Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅***** huyo demu wako alikuwa na umri gan mzeeInategemea familia watachukulia vip mkuu , mimi nilipata mtoto wangu wakwanza na miaka 16 na miezi 8
Hujafikiria tu vizuri, nguvu unayotumia wewe kulea familia yako ni tofauti na kijana wa miaka 30 mwenye watoto watatu.Mkuu kila jambo lina faida na hasara, shuhuda akiwa ni mimi.
Nimeoa na hiyo 40 unayotaka wewe, nimestaafu nikiwa na kachanga ka kustaafia na watoto 3 wakiwa Sekondari.
Walio oa mapema na kubeba majukumu mapema wapo vizuri kuliko sisi tulochelewa.
Ntaendelea kuwa mlishi hadi nazikwa.
Ni kweli ila atakuwa kachagua kwa ujinga wake mwenyeweKuna machaguo ya kijinga pia.
30-35 mkuu😅***** huyo demu wako alikuwa na umri gan mzee
Sasa chukua hii mzee wangu kami Pata akiwa 44 of age nilimsumbua sana enz za kusoma, pia kingine incampibility ya kulea watoto at that age tuisijifananishe na wazungu mtu ana hadi daktari wa lishe haya probability ya kupata ajali ni ndogo mwenzetu wana four ways plus fly overs Sasa uwezekano wa kuishi muda mrefu upo haya uwekezaji wao pia,Mnachekesha vijana wadogo, mimi am 44yrs, na nipo fire vibaya sana, siri kubwa nafanya mazoezi makali,nakunywa tangawizi,mdalasini,karafuu, na kingine karanga kwa sana,na vyakula vya proten,
Maji ndio starehe yangu pia, kwa mwanaume miaka 40 bado sana, labda nyie kwakuwa hamtafikia umri huu tulionanao,siwezi ongea sana maana hutoelewa, Mungu ajalie mfe mkuwa wadogo ivyo ivyo,maana mnatusimanga sana wapuuzi nyie(joking)
Hio 40 kuikamata siku hizi nayo mtiti people are dying at 20s to 30sUnakuta kijana amezaa akiwa na umri mdogo, na kuanza kubeba majukumu mazito ndani ya umri mdogo, ata maisha anakuwa hajayafurahia.
Mbaya zaidi anazaa watoto wengi, inayopelekea katika maisha yake yote ya ujanani mpaka uzeeni anaishi kwa kuteseka, kwa kugharamia familia kwenye mahitaji na elimu.
Ukitaka kushuhudia hili, mtazame mwenzako au ata jirani yako hapo mtaani, hawana furaha kabisa, wote wanawaza mwezi januari watavukaje.
Ile ya kusema kila mtoto anakuja na bahati yake hiyo haipo siku hizi, we zaa angalau ukiwa na miaka 40+, ndio maana wenzetu nje wanazaa watoto 2 au 1.
Unastaafu au unafikia umri wa kustaafu na mtoto miaka 5. Unaulizwa huyu ni mjukuu au mtoto ? Kibaya zaidi first born anakuwa hajamaliza hata degree.Unakuta kijana amezaa akiwa na umri mdogo, na kuanza kubeba majukumu mazito ndani ya umri mdogo, ata maisha anakuwa hajayafurahia.
Mbaya zaidi anazaa watoto wengi, inayopelekea katika maisha yake yote ya ujanani mpaka uzeeni anaishi kwa kuteseka, kwa kugharamia familia kwenye mahitaji na elimu.
Ukitaka kushuhudia hili, mtazame mwenzako au ata jirani yako hapo mtaani, hawana furaha kabisa, wote wanawaza mwezi januari watavukaje.
Ile ya kusema kila mtoto anakuja na bahati yake hiyo haipo siku hizi, we zaa angalau ukiwa na miaka 40+, ndio maana wenzetu nje wanazaa watoto 2 au 1.
Kama mtu kaoa kwa umri mdogo unaokubalika, si shida labda kama yuko chini ya miaka 18. Faida nyingine kuzaa watoto timamu, kuliko ukiwa umri umeenda unazaa vilema.Huu mfumo umeshashindwa sio mfumo sahihi tena wa maisha.
Huu mfumo umezalisha watoto wa mtaani wengi, masikini wengi, wajinga wengi n.k kwasababu watu wanazaa kutimiza wajibu tu nayeye aonekane anae mtoto ila kiuhalisia hakupaswa kabisa kuwa na mtoto kwasababu hawezi kumpa mahitaji muhimu kama malezi Bora, afya, makazi bora, elimu bora n.k
Bila hata joking, 44 ni kijana mdogo bado, haujafikia hata kuitwa 'wa makamo'.Mnachekesha vijana wadogo, mimi am 44yrs, na nipo fire vibaya sana, siri kubwa nafanya mazoezi makali,nakunywa tangawizi,mdalasini,karafuu, na kingine karanga kwa sana,na vyakula vya proten,
Maji ndio starehe yangu pia, kwa mwanaume miaka 40 bado sana, labda nyie kwakuwa hamtafikia umri huu tulionanao,siwezi ongea sana maana hutoelewa, Mungu ajalie mfe mkuwa wadogo ivyo ivyo,maana mnatusimanga sana wapuuzi nyie(joking)
Uchumi ukitengenezwa vizuri kuzaa ni muhimu, hata 10 zaa tuAfrica kuzaa ni fashion na kufata mkumbo tu. Usipokua na watoto utachekwa ila hao watoto wakikosa mahitaji muhimu huchekwi inaonekana ni kitu cha kawaida tu.
Kuzaa hakukunufaishi chochote wakati wa malezi zaidi ya kuongeza majukumu, kabla hujazaa tambua unakwenda kujiongezea majukumu na ujiandae kukabiliana nayo.
Unakuta umekaa zako huna hili wala lile mara mshikaji anakucheki anaomba umuazime 30k mke ameenda kujifungua, ukimcheki jamaa ana miaka kama 25-26 hivi. Unajiuliza huyu jamaa anawahi nini? kama hata 30k kakosa hao watoto watapata matunzo kweli?
Siwabezi mkuu ila mimi bado nipo kati ya 30 naa na kijana wangu tayari ana 18 ila ni bahati mbaya wala sikupenda iwe hivyoHongera kwa kuwahi, ninaunga mkono sana kuzaa mapema na kuchukua majukumu ya malezi mapema.
Kuliko siye tuliojichelewesha kipumbaf pumbaf bila sababu za maana, tunakuja kusota uzeeni.
Kwa kweli maana hata mimi kile kiwango nilichokuwa namwaga sasa hivi ni tofauti kabisaMiaka 40 unapiz nini kama sio upepo
Wakikuuliza hivyo inakuondolea uhai????Unastaafu au unafikia umri wa kustaafu na mtoto miaka 5. Unaulizwa huyu ni mjukuu au mtoto ? Kibaya zaidi first born anakuwa hajamaliza hata degree.
Kujisifu tu ujinga broo 44 Unatakiwa na mtoto s chini ya miaka 18 hyo ndo awe first bornBila hata joking, 44 ni kijana mdogo bado, haujafikia hata kuitwa 'wa makamo'.
Na kwa mwanamke umri huo sasa, wanapendeza sana kuliko wasichana wakiwa kwenye kilele cha kuelekea kuyaaga mambo yetu yaleee, basi wanakuwa ni vipusa kishenz, chaguo la kila mwanaume!
Usijilaumu bhana, mi nawapongeza.Siwabezi mkuu ila mimi bado nipo kati ya 30 naa na kijana wangu tayari ana 18 ila ni bahati mbaya wala sikupenda iwe hivyo
Yeah!... hili ndio la muhimu....👏👏👏Mtu azae pale anapoona yupo tayari kwa majukumu ya malezi.