Kuweni makini: Nyumba za kisasa zisizoonyesha bati juu zinavuja mno, msikimbilie kujenga

Kuweni makini: Nyumba za kisasa zisizoonyesha bati juu zinavuja mno, msikimbilie kujenga

Wadau habari zenu,

Utafiti wangu wa kina umebaini kuwa watu wengi Leo hii wanajenga kwa kasi sana nyumba za kisasa zisizoonyesha bati lake. Ila wengi mno wanalia kipindi cha mvua, hazitililishi maji vizuri na hivyo kuharibu sana Ceiling boards na Gypsum na kulowanisha kuta.

Nimeshuhudia wengi wakipata hasara kubwa na kuibuka kwa magomvi mengi kati ya mafundi na wenye nyumba. Kuweni makini, kama vipi jengeni za kawaida tu.
Mkuu ulitumia fundi wa kawaida?

Mimi ni mjenzi profesheno nione nikushauri tu hutojuta
 
 
Kwa hii video izungukayo mtandaoni ni heli angepanda mwembe akajificha chini yake ktk kipindi cha mvua,kifupi nyumba hana.
 
Vizuri hebu tuonyeshe picha za kazi zako
Mkuu sijaja kutafuta wateja bali kutoa ushauri.
Nina wateja humu kurusha picha za wateja bila ridhaa haifai nitapoteza wateja.

Vinginevyo pitia uzi wangu ujifunze

 
Kwa hii video izungukayo mtandaoni ni heli angepanda mwembe akajificha chini yake ktk kipindi cha mvua,kifupi nyumba hana.
Boss nyumba hizo jazina tatizo bali wajenzi wana matatizo au mapungufu.

Unatakiwa kuanzia msingi ujenge kitu kinaitwa duct yaani kitu kama dohali kwa lengo la kuvuna maji na isiwe moja.
 
H
Wadau habari zenu,

Utafiti wangu wa kina umebaini kuwa watu wengi Leo hii wanajenga kwa kasi sana nyumba za kisasa zisizoonyesha bati lake. Ila wengi mno wanalia kipindi cha mvua, hazitililishi maji vizuri na hivyo kuharibu sana Ceiling boards na Gypsum na kulowanisha kuta.

Nimeshuhudia wengi wakipata hasara kubwa na kuibuka kwa magomvi mengi kati ya mafundi na wenye nyumba. Kuweni makini, kama vipi jengeni za kawaida tu.
Unazungumzia nyumba zipi?Hidden roof au open roof?
 
Back
Top Bottom