Kuweni makini na hakikisheni mkitoa pesa benki mnapata ujumbe wa salio lililobaki

Kuweni makini na hakikisheni mkitoa pesa benki mnapata ujumbe wa salio lililobaki

mkalusanga

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2013
Posts
369
Reaction score
446
Habari Za Miangaiko Familia yangu humu JF,

Naomba Muwe makini na Hizi Benki Mimi uwa Ninatoa pesa kwenye ATM Halafu napata Meseji ya Balance iliyobaki.

Sasa Leo nikaamua tu nipige Mahesabu pesa Nilizotumia kwa Miezi Mitatu Si nikakuta kuna Laki Tano haipo kucheki kumbe nilitoa Elfu Hamsini Siku hiyo ikaonyesha nimetoa Laki Tano.

Sasa Leo nimeenda Benki nimetoa Bank Statement kuangalia nimekuta tatehe niliyotoa Elfu Hamsini nilitoa Tena Laki Tano kitu Ambacho sio kweli.

Mimi nimebisha Sijatoa wakaniambia Basi kuna Mtu Anajua Namba yangu ya Siri ukweli Sijawahi Mps mtu yoyote namba yangu ya Siri wamesema Hawawezi Nisaidia.

Mimi ndo natskiwa nijue Nani Alitoa hiyo Pesa Ukweli Nimeumia Saana Unajua Pesa hii ni Nyingi Sana kwa Usawa huu humu kuna Watu waungwana naomba mnishauli nifanyeje pia Nimeambiwa Bank Statement Nitakatwa Elfu kumi na Mbili ni sawa tu Make nilikubali wakate nikiwa na Uhakika nitaludishiwa Pesa Zangu kuweni Makini Sana Msiseme Sijawashtua.
 
Umeibiwa bro kuna mtu amefaham namba yako ya siri au kama huwa unawatumia hawa mawakala wa NMB au CRDB mitaani wengi wao siyo waaminifu, ukienda kutoa hela anaweza kukwambia urudie kuingiza password zaid ya mara 1 ya kwanza atakutolea hela unayotaka ya pili atakuibia kama hujajiunga simbank hupati taarifa za account yako kwa simu ndo unakua umeshapoteza hela hivyo maana hutajua kama imetolewa
 
Umeibiwa bro kuna mtu amefaham namba yako ya siri au kama huwa unawatumia hawa mawakala wa NMB au CRDB mitaani wengi wao siyo waaminifu, ukienda kutoa hela anaweza kukwambia urudie kuingiza password zaid ya mara 1 ya kwanza atakutolea hela unayotaka ya pili atakuibia kama hujajiunga simbank hupati taarifa za account yako kwa simu ndo unakua umeshapoteza hela hivyo maana hutajua kama imetolewa
Asante ila Mio Sio Bro kweli natumia Hawa Mawakala sema Sio Sana kama Atm Au kweli Ndo Wsmenivhezea Mchzo Eee
 
Kwenye statement inaonesha alietoa alitoa kwa njia gani, ATM wakala au ndani.

Kama ndani au ATM kuna camera iyo siku, lipia elfu 15 kisha wa access.

Kama ni kwa wakala ndio ujue wakala gani wa wapi na alietoa alikua nani na alitumia simu au card.
Ohh Asante Sana kwa Ushauli ngoja niufanyie kazi Shukrani.
 
Asante ila Mio Sio Bro kweli natumia Hawa Mawakala sema Sio Sana kama Atm Au kweli Ndo Wsmenivhezea Mchzo Eee
Samahani kwa kukuita bro.
Mawakala wa mitaani wanawaibia sana watu pesa zao ukienda kutoa hela akikwambia uweke password zaidi ya mara moja ujue 99% umeibiwa, au ukiweka password zako na akaziona upo kwenye hatari ya kupigwa
 
Kwenye statement inaonesha alietoa alitoa kwa njia gani, ATM wakala au ndani.

Kama ndani au ATM kuna camera iyo siku, lipia elfu 15 kisha wa access.

Kama ni kwa wakala ndio ujue wakala gani wa wapi na alietoa alikua nani na alitumia simu au card.
Chukua ushauri huu ndiyo solution pekee utakayoweza saidika mkalusanga
 
Kwenye statement inaonesha alietoa alitoa kwa njia gani, ATM wakala au ndani.

Kama ndani au ATM kuna camera iyo siku, lipia elfu 15 kisha wa access.

Kama ni kwa wakala ndio ujue wakala gani wa wapi na alietoa alikua nani na alitumia simu au card.
Yes nilitaka kumwambia hivihivi.bahati nzuri hizi Hela hazipotei kishamba namna hii kama anauhakika tu hakuna anaejua pin yake akomae lazima ampate tu iwe wakala au mtu mwingine
 
Back
Top Bottom