Kuweni makini na hakikisheni mkitoa pesa benki mnapata ujumbe wa salio lililobaki

Kuweni makini na hakikisheni mkitoa pesa benki mnapata ujumbe wa salio lililobaki

Ilinitokea hiyo, Nilitoa kwa card NMB Wakala hapo Kariakoo yule wakala mpaka leo namkumbuka, baada ya kutoa fedha kiasi cha 300,000 nikaondoka baada ya kuona message imeingia kwenye simu kwamba umetoa kiasi cha sh 300,000 kutoka kwa wakala ABC... sasa kumbe message zimeingia mbili za miamala ya 300k, ila kwasababu ya haraka utaona ile message moja tu, au hata ukiona mbili utasema labda ni mtandao tu, Sasa kumbe yule wakala amefanya miamala miwili ya laki tatu jumla 600k ila cash aliyonipa mkononi ni 300k. Sikuhangaika kuwaza au kuangalia salio. Baada ya siku kadhaa kupita nikasema ngoja niangalio salio, Lahaula! Nakuta 300k haipo na sielewi imeenda wapi! Chap nikaenda NMB Bank nikaomba statement, kuangalia nakuta ile siku niliyotoa 300k kumbe ilikuwa 600k! Yaani miamala inaonekana miwili imefuatana.Wakanipa barua nikafuate hiyo 300k iliyobaki kwa yule wakala, wakaniambia au kama nimepasahau wao wanaweza kuwasiliana naye, bahati nzuri nikapakumbuka, nikarudi nikamuonyesha vielelezo vyote, wala hakua mbishi, chap akanivutia 300k yangu nikatembea.

Fikiria wangapi wanaofanya miamala midogo wala hawaangalii salio au bank statement wanaibiwa kiasi gani? Ina maana nisingeshtuka ndiyo ingekuwa basi tena😀
Kumbe Hongera Uliludishiwa Pesa Yako Aisee ndomana nimesema yani Watu Wawe Makini
 
Pole Sana, kuna system itakuwa haipo Sawa, pia nilipatwa na tatizo Hilo kwenye simu, hela unapotea tu lakini nilipofatilia inaonyesha ni mimi mwenyewe natoa wakati siyo hivyo, kuna system itakuwa inajivuruga.
Umesema Ukweli Mkuu naona itakuwa hivyo
 
Itakuwa kwa wakala. ATM huwezi kutoa 500k, unatoa kwa mafungu ya laki nne nne tu.
Ila kuwa Makini na msg unayotumiwa, 50,000 inasomeka kirahisi kama 500,000.
Wasiliana na benk yako uwe unapata msg Kila unapotoa hela
Meseji Uwa napata mkuu
 
Kumbe Hongera Uliludishiwa Pesa Yako Aisee ndomana nimesema yani Watu Wawe Makini
Ushahidi ukiwepo na makaratasi yanaonyesha hivyo, hawawezi kukataa. Angalia kwa makini bank statement sehemu unayoona haieleweki pesa imetokaje, huo muda, tarehe, na taarifa nyingine muhimu zitakusaidia kupata pesa yako.
 
Mtu anaweza kukuibia fedha ikiwa ana kadi yako pamoja na password,vinginevyo hawezi kufanya lolote hata kama anajuwa password zako.
 
Itakuwa kwa wakala. ATM huwezi kutoa 500k, unatoa kwa mafungu ya laki nne nne tu.
Ila kuwa Makini na msg unayotumiwa, 50,000 inasomeka kirahisi kama 500,000.
Wasiliana na benk yako uwe unapata msg Kila unapotoa hela
Crdb skuiz inatoa adi laki6
 
Ushahidi ukiwepo na makaratasi yanaonyesha hivyo, hawawezi kukataa. Angalia kwa makini bank statement sehemu unayoona haieleweki pesa imetokaje, huo muda, tarehe, na taarifa nyingine muhimu zitakusaidia kupata pesa yako.
Sawa Asante Sana Kwa Ushauli
 
Habari Za Miangaiko Familia yangu humu JF,

Naomba Muwe makini na Hizi Benki Mimi uwa Ninatoa pesa kwenye ATM Halafu napata Meseji ya Balance iliyobaki.

