Muwa mtamu
JF-Expert Member
- Jun 13, 2020
- 847
- 1,599
Mkuu ulitumia fundi wa kawaida?Wadau habari zenu,
Utafiti wangu wa kina umebaini kuwa watu wengi Leo hii wanajenga kwa kasi sana nyumba za kisasa zisizoonyesha bati lake. Ila wengi mno wanalia kipindi cha mvua, hazitililishi maji vizuri na hivyo kuharibu sana Ceiling boards na Gypsum na kulowanisha kuta.
Nimeshuhudia wengi wakipata hasara kubwa na kuibuka kwa magomvi mengi kati ya mafundi na wenye nyumba. Kuweni makini, kama vipi jengeni za kawaida tu.
Vizuri hebu tuonyeshe picha za kazi zakoMkuu ulitumia fundi wa kawaida?
Mimi ni mjenzi profesheno nione nikushauri tu hutojuta
Mkuu sijaja kutafuta wateja bali kutoa ushauri.Vizuri hebu tuonyeshe picha za kazi zako
Boss nyumba hizo jazina tatizo bali wajenzi wana matatizo au mapungufu.Kwa hii video izungukayo mtandaoni ni heli angepanda mwembe akajificha chini yake ktk kipindi cha mvua,kifupi nyumba hana.
Unazungumzia nyumba zipi?Hidden roof au open roof?Wadau habari zenu,
Utafiti wangu wa kina umebaini kuwa watu wengi Leo hii wanajenga kwa kasi sana nyumba za kisasa zisizoonyesha bati lake. Ila wengi mno wanalia kipindi cha mvua, hazitililishi maji vizuri na hivyo kuharibu sana Ceiling boards na Gypsum na kulowanisha kuta.
Nimeshuhudia wengi wakipata hasara kubwa na kuibuka kwa magomvi mengi kati ya mafundi na wenye nyumba. Kuweni makini, kama vipi jengeni za kawaida tu.
Uzi umefungwa Kwa comment hii........Tatizo mnajenga kwa hela za mawazo kisa kuiga mtindo!! Fundi mzuri nyumba haivuji kamwe!
Nitawashauri wajeMkuu ulitumia fundi wa kawaida?
Mimi ni mjenzi profesheno nione nikushauri tu hutojuta
Fundi mzuri utamjuaje?Uzi umefungwa Kwa comment hii........
HiddenH
Unazungumzia nyumba zipi?Hidden roof au open roof?