Mzalendo_Mwandamizi
JF-Expert Member
- Dec 12, 2007
- 1,117
- 4,772
Once a teacher, always a teacher. Kwenye intelijensia ni hivyo pia. Ukikipenda kitu, na ukakimudu, na ukajibidiisha kuji-keep up-to-date unaweza kuwa bora katika fani husika mpaka mwisho wa uhai. Pengine bora kuliko "waliopo kazini."Nimeuliza tu mkuu. Maana pia niliangalia kitengoni umedumu kama miaka 13 na upo nje ya kitengo kwa 13. Nikawa najiuliza vyanzo vya taarifa zako.. kwa hii miaka 13 si inaweza ikawa vimetibuliwa tibuliwa sana. Ila kutokana na majawabu yako sawa. Acha nikabebe zege haya mambo yenu watu wazito
Mkuu kunywa pepsi na maji, nitakurushia m-pesa. Haiweleki watu watashangazwa tu mda si mrefu, kufatilia mambo yao kichwa kinaweza kukuumaHii movie sielewi kabisa yaani stering ni nani
Jambo hili linawezekana sana tu, kama tu utajua mtaala gani wanatumia TISS kwa sasa hasa PSU. Mambo mengine acha niwaachie wenyewe wana vitengo. Naamini Serikali ndio ina taarifa sahihi zaidi za kinacho endelea na ukimywa wa serikali una maana pia.Once a teacher, always a teacher. Kwenye intelijensia ni hivyo pia. Ukikipenda kitu, na ukakimudu, na ukajibidiisha kuji-keep up-to-date unaweza kuwa bora katika fani husika mpaka mwisho wa uhai. Pengine bora kuliko "waliopo kazini."
Mungu ajua, tuacheni taasisi ya urais ifanye kazi zakeHebu tusaidie Mr.Chahali,Mzee yupo hai au Israel ameshafunga jalada?
Inawezekana hata TISS hawafahamu lolote!Jambo hili linawezekana sana tu, kama tu utajua mtaala gani wanatumia TISS kwa sasa hasa PSU. Mambo mengine acha niwaachie wenyewe wana vitengo. Naamini Serikali ndio ina taarifa sahihi zaidi za kinacho endelea na ukimywa wa serikali una maana pia.
Mkuu tunachezewa mindgamesMkuu kunywa pepsi na maji, nitakurushia m-pesa. Haiweleki watu watashangazwa tu mda si mrefu, kufatilia mambo yao kichwa kinaweza kukuuma
Ndio maana nimesema PSU. TISS hawafahamu kuhusu nini ? Hakuna anae jua taarifa zote, ndani mle wana mipaka ya taarifa na mipaka ya kiutendaji hadi DIWANI hajui kila kituInawezekana hata TISS hawafahamu lolote!
Mambo yao haya nimeona kuna jambo linatengenezwa, ni kheri kukaa nao mbali hawa watu. Hizi hekaya zina athari na mwisho wa siku kuna mmoja atacheka na mwingine ataliaMkuu tunachezewa mindgames
Diwani hawezi jua pia kila kitu. Anareport taarifa ambazo zimechambuliwa na watendaji wengine. Na kuna vitengo haviwajibiki kwa diwani moja kwa moja. Huwezi kabiziwa TISS yote 😀😀😀.. hii ipo kwenye vyombo vyote vya usalama.. kuna nondo humo zikiona unaleta umbuzi ndio utashangazwa na roho yako 😀😀Ni ngumu sana kwa Diwani kutokujua mambo! Kumbuka yule ndiyo ana report kwa Rais moja kwa moja! Sasa asipojua mambo si ni hatari hii! Ungesema kila kitengo kina siri zake!
Kwendraaaaaaaaa!Ni rahisi kutukana ukiwa unatumia jina feki. Na ni matusi hayo yaliyopelekea nikakubloku. Kumbuka kwamba kutumia fake ID hakumaanishi kuwa upo invisible.
LIHACHA naona kama MWEHU fulani hivi.Yupo kwenye mtandao flani hivi maarufu Duniani,anajiita"Spy" Eti alikimbilia Ughaibuni lest he would be safe ,Eti akiwa Bongo atadhurika.
Huyo mtu ni HATARI zaidi ya nyoka,kazi yake kubwa ni kujifanya yupo Upinzani na mkosoaji wa Serikali,kumbe ni Traitor,na Bado yupo kitengoni, amekamatisha wengi mno waliodhani ni mwenzao kumbe ni Traitor.
Huko Ughaibuni pia yupo kikazi, na anajifanya Eti hajawahi kuja Bongo Tangu aondoke,kumbe mara kibao tu anakuja kwao na kula kambare Kama Kawa yaani.
Mambo anayoandika huko mtandaoni utaamini kabisa kuwa he's not part of the government's body kumbe yupo kazini.
Kazi kwenu.
Kitengoni mnasemaje ?LIHACHA naona kama MWEHU fulani hivi.
Kitengoni mnasemaje ?
Juu ya diwan,wapo wanne na ambao yeye mwenyewe hawajui na hawaripoti kwake..na hawapo nchini....Ni ngumu sana kwa Diwani kutokujua mambo! Kumbuka yule ndiyo ana report kwa Rais moja kwa moja! Sasa asipojua mambo si ni hatari hii! Ungesema kila kitengo kina siri zake!
Watu wa vitengo wanapo vutana, ujue kuna kitu hakipo sawa mahala flaniAnapambana na Kigogo sana huko twita.
Point kubwa sana hii. Unaweza jilete mtu shida na familia kubaki na machozi kwa kushabia mambo ambayo hayakuhusuKuna wanaharakati kama unawajua kwa ukaribu ni waoga tu lakini kutwa kuinanga serikali alafu hawaguswi! Nanga wewe sasa! Tafuta ugali wako achana na mambo ya watu usiowajua.
such information ni ngumu kuzifaham. mtu kama huyo hawezi weka sources wake nje. why?Ukiangalia huyu mwamba, amekuwepo TISS kama mika 13 na yupo pia nje ya TISS kwa miaka 13 kama mahesabu yangu sawa sawa.. vyanzo vyake vya taarifa na uhakika wa hizo taarifa upoje ? Hii inafanya kazi na kwa kina Kigogo pia, huyo ndio atujui katoka huko lini na alikuwa na wadhifa upi na masalia kiasi gani anayo huko na je bado yapo active au nayo wame yamwaga.. wasichekana wala kutukanana --- wote hawapo jikoni