Physical Education, Biology and Fine Arts
  • HGL - History, Geography and English Language
  • HGK - History, Geography and Kiswahili
  • HKL - History, Kiswahili and English Language
  • KLF - Kiswahili, English Language and French
  • ECA - Economics, Commerce and Accountancy
  • HGE - History, Geography and Economics
  • PeGE – Physical Education, Geography and Economics
  • KFC – Kiswahili, French and Chinese
  • KEC – Kiswahili, English and Chinese
Zanzibar
  • PCB - Physics, Chemistry and Biology
  • PCM - Physics, Chemistry and Mathematics
  • PGM - Physics, Geography and Mathematics
  • EGM - Economics, Geography and Mathematics
  • CBG - Chemistry, Biology and Geography
  • CBA - Chemistry, Biology and Agriculture
  • CBN - Chemistry, Biology and Food and Human Nutrition
  • PMC – Physics, Mathematics and Computer Science
  • PeBFa – Physical Education, Biology and Fine Arts
  • HGL - History, Geography and English Language
  • HGK - History, Geography and Kiswahili
  • HKL - History, Kiswahili and English Language
  • KLF - Kiswahili, English Language and French
  • ECA - Economics, Commerce and Accountancy
  • HGE - History, Geography and Economics
  • PeGE – Physical Education, Geography and Economics
  • CBA - Chemistry, Biology and Agriculture
  • HKF - History, Kiswahili, French language
  • AHG - Arabic language, History and Geography
  • KAR - Kiswahili, Arabic language, and Islamic
  • KLG - Kiswahili, English language and Geography
  • AKF - Arabic Language, Kiswahili and french language
  • AHK - Arabic language, History and Kiswahili
  • AKL - Arabic language, Kiswahili and English language
  • KLI - Kiswahili English Language and Islamic
  • GKI - Geography, Kiswahili and Islamic
  • CBM - Chemistry, Biology and Mathematics
  • HLF - History, English language and French language
  • PeCB - Physical Education, chemistry and Biology
  • PcoM - Physics, Computer and Advanced Mathematics
Schoolpvh
hapana tulikofikia huu sasa tutauita mchepuko wa adifansi
 
Mimi sio muislam
Ila mbona kwenye hizo combi kiingereza kipo tena miaka mingi na ndio lugha ya kufundishia elimu ya juu
Tatzo sio Kiarabu, nahisi tatzo ni islamic.

Kwani hilo somo ni elimu dunia mpaka lifundishwe!?
Tukipata wataalamu wa kiislamu waliofunzwa kwa ufadhili wa serikali, serikali yenyewe inawatumiaje hawa wataalamu kwa manufaa ya taifa lote?

Au huelewi hizo shule zinajengwa na kuendeshwa kwa kodi za watu wote, islam, christian, atheism etc

Hapa ndipo kwenye hekima, na hiki ni kipimo cha hekima (kwa mwenye imani)
 
Dp world wakija bila hio Islamic knowledge mtaishia kazi za getini😅😅😅
Mimi naswali na nafunga ila hizi hasira za dini sinaga au Sina Imani?
yani mimi nafuga ndevu sababu Mtume kafuga na mimi napenda ila sio kisa waarabu kama Mtume Angelikua masai mngenikuta na lubega
 
Jibu :Sifahamu .

Weka povu lengine endelea kazi yangu hapa ni kutathini mapovu.
Kama haufahamu faida ya somo hilo na ukafurahia kuwepo hapo, hapo Nitakiuta shabiki wa kidini.
Umeshindwa kuzijali imani za wenzako.

Mambo ya imani yabaki pembeni,
Sio kwenye serikali.

Kwamaana Tanzania si nchi ya kidini.
Kwanini hujali imani za wenzako?
Hujui kuwa hata wao (imani zingine) wanaamini dini yao ni ya kweli kuzidi zote?
 
Binafsi naona ni sawa tu. Wengine malengo yao kuwa Masheikh au walimu wa Madrasa. Kuweka balance angeweka na combinations za Bible studies twende sawa.

Ifikapo 2030 tungeweza kuwa na madrasa kila mtaaa bila kusahau manabii na mitume kila uchochoro.
Sasa mashehe au wachungaji wafundishwe kwa kodi za hata wasio na dini?

Mambo ya dini yasiingie serikalini.....kama ni somo la kiarabu hapo ni sawa na haina shida ila kama ni somo la Islamic hapo kuna shida na itazua migogoro mingi.

Kuna mdau kasema hayo yapo katika nchi ya Zanzibar kama ni huko haitusumbui ila kama inatumika hadi katika nchi yetu ya Tanganyika,HAITAKUBALIKA KAMWE sio Islamic wala sio Upadri na Uchungaji.
 
Back
Top Bottom