Kuweni makini: Nyumba za kisasa zisizoonyesha bati juu zinavuja mno, msikimbilie kujenga

Kuweni makini: Nyumba za kisasa zisizoonyesha bati juu zinavuja mno, msikimbilie kujenga

Wadau habari zenu,

Utafiti wangu wa kina umebaini kuwa watu wengi Leo hii wanajenga kwa kasi sana nyumba za kisasa zisizoonyesha bati lake. Ila wengi mno wanalia kipindi cha mvua, hazitililishi maji vizuri na hivyo kuharibu sana Ceiling boards na Gypsum na kulowanisha kuta.

Nimeshuhudia wengi wakipata hasara kubwa na kuibuka kwa magomvi mengi kati ya mafundi na wenye nyumba. Kuweni makini, kama vipi jengeni za kawaida tu.
wanadai ni contemporary designs ilhali ni fashion za enzi za vasco da gama
 
Wadau habari zenu,

Utafiti wangu wa kina umebaini kuwa watu wengi Leo hii wanajenga kwa kasi sana nyumba za kisasa zisizoonyesha bati lake. Ila wengi mno wanalia kipindi cha mvua, hazitililishi maji vizuri na hivyo kuharibu sana Ceiling boards na Gypsum na kulowanisha kuta.

Nimeshuhudia wengi wakipata hasara kubwa na kuibuka kwa magomvi mengi kati ya mafundi na wenye nyumba. Kuweni makini, kama vipi jengeni za kawaida tu.
Hizi nyumba zinajengwa sana huko Uarabuni maeneo ambayo yanafanana na Jangwa kwa sababu hamna mvua za mara kwa mara na kina joto kali kwa hyo wanaepuka joto linalosababishwa na bati..
Lakini huku kwetu bila ufahamu watu wamekurupuka kwa kuiga na wengi wao wanalia
 
Hizi kazi zetu za ujenzi, kadri unavyokua bahiri ndivyo unavyopunguza ubora wa hicho unachokijenga.

Fundi unaemlipa 20k kwa siku, lazima wewe uwe mtaalam wa ujenzi na ufanye usimamizi wa uhakika. Tofauti na hapo, tafuta fundi mzoefu, muuzie kazi yote then utegemee utaalam wake!

Wabongo mmegoma kutumia wataalam wa ujenzi, ila yakiwakuta huko malalamiko hayaishi. Haya mambo sisi tumekaa darasani miaka minne, tukafundishwa namna ya kudeal nayo. Usitegemee "fundi Maiko" akutolee kitu chenye ubora sawa na sisi!
Unadhani wanapenda..hali za uchumi hazruhusu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wadau habari zenu,

Utafiti wangu wa kina umebaini kuwa watu wengi Leo hii wanajenga kwa kasi sana nyumba za kisasa zisizoonyesha bati lake. Ila wengi mno wanalia kipindi cha mvua, hazitililishi maji vizuri na hivyo kuharibu sana Ceiling boards na Gypsum na kulowanisha kuta.

Nimeshuhudia wengi wakipata hasara kubwa na kuibuka kwa magomvi mengi kati ya mafundi na wenye nyumba. Kuweni makini, kama vipi jengeni za kawaida tu.
Nikweli kabisa
 
Ubahiri wenu ndio unawaponza.

Mm nazijenga Sana na Wala hazivuji
Sikilizeni. Tanzania ukihesabu nyumba ambazo zina ubora i.e. zimejengwa kwa kufuata utaalam sidhani kama utapata hata asilimia 30. Nchi yetu watu wanaunganisha matofali na kupiga bati juu lakini hawajengi nyumba. Wenzetu majuu wakijenga wanajua hata nyuzi joto ndani itakuwa kiasi gani. Wanajua mzunguko wa hewa unaotakiwa... ni mambo mengi. Mtaani mafundi asilimia kubwa ni vilaza.
 
Wadau habari zenu,

Utafiti wangu wa kina umebaini kuwa watu wengi Leo hii wanajenga kwa kasi sana nyumba za kisasa zisizoonyesha bati lake. Ila wengi mno wanalia kipindi cha mvua, hazitililishi maji vizuri na hivyo kuharibu sana Ceiling boards na Gypsum na kulowanisha kuta.

Nimeshuhudia wengi wakipata hasara kubwa na kuibuka kwa magomvi mengi kati ya mafundi na wenye nyumba. Kuweni makini, kama vipi jengeni za kawaida tu.
Hizo Ni nyumba Kali Sana ila sio za kujenga maskini na kuokoteza mafundi..

Shida kubwa Ni supply ya mafundi wataalamu Ni wachache.

Ingekuwa hivyo magorofa yangekuwa yanavujq Sana .

Ushauri jengea kwa kutumia kampuni za ujenzi ili iwe rahisi kuwa consult.
 
Sikilizeni. Tanzania ukihesabu nyumba ambazo zina ubora i.e. zimejengwa kwa kufuata utaalam sidhani kama utapata hata asilimia 30. Nchi yetu watu wanaunganisha matofali na kupiga bati juu lakini hawajengi nyumba. Wenzetu majuu wakijenga wanajua hata nyuzi joto ndani itakuwa kiasi gani. Wanajua mzunguko wa hewa unaotakiwa... ni mambo mengi. Mtaani mafundi asilimia kubwa ni vilaza.
Pamoja na hayo nyumba za contemporary sio za fundi Michael,tumia kampuni za ujenzi na gharama Ni nafuu..

Kampuni unqchagua kuanzia ramani za chini na Hadi finishing,hii ya kusema naomba ramani yako unampa fundi Michael ita ku cost..

Kwenye Miji mikubwa mafundi wapo ila huku kwingine hata paa za kawaida tuu zikiwa na mitindo wanashindwa kuezeka..

Paa Kama hii hapa chini huwezi pata fundi kwenye miji yetu midogo kiasi kwamba mitindo iliyopo ya uesekaji Ni ya kufanana 👇
 

Attachments

  • ASUKILE CLASSIC 4-FINAL.png
    ASUKILE CLASSIC 4-FINAL.png
    28 KB · Views: 22
  • North Elevation-1.png
    North Elevation-1.png
    8.1 KB · Views: 22
Tusidanganyane hapa,hizi nyumba kama fundi ni mzuri hazivuji zikiwa mpya,ila tu baada ya miaka mingi huwezi kukataa kuvuja kwakuwa kuna sehemu bati linakutana na ukuta au tofali direct,baadaye kinachokuja haraka ni kutu na bati kuoza haraka sana.Nimeishi nyumba za wahindi au NHC nyingi tatizo ni kuoza mabati kule mwishoni,na kumbuka miaka ile bati zilikuwa ngumu na nzito sana,sasa kwa haya ya geji 30 tunayoweka kubana matumizi lazima ulie tu...
 
Wadau habari zenu,

Utafiti wangu wa kina umebaini kuwa watu wengi Leo hii wanajenga kwa kasi sana nyumba za kisasa zisizoonyesha bati lake. Ila wengi mno wanalia kipindi cha mvua, hazitililishi maji vizuri na hivyo kuharibu sana Ceiling boards na Gypsum na kulowanisha kuta.

Nimeshuhudia wengi wakipata hasara kubwa na kuibuka kwa magomvi mengi kati ya mafundi na wenye nyumba. Kuweni makini, kama vipi jengeni za kawaida tu.
Mkuu ulitumia fundi wa kawaida?

Mimi ni mjenzi profesheno nione nikushauri tu hutojuta
 
Back
Top Bottom