Sasa Leo nikaamua tu nipige Mahesabu pesa Nilizotumia kwa Miezi Mitatu Si nikakuta kuna Laki Tano haipo kucheki kumbe nilitoa Elfu Hamsini Siku hiyo ikaonyesha nimetoa Laki Tano.

Sasa Leo nimeenda Benki nimetoa Bank Statement kuangalia nimekuta tatehe niliyotoa Elfu Hamsini nilitoa Tena Laki Tano kitu Ambacho sio kweli.

Mimi nimebisha Sijatoa wakaniambia Basi kuna Mtu Anajua Namba yangu ya Siri ukweli Sijawahi Mps mtu yoyote namba yangu ya Siri wamesema Hawawezi Nisaidia.

Mimi ndo natskiwa nijue Nani Alitoa hiyo Pesa Ukweli Nimeumia Saana Unajua Pesa hii ni Nyingi Sana kwa Usawa huu humu kuna Watu waungwana naomba mnishauli nifanyeje pia Nimeambiwa Bank Statement Nitakatwa Elfu kumi na Mbili ni sawa tu Make nilikubali wakate nikiwa na Uhakika nitaludishiwa Pesa Zangu kuweni Makini Sana Msiseme Sijawashtua.

Mabenki ni wezi sana hawa jamaa ,kutoa pesa kwenye ATM gharama 2000/= ,Monthly Charges 15000/= ,kutuma pesa kwenda simu ukituma chini ya elfu 10 ni 2000/= yaani ni Wizzy Wizzy......BOT Kimyaaaaaa!!
 
Mabenki ni wezi sana hawa jamaa ,kutoa pesa kwenye ATM gharama 2000/= ,Monthly Charges 15000/= ,kutuma pesa kwenda simu ukituma chini ya elfu 10 ni 2000/= yaani ni Wizzy Wizzy......BOT Kimyaaaaaa!!
Yani Mkuu hapa kwenye Bank Statement kuna vimakato vingi vingiii sana
 
Habari Za Miangaiko Familia yangu humu JF,

Naomba Muwe makini na Hizi Benki Mimi uwa Ninatoa pesa kwenye ATM Halafu napata Meseji ya Balance iliyobaki.

Sasa Leo nikaamua tu nipige Mahesabu pesa Nilizotumia kwa Miezi Mitatu Si nikakuta kuna Laki Tano haipo kucheki kumbe nilitoa Elfu Hamsini Siku hiyo ikaonyesha nimetoa Laki Tano.

Sasa Leo nimeenda Benki nimetoa Bank Statement kuangalia nimekuta tatehe niliyotoa Elfu Hamsini nilitoa Tena Laki Tano kitu Ambacho sio kweli.

Mimi nimebisha Sijatoa wakaniambia Basi kuna Mtu Anajua Namba yangu ya Siri ukweli Sijawahi Mps mtu yoyote namba yangu ya Siri wamesema Hawawezi Nisaidia.

Mimi ndo natskiwa nijue Nani Alitoa hiyo Pesa Ukweli Nimeumia Saana Unajua Pesa hii ni Nyingi Sana kwa Usawa huu humu kuna Watu waungwana naomba mnishauli nifanyeje pia Nimeambiwa Bank Statement Nitakatwa Elfu kumi na Mbili ni sawa tu Make nilikubali wakate nikiwa na Uhakika nitaludishiwa Pesa Zangu kuweni Makini Sana Msiseme Sijawashtua.
Inatakuwa angalau wakuambie pesa imetolewa kwenye ATM ipi, lini na saa ngapi, na namba ya card iliyotumika (kabla wewe hujawaonyesha namba ya card yako) hizo ni taarifa ambazo lazima wawe nazo kwenye mifumo yao. Zikipatikana wanaweza hata kumuona aliyetoa hiyo pesa kwenye CCTV
 
Habari Za Miangaiko Familia yangu humu JF,

Naomba Muwe makini na Hizi Benki Mimi uwa Ninatoa pesa kwenye ATM Halafu napata Meseji ya Balance iliyobaki.

Sasa Leo nikaamua tu nipige Mahesabu pesa Nilizotumia kwa Miezi Mitatu Si nikakuta kuna Laki Tano haipo kucheki kumbe nilitoa Elfu Hamsini Siku hiyo ikaonyesha nimetoa Laki Tano.

