Kuzaliana kunamsaidia nini kiumbe anayezaa?

Kuzaliana kunamsaidia nini kiumbe anayezaa?

Sawa, na ofcoarse ni kweli kabisa unavyosema!

Lakini, swali la mleta mada ni je, jambo hilo lina faida gani kwa mzaaji!?
Mzaaji ana wajibu wa kuhakikisha sisi kama species tunasurvive. Asipozaa na uwezo upo amekwepa wajibu wake. Faida ni kuendeleza kizazi kama wazazi wake walivyofanya.
 
I guess mwenye mada hana mtoto ndo maana hajui faida ya mtoto.

Kwa kifupi dunian kumejaa mambo mengi, usipofanya moja lazima ufanye jingine, waswahili wanasema shuguli huvunjwa na shuguli.

So usipotumia effort katika kushiriki uumbaji basi possibly utatumia nguvu zako na muda katika mambo mengine ppossibly destruction ya mambo ya wengine.

Kwa kifupi unatakiwa uchague nguvu zako utawekeza katika kifanya nn? Sasa wale wenye watoto wanajua faraja inayopatikana kutoka kwa watoto, they smoothy your sorrow.

So chagua tu la kufanya, unaweza kuwa na vidog/vicat vikakushughulisha zaidi ya watoto, na mwingine akawa na watoto wa3-10, halafu wote mkapata mihangaiko sawa katika kuwalea watoto wenu.

Sasa, nani atapata faraja zaidi inategemea na perception ya mtu ila wote lazima mhangaike, na usipohangaika basi utapata la kukuhangaisha
Umeichambua vizuri sana Chifu
 
Kuzaa ni njia mpya ya kuhamisha genes kuendelea kubaki duniani. Viumbe wote ni watumwa wa genes. Ningeelezea mengi ila niishie hapo kwa leo.
Viumbe huzaa pale wanapokuwa wana resource za kutosha mfano chakula. Na viumbe huzaa watoto wengi pale inapokuwa chance of survival is low to compasate vifo ila population ipo at equilibrium. Mfano Sasa hivi hatuzai sana maana hatufi sana hence resources zipo chache na population is stable tukizidisha tuu vifo vitatokea vingi sana
Mtoa mada kaulizia ukizaa unapata faida gani
 
we are here on a special mission, nobody knows what that mission is. you die after completing that mission.
So how did you know that we are here for that mission mentioned above while you don't know what the mission is?
 
Vipi kuhusu ng'ombe, mbuzi na samaki. Wanapata faida gani?
Faida unayopata wewe kwa kula ng'ombe au kuku kila kukicha ni sababu ng'ombe na kuku huzaliwa na hivyo kupelekea idadi yao kuwa nyingi na kutuwezesha sisi Binadamu tupate vitoweo.

Binadamu tunapata faida za kujiona jinsi tulivyoumbika haswa kwa watoto wafananao sana na Baba au Mama, kumbuka haijawahi tokea Binadamu akaweza kuuona mgongo wake, kisogo chake, na viungo vingine ambavyo viko nyuma ya maumbile yake kwa jinsi tulivyoumbwa.

Nadhani pia ile Ecosystem inatuhusu sisi Binadamu kuwa vitoweo kwa ardhi tunapofariki (sina uhakika kwa 100%), kwa namna tunavyoitumia ardhi vya kutosha tukiwa hai, kisha tukishafariki huwa faida kwa ardhi na kupelekea kuzalisha madini aina ya "fossil fuels"
 
Kuzaa ni njia mpya ya kuhamisha genes kuendelea kubaki duniani. Viumbe wote ni watumwa wa genes. Ningeelezea mengi ila niishie hapo kwa leo.
Viumbe huzaa pale wanapokuwa wana resource za kutosha mfano chakula. Na viumbe huzaa watoto wengi pale inapokuwa chance of survival is low to compasate vifo ila population ipo at equilibrium. Mfano Sasa hivi hatuzai sana maana hatufi sana hence resources zipo chache na population is stable tukizidisha tuu vifo vitatokea vingi sana
Daaah we Jamaa umewaza vyema sana, ni sawa na pesa usipokuwa nayo basi matatizo hupungua au kutowepo kabisa, ila pesa ikiwepo tu halikadhalika changamoto sijui changabaridi nazo ndipo huibukia papo hapo
 
Faida unayopata wewe kwa kula ng'ombe au kuku kila kukicha ni sababu ng'ombe na kuku huzaliwa na hivyo kupelekea idadi yao kuwa nyingi na kutuwezesha sisi Binadamu tupate vitoweo.

