mkalusanga
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 369
- 446
- Thread starter
- #21
Umeona Eee sijui tufanyejeVingi mno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona Eee sijui tufanyejeVingi mno
Kweli Usemayo Nilivyoenda kwa kujiamini SasaBenki hawawezi kubali wala kukupa pesa. Benki siku zote huwa wanahisi wapo sahihi. 😁
Zamani kuaccess camera ilikua bure tatizo linakuja mtu analalamika ameibiwa hela wakienda camera kucheki utasikia “aaah kumbe huyu, ni mke wangu” nadhani wakabadirisha utaratibu inakua case hadi polisi wanahusishwa hafu ndio unalipia kwahiyo ni msala hamna kusema uyu namjua (kama sijakosea)Chukua ushauri huu ndiyo solution pekee utakayoweza saidika mkalusanga
Mimi ni CRDBNMB ndo wezi koma
taja jina la bank kama kweli unauchungu lak 5 kubwa sana bwasheeHabari Za Miangaiko Familia yangu humu JF,
Naomba Muwe makini na Hizi Benki Mimi uwa Ninatoa pesa kwenye ATM Halafu napata Meseji ya Balance iliyobaki.
Sasa Leo nikaamua tu nipige Mahesabu pesa Nilizotumia kwa Miezi Mitatu Si nikakuta kuna Laki Tano haipo kucheki kumbe nilitoa Elfu Hamsini Siku hiyo ikaonyesha nimetoa Laki Tano.
Sasa Leo nimeenda Benki nimetoa Bank Statement kuangalia nimekuta tatehe niliyotoa Elfu Hamsini nilitoa Tena Laki Tano kitu Ambacho sio kweli.
Mimi nimebisha Sijatoa wakaniambia Basi kuna Mtu Anajua Namba yangu ya Siri ukweli Sijawahi Mps mtu yoyote namba yangu ya Siri wamesema Hawawezi Nisaidia.
Mimi ndo natskiwa nijue Nani Alitoa hiyo Pesa Ukweli Nimeumia Saana Unajua Pesa hii ni Nyingi Sana kwa Usawa huu humu kuna Watu waungwana naomba mnishauli nifanyeje pia Nimeambiwa Bank Statement Nitakatwa Elfu kumi na Mbili ni sawa tu Make nilikubali wakate nikiwa na Uhakika nitaludishiwa Pesa Zangu kuweni Makini Sana Msiseme Sijawashtua.
Habari Za Miangaiko Familia yangu humu JF,
Naomba Muwe makini na Hizi Benki Mimi uwa Ninatoa pesa kwenye ATM Halafu napata Meseji ya Balance iliyobaki.
Sasa Leo nikaamua tu nipige Mahesabu pesa Nilizotumia kwa Miezi Mitatu Si nikakuta kuna Laki Tano haipo kucheki kumbe nilitoa Elfu Hamsini Siku hiyo ikaonyesha nimetoa Laki Tano.
Sasa Leo nimeenda Benki nimetoa Bank Statement kuangalia nimekuta tatehe niliyotoa Elfu Hamsini nilitoa Tena Laki Tano kitu Ambacho sio kweli.
Mimi nimebisha Sijatoa wakaniambia Basi kuna Mtu Anajua Namba yangu ya Siri ukweli Sijawahi Mps mtu yoyote namba yangu ya Siri wamesema Hawawezi Nisaidia.
Mimi ndo natskiwa nijue Nani Alitoa hiyo Pesa Ukweli Nimeumia Saana Unajua Pesa hii ni Nyingi Sana kwa Usawa huu humu kuna Watu waungwana naomba mnishauli nifanyeje pia Nimeambiwa Bank Statement Nitakatwa Elfu kumi na Mbili ni sawa tu Make nilikubali wakate nikiwa na Uhakika nitaludishiwa Pesa Zangu kuweni Makini Sana Msiseme Sijawashtua.
Sasa Hilo ndo Tatizo kuna Muda ATM Haiko Karibu inabidi Uwatumie tuu ila Aisee Roho InaniumaSamahani kwa kukuita bro.
Mawakala wa mitaani wanawaibia sana watu pesa zao ukienda kutoa hela akikwambia uweke password zaidi ya mara moja ujue 99% umeibiwa, au ukiweka password zako na akaziona upo kwenye hatari ya kupigwa
Jamanii Kumbee😭😭Nikiongea kama wakala wa benki na miamala ya simu ......
""UMEIBIWA NNA WAKALA""
#YNWA
#YANGA_BINGWA
CRDBtaja jina la bank kama kweli unauchungu lak 5 kubwa sana bwashee
Inatakiwa wakulipishe tu itskapo onekana aliye toa ni mtu wa familia na wewe umeondoa tuhuma za kuibiwa la sivyo huyo mtu akikamatwa ni muhalifu kama wahalifu wengineZamani kuaccess camera ilikua bure tatizo linakuja mtu analalamika ameibiwa hela wakienda camera kucheki utasikia “aaah kumbe huyu, ni mke wangu” nadhani wakabadirisha utaratibu inakua case hadi polisi wanahusishwa hafu ndio unalipia kwahiyo ni msala hamna kusema uyu namjua (kama sijakosea)
Nenda na hiyo bank statement kwake Kamuwashie moto.Jamanii Kumbee😭😭
Ndio pia kuna Mkuu hapo juu kashauli hivyoWacha kutumia atm ...pia waambie wakupe video ya saa ambayo pesa imetolewa kwenye atm kuna camera ....benki sikuizi zimekuwa kama ccm kuna organise crime ya wafanyakazi wao ndiyo wanafanya huo uhuni
KabisaInatakiwa wakulipishe tu itskapo onekana aliye toa ni mtu wa familia na wewe umeondoa tuhuma za kuibiwa la sivyo huyo mtu akikamatwa ni muhalifu kama wahalifu wengine
Sasa Mkuu Anaweza kweli kuludisha Asante kwa UshauliNenda na hiyo bank statement kwake Kamuwashie moto.
Atatoa tu.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Ndio, bank statement ina taarifa zoteee.Sasa Mkuu Anaweza kweli kuludisha Asante kwa Ushauli
Sawa AsanteNdio, bank statement ina taarifa zoteee.
#YNWA
#YANGA_BINGWA