Sasa Leo nimeenda Benki nimetoa Bank Statement kuangalia nimekuta tatehe niliyotoa Elfu Hamsini nilitoa Tena Laki Tano kitu Ambacho sio kweli.

Mimi nimebisha Sijatoa wakaniambia Basi kuna Mtu Anajua Namba yangu ya Siri ukweli Sijawahi Mps mtu yoyote namba yangu ya Siri wamesema Hawawezi Nisaidia.

Mimi ndo natskiwa nijue Nani Alitoa hiyo Pesa Ukweli Nimeumia Saana Unajua Pesa hii ni Nyingi Sana kwa Usawa huu humu kuna Watu waungwana naomba mnishauli nifanyeje pia Nimeambiwa Bank Statement Nitakatwa Elfu kumi na Mbili ni sawa tu Make nilikubali wakate nikiwa na Uhakika nitaludishiwa Pesa Zangu kuweni Makini Sana Msiseme Sijawashtua.
Pesa ilitolewa kwa njia gani? ATM au SIM banking? Badilisha namba yako ya siri haraka.

Kama ni ATM, Pia waulize location yake na uombe footage ya video camera (CCTV) kuona na alitoa pes. Wakikataa nenda polisi karipoti wizi.
 
Kwenye statement inaonesha alietoa alitoa kwa njia gani, ATM wakala au ndani.

Kama ndani au ATM kuna camera iyo siku, lipia elfu 15 kisha wa access.

Kama ni kwa wakala ndio ujue wakala gani wa wapi na alietoa alikua nani na alitumia simu au card.
Mimi nilichomolewa hela kupitia wakala, bank wakantrace wakanipa location na jina la wakala ili tukajaribu kucheki kwa kamera, wakala akanigomea huku akinijibu kwa jazba kwa hofu kuwa naweza nikawa mtu asie mwaminifu..nikajiondokea nikaachana nae
 
Ilinitokea hiyo, Nilitoa kwa card NMB Wakala hapo Kariakoo yule wakala mpaka leo namkumbuka, baada ya kutoa fedha kiasi cha 300,000 nikaondoka baada ya kuona message imeingia kwenye simu kwamba umetoa kiasi cha sh 300,000 kutoka kwa wakala ABC... sasa kumbe message zimeingia mbili za miamala ya 300k, ila kwasababu ya haraka utaona ile message moja tu, au hata ukiona mbili utasema labda ni mtandao tu, Sasa kumbe yule wakala amefanya miamala miwili ya laki tatu jumla 600k ila cash aliyonipa mkononi ni 300k. Sikuhangaika kuwaza au kuangalia salio. Baada ya siku kadhaa kupita nikasema ngoja niangalio salio, Lahaula! Nakuta 300k haipo na sielewi imeenda wapi! Chap nikaenda NMB Bank nikaomba statement, kuangalia nakuta ile siku niliyotoa 300k kumbe ilikuwa 600k! Yaani miamala inaonekana miwili imefuatana.Wakanipa barua nikafuate hiyo 300k iliyobaki kwa yule wakala, wakaniambia au kama nimepasahau wao wanaweza kuwasiliana naye, bahati nzuri nikapakumbuka, nikarudi nikamuonyesha vielelezo vyote, wala hakua mbishi, chap akanivutia 300k yangu nikatembea.

Fikiria wangapi wanaofanya miamala midogo wala hawaangalii salio au bank statement wanaibiwa kiasi gani? Ina maana nisingeshtuka ndiyo ingekuwa basi tena😀
Ndio chanzo cha Mimi kutofuta miamala yangu ya kwenye simu hasa ule wa mwisho.. miamala wa mwisho ndio nautumia kufanya reference kwa unaofuata. Kisha ule recéntly ndio nauacha XD
 
Itakuwa kwa wakala. ATM huwezi kutoa 500k, unatoa kwa mafungu ya laki nne nne tu.
Ila kuwa Makini na msg unayotumiwa, 50,000 inasomeka kirahisi kama 500,000.
Wasiliana na benk yako uwe unapata msg Kila unapotoa hela
Wewe hizo atm za zamani, atm za kisasa zinatoka hadi laki 6 kwa mkupuo
 
Back
Top Bottom