Mgodo visa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2016
- 3,590
- 3,632
Arabi ni kwamba wenye uwezo mkubwa kiuchumi hawana utitiri wa Watoto....!!Mwili wa binadamu na viumbe wengine wote unahangaika sana na mambo mawili. Kusurvive na kuzaliana. Sasa najiuliza kuzaliana kunamsaidia nini kiumbe anayezaa. Kuendeleza kizazi cha ng'ombe, kunamsaidia nini ng'ombe anayezaa. Binadamu walioishi miaka ya BC huko, wanafaidika vipi na kuendeleza uzao wa binadamu? Kungekuwa hamna kufa ningeweza kidogo kuelewa.
Zaidi naona uzazi unamnyonya mzazi kiafya, kichumi nk. Kuzaliana kunamsaidia nini anayezaa?
Umeiweka vyema sana mdau.
Nina mtoto mmoja, huwa najiuliza kama sio manzi alipata yule dogo nisingezaa..hamna faida yoyote.
Nature. Ni ecosystem, ukienda darasani ukajifunza utaelewa. Kila kilichomo hapa duniani, mchwa, konokono, Simba, jongoo, tembo, panzi, chura, binadamu, miti, maua, majani vimo kwenye mfumo huo.Mwili wa binadamu na viumbe wengine wote unahangaika sana na mambo mawili. Kusurvive na kuzaliana. Sasa najiuliza kuzