komasalonde
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,783
- 2,479
Kipato kikiruhusu zaa kwa fujo. Eneo letu Africa ni kubwa kuliko idadi ya watu ukilinganisha na China. Ni sahihi kwanza uchumi lakini kuzaa muhimu sana.Wakikuuliza hivyo inakuondolea uhai????
Huo ni ushamba wa kiafrika. Utamkuta mtu ambae hana uhakika hata wa mlo kwa familia yake, anamcheka mtu ambae amezaa umri umeenda ila anao uwezo wa kumpa mwanae kilakitu anachohitaji. Sasa nani mjinga hapo?
Sijalaumu ila pia haiondoi ukweli kwamba sikudhamiria mimi kama mimi tofauti na mama yake🤔Usijilaumu bhana, mi nawapongeza.
Kusomesha wala hautapinda mgongo.
Vijana mkome kutusimanga na kutuita wazee sisi wenye umri miaka 40+Sasa chukua hii mzee wangu kami Pata akiwa 44 of age nilimsumbua sana enz za kusoma, pia kingine incampibility ya kulea watoto at that age tuisijifananishe na wazungu mtu ana hadi daktari wa lishe haya probability ya kupata ajali ni ndogo mwenzetu wana four ways plus fly overs Sasa uwezekano wa kuishi muda mrefu upo haya uwekezaji wao pia,
Kibongo, unastaafu huna Ata hisa, bonds, unategemea biashara mwishowe unakufa kwa stress
Watoto wenu timamu mliowazaa mapema ndio masikini ila hao wanaozaliwa wazazi umri umeenda na wakapata mahitaji yote muhimu maisha yao ni mazuri.Kama mtu kaoa kwa umri mdogo unaokubalika, si shida labda kama yuko chini ya miaka 18. Faida nyingine kuzaa watoto timamu, kuliko ukiwa umri umeenda unazaa vilema.
Mkuu umetisha mnoKuzaa kunahitaji utayari, wa mambo mengi. Mtu akiona yupo tayari, haijalishi umri wake, yeye azae tu.
Balaa gani hiyo?...mbona poa tuUnakuta kijana wa miaka 35 ana binti wa miaka 18, sasa si balaa hapo ndugu zangu.
Usiwasahau waliozaa vilema, sababu ya kuchelewa kuzaa.Watoto wenu timamu mliowazaa mapema ndio masikini ila hao wanaozaliwa wazazi umri umeenda na wakapata mahitaji yote muhimu maisha yao ni mazuri.
Kwa nini mangi!Mkuu umetisha mno
Uzae kwa fujo kwa masirahi ya nani??? Unanufaika nini?? Zaa watu ambao unaweza kumudu mahitaji yao na kuwamonitor makuzi yao, malezi yao, afya yao, elimu, talent n.k. Africa tunafanya mambo ya Msingi kimasihara sanaKipato kikiruhusu zaa kwa fujo. Eneo letu Africa ni kubwa kuliko idadi ya watu ukilinganisha na China. Ni sahihi kwanza uchumi lakini kuzaa muhimu sana.
Miaka 40 utazaa wehu tupu DogoUnakuta kijana amezaa akiwa na umri mdogo, na kuanza kubeba majukumu mazito ndani ya umri mdogo, ata maisha anakuwa hajayafurahia.
Mbaya zaidi anazaa watoto wengi, inayopelekea katika maisha yake yote ya ujanani mpaka uzeeni anaishi kwa kuteseka, kwa kugharamia familia kwenye mahitaji na elimu.
Ukitaka kushuhudia hili, mtazame mwenzako au ata jirani yako hapo mtaani, hawana furaha kabisa, wote wanawaza mwezi januari watavukaje.
Ile ya kusema kila mtoto anakuja na bahati yake hiyo haipo siku hizi, we zaa angalau ukiwa na miaka 40+, ndio maana wenzetu nje wanazaa watoto 2 au 1.
Umesema kunahitaji utayari zaidi ya umri meku mpare😁Kwa nini mangi!
Ukifa kabla ya hio miaka 40+ itakuwaje na huna mtoto acha watu wazaeUnakuta kijana amezaa akiwa na umri mdogo, na kuanza kubeba majukumu mazito ndani ya umri mdogo, ata maisha anakuwa hajayafurahia.
Mbaya zaidi anazaa watoto wengi, inayopelekea katika maisha yake yote ya ujanani mpaka uzeeni anaishi kwa kuteseka, kwa kugharamia familia kwenye mahitaji na elimu.
Ukitaka kushuhudia hili, mtazame mwenzako au ata jirani yako hapo mtaani, hawana furaha kabisa, wote wanawaza mwezi januari watavukaje.
Ile ya kusema kila mtoto anakuja na bahati yake hiyo haipo siku hizi, we zaa angalau ukiwa na miaka 40+, ndio maana wenzetu nje wanazaa watoto 2 au 1.
Unapotosha watu😅wwZaeni Elimu Ni Bure
Siwabezi mkuu ila mimi bado nipo kati ya 30 naa na kijana wangu tayari ana 18 ila ni bahati mbaya wala sikupenda iwe hivyo
Mhmmm kuna nini tena😁
Una kijana wa miaka 18 au 8?Mhmmm kuna nini tena😁
Kumi na nane.Una kijana wa miaka 18 au 8?