Binadamu tunapata faida za kujiona jinsi tulivyoumbika haswa kwa watoto wafananao sana na Baba au Mama, kumbuka haijawahi tokea Binadamu akaweza kuuona mgongo wake, kisogo chake, na viungo vingine ambavyo viko nyuma ya maumbile yake kwa jinsi alivyoumbwa.

Ila ile nadhani pia ile Ecosystem inatuhusu sisi Binadamu kuwa vitoweo kwa ardhi tunapofariki (sina uhakika kwa 100%), kwa namna tunavyoitumia ardhi vya kutosha tukiwa hai, kisha tukishafariki huwa faida kwa ardhi na kupelekea kuzalisha madini aina ya "fossil fuels"
Mkuu, "fossil fuel" sio madini, hebu tuache kidogo.
Ni nishati.
 
Mwili wa binadamu na viumbe wengine wote unahangaika sana na mambo mawili. Kusurvive na kuzaliana. Sasa najiuliza kuzaliana kunamsaidia nini kiumbe anayezaa. Kuendeleza kizazi cha ng'ombe, kunamsaidia nini ng'ombe anayezaa. Binadamu walioishi miaka ya BC huko, wanafaidika vipi na kuendeleza uzao wa binadamu? Kungekuwa hamna kufa ningeweza kidogo kuelewa.

Zaidi naona uzazi unamnyonya mzazi kiafya, kichumi nk. Kuzaliana kunamsaidia nini anayezaa?
Majibu yanaweza kuwa hapa kwenye majibu ya maswali haya:

  • Je wewe ni mtoto usiye na faida kwa wazazi wako? If the answer is NO, then hizo ndio sababu za kuzaliana
  • Je kutozaa kunamsaidia nini asiyezaa?

Life is a game of risk that is worth taking, na hizi ni baadhi ya faida za kuzaa kwa anayezaa:

1. Kutengeneza familia
2. Kupokea upendo usio na conditions
3. Kurekabisha makosa ya kimaisha na kimalezi ya wazazi wa anayezaa
4. Raha ya kuwa na wajibu usiokoma

Mwisho, naunga mkono swali lako kwamba ni vizuri kabla ya kuwa na mtoto mtu kujiuliza faida na hasara na kama ataweza kufanikisha yote anayoyategemea.

Kutegemea na mtazamo wa mtu, either positive ama negative, there is no single answer that fit all but it should be looked at in a case to case basis.

Let me declared my interest, I am a married father with kids na pamoja na majukumu yote niliyonayo, I have never been this happy ukilinganisha na kipindi sijaoa na sina watoto.

Nawasilisha
 
Hakitakomea kwake kwa sababu ana ndugu zake.
Kama unaona hamna faida, usizae na wala usihangaike na mambo ya utelezi. Kwa ufupi kizazi chenu kikomee kwako
 
Kuzaliana ndio kusurvive. Watu wasipozaa watakufa na binadamu watatoweka duniani.
Hata usipozaa au ng'ombe asipozaa anakufa tu. Kuendelea kwa ng'ombe kuwepo duniani yeye kunamsaidia nini?
 
Nimekuwa najiuliza sana hili swali. Nakumbuka mara ya kwanza kuwaza hivi nilimuuliza mama. Nikasema sisi lengo letu nini? Bibi kamzaa mama, bibi anazeeka anakufa. Na mama anatuzaa sisi, nae atazeeka na atakufa vile vile. Na mimi naanza kupambana na mihangaiko ya maisha kisha nazaa watoto. Then what?


Kama mleta maada alivyosema, labda kama tungekuwa hatufi ingeleta maana.
Kama watu wa BC hakuna wanachofaidika na kizazi hiki ya nini kuzaana? Si tustop biashara kichaa iishie hapa?

au sisi tumefungwa na kitu fulani ambacho lengo lake ni kitoweo. Kama vile sisi tunavyofuga kuku.

Inafikilisha kwa kweli forget wandugu.
Hahaaaaa na Mimi nahisi hivyo , tuko kama chicken in a cage
 
Back
Top Bottom