Lyetu
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 1,268
- 3,429
Hiyo haina shida, muhimu ni wapate mahitaji muhimu. Tatizo sisi tunazaa kama fashion au kutimiza wajibu tu kwamba umezaa ila kiuhalisia huna furaha na hiyo familia kwasababu ya majukumu.kuna kaka yangu watoto wake ni wajukuu zake kiumri..
Madogo wakileta mahitaji mezani unakuwa mkali