Kuzaa na mtu hakukupi haki ya kufanya naye ngono kila utakapo!

Kuzaa na mtu hakukupi haki ya kufanya naye ngono kila utakapo!

Watoto wakalelewe kwa baba yao.

Bajeti ya mgao Nyumba mbili hakuna.

Ukiamua kubaki nao basi kubali kulea mwenyewe bila kulaumu mtu.
Inategemea umri wa watoto pia. Km bado wadogo why uwanyime mother love kwa ugomvi wenu wazazi? Au kwa kukwepa majukumu yako?

Na hata km wanajitambua still bado wana uhuru wa ku decide waishi na nani.
 
Sema wanawake wanabeba mimba hovyo hovyo, mwanamke akiamua kutozaa nawewe hata ufanye nini hauwezi kumpa mimba, ila yeye akiamua kuzaa utakwepa sana ila lazima unase tu!

Mimba isiyo na makubaliano, lawama zote anabeba mwanamke, hakuna excuse hapo!
Tuliozaa kwenye ndoa mnatusaidiaje mkuu
 
Huyo jamaa alitaka kuingia katika mlango uliofungwa bila ya funguo (aka PESA) , UKITAKA KUMPATA MWANAMKE WEWE JALI TUMBO LAKE TU.

Jamaa angerudi kwa gia ya sabuni ya Roho basi bila ya shaka mlango ungefunguka kiulaini kama umeguswa na jiwe FATUMA.

Hakujiongeza aisee
 
Habari zenu wanajukwaa,

Kumekuwa na trend ya kudharau sana single mothers wakidai kuwa lazima aliwe na aliyemzalisha. Hii ni dhana potofu na nafikiri inatengenezwa na hawa waliozaa na wanawake hawa.

Mimi ni single mother niliolewa kabisa tukashindwana tukaachana na mwenzangu kashaoa na ana watoto wengine. Mwaka jana alipiga kimya kwenye ada na matumizi ya watoto wake nikahustle mwenyewe hadi mwaka ukaisha.

Mwaka huu alinicheck kuwa anataka kuwaona wanae nikamwambia ruksa waone. Akaniuliza kuhusu ada nkampa mkeka, akadai hayuko vizuri. Nikamwambia nitamsaidia kukopa ila atakapolipa alipe na riba yake akakubali.

Nikapewa Tshs. 50,000 ya kununua vifaa sikulalamika, nikasema hayupo vizuri kwa sasa. Nashangaa anaanza kusema kamiss misosi yangu nkamwambia siwezi mpikia tena, akasema amemiss mbususu na show kali nkamwambia tushaachana haitakuja kutokea.

Nyie watu; imefika muda wa kulipa (technically nilikadiria sababu ada nishalipa baada ya kusota mwaka jana sikutaka ijirudie nkajipanga). Napiga simu haipokelewi wala message sijibiwi tena.

Kisa nimekataa kutoa show mtu kagoma kuhudumia wanae?? he he.

Nawasihi single mothers wenzangu usikubali kutumika kwa majukumu ya mtu. Kama anafanya afanye hataki pambana.

Nawapenda
Kama ni rahisi akamtie *****.Ukishamwaga mtu nyege tena za nini?
 
Jamaa yako anapigo za kishamba tu, lakini mimi ukishanizalia na tukaachana, amini kwamba nitakuwa nakula anytime ninapojisikia na mbinu mojawapo ya kukufanya uwe unakileta mwenyewe ni kama alivyosema mkuu Carlos hapo juu.

Hiyo ni mbinu mojawapo tu ya kivita, lakini zipo nyingi sana za kukufanya uwe unaileta mbunye mwenyewe bila bugza yoyote.
Fahamu kuachana kwa amani na kwa shari, wanawake huwajui ipo siku utalishwa sumu.
 
Mmmmh sio kweli. Wanawake ni wepesi mno kushawishika. Hujaliwa tu sababu ya hasira ya kutopewa matumizi ya Mtoto.

Huyo baba watoto akijikaza tu kutoa matumizi kwa muda fulani lazima ale hiyo mbususu. Tena utampelekea mwenyewe.

Jana tu chumba cha pili hapa jirani kaliwa mkewe na baba wa mtoto wa kwanza wa mke wake. Japo huyo mke mwanzoni alikuwa kakaza anaomba hadi ushauri wa kisheria kuhusu jamaa aliezaa nae kuona mtoto. Tena mbaya zaidi jamaa alikataa mtoto, mshkakaji kapenda boga na ua kaoa leo anachapiwa maskini kwa gia ya NATAKA NIONE MTOTO daaah bladfaken. ndio uone maajabu ya wanawake.
 
Habari zenu wanajukwaa,

Kumekuwa na trend ya kudharau sana single mothers wakidai kuwa lazima aliwe na aliyemzalisha. Hii ni dhana potofu na nafikiri inatengenezwa na hawa waliozaa na wanawake hawa.

Mimi ni single mother niliolewa kabisa tukashindwana tukaachana na mwenzangu kashaoa na ana watoto wengine. Mwaka jana alipiga kimya kwenye ada na matumizi ya watoto wake nikahustle mwenyewe hadi mwaka ukaisha.

