Hua sipanic mkuu,
Nimekuelekeza kazi ya uumbaji ni ya mungu, na kazi ya kuendeleza kizazi ni ya mungu, wewe na wengine tunetunikiwa tu nafasi ya kushiriki katika uumbaji huo,
Haimaanishi wote tukikataa kuzaa basi kizazi kitakufa, mungu anaweza tafuta namna nyingine ya kukiendeleza kizazi kama tukiwa wajeuri kama ulivo wewe,
So uzae au usizae, mungu hapungukiwi na kitu wala hauongezekiwi na kitu
So kuendeleza kizazi sio choice, kitaendelea tu hata usipozaa.
Ila faida za watoto zipo nyingi, wewe endelea kukataa kuzaa halafu rudi kwenye huu uzi 20-30 yrs uone umemiss nn kwa kutokuzaa