Mwaka huu alinicheck kuwa anataka kuwaona wanae nikamwambia ruksa waone. Akaniuliza kuhusu ada nkampa mkeka, akadai hayuko vizuri. Nikamwambia nitamsaidia kukopa ila atakapolipa alipe na riba yake akakubali.

Nikapewa Tshs. 50,000 ya kununua vifaa sikulalamika, nikasema hayupo vizuri kwa sasa. Nashangaa anaanza kusema kamiss misosi yangu nkamwambia siwezi mpikia tena, akasema amemiss mbususu na show kali nkamwambia tushaachana haitakuja kutokea.

Nyie watu; imefika muda wa kulipa (technically nilikadiria sababu ada nishalipa baada ya kusota mwaka jana sikutaka ijirudie nkajipanga). Napiga simu haipokelewi wala message sijibiwi tena.

Kisa nimekataa kutoa show mtu kagoma kuhudumia wanae?? he he.

Nawasihi single mothers wenzangu usikubali kutumika kwa majukumu ya mtu. Kama anafanya afanye hataki pambana.

Nawapenda
Kukuomba mbususu hakukosea kwani mbhsusu yeyote ili iliwe lazima iombwe na wewe kumnyima mbususu sio kosa ni kawaida mwana.mke akiombwa aidha zkubali au akatae. Nashangaa unamsuta kwa hilo na wanaume humu wanakusapoti.

Kosa lake ni moja tu kugoma kuhudumia wanawe kulingana na uwezo wake.

Kuachana sio hoja kama yeye ndio alikuwa mkosaji inawezekana ametambua na hata anajutia makosa yake ndio maana anakufuata. Kila jambo unatakiwa ulipime kwa busara. Kama nyinyi ni wakristo bado mbinguni mnatambulika kama mume na mke halali hivyo hakuna dhambi mkipeana. Na mnaweza hata kurudiana kama mke na mume.

Mambo ya mapenzi hayataki siasa
 
Habari zenu wanajukwaa,

Kumekuwa na trend ya kudharau sana single mothers wakidai kuwa lazima aliwe na aliyemzalisha. Hii ni dhana potofu na nafikiri inatengenezwa na hawa waliozaa na wanawake hawa.

Mimi ni single mother niliolewa kabisa tukashindwana tukaachana na mwenzangu kashaoa na ana watoto wengine. Mwaka jana alipiga kimya kwenye ada na matumizi ya watoto wake nikahustle mwenyewe hadi mwaka ukaisha.

Mwaka huu alinicheck kuwa anataka kuwaona wanae nikamwambia ruksa waone. Akaniuliza kuhusu ada nkampa mkeka, akadai hayuko vizuri. Nikamwambia nitamsaidia kukopa ila atakapolipa alipe na riba yake akakubali.

Nikapewa Tshs. 50,000 ya kununua vifaa sikulalamika, nikasema hayupo vizuri kwa sasa. Nashangaa anaanza kusema kamiss misosi yangu nkamwambia siwezi mpikia tena, akasema amemiss mbususu na show kali nkamwambia tushaachana haitakuja kutokea.

Nyie watu; imefika muda wa kulipa (technically nilikadiria sababu ada nishalipa baada ya kusota mwaka jana sikutaka ijirudie nkajipanga). Napiga simu haipokelewi wala message sijibiwi tena.

Kisa nimekataa kutoa show mtu kagoma kuhudumia wanae?? he he.

Nawasihi single mothers wenzangu usikubali kutumika kwa majukumu ya mtu. Kama anafanya afanye hataki pambana.

Nawapenda

Pole kwa majanga
Ila kulika unalika vizuri tu sema jamaa yako hana mbinu wala hajui namna ya kucheza na saikolojia yako

Ila kuachana ni majanga sana, tuombe Mungu aepushie mbali hizi habari za kuachana zinaleta usumbufu na mateso kwa watoto
 
Kukuomba mbususu hakukosea kwani mbhsusu yeyote ili iliwe lazima iombwe na wewe kumnyima mbususu sio kosa ni kawaida mwana.mke akiombwa aidha zkubali au akatae. Nashangaa unamsuta kwa hilo na wanaume humu wanakusapoti.

Kosa lake ni moja tu kugoma kuhudumia wanawe kulingana na uwezo wake.

Kuachana sio hoja kama yeye ndio alikuwa mkosaji inawezekana ametambua na hata anajutia makosa yake ndio maana anakufuata. Kila jambo unatakiwa ulipime kwa busara. Kama nyinyi ni wakristo bado mbinguni mnatambulika kama mume na mke halali hivyo hakuna dhambi mkipeana. Na mnaweza hata kurudiana kama mke na mume.

Mambo ya mapenzi hayataki siasa
sisi waislam mkuu, na nmesuta sababu kabla alkua anahudumia, ila toka atake mbususu nmekataa ndo kaacha
 
Mi zile habari za jamaa kuja kumuona mwanae au kumpigia cm mzazi mwenzie cjui anauliza nn au wapange mipango gan cjui kuhusu mtoto dah hvyo tu ndo mtihani, nahis ntakosa aman kabisa
 
Back
Top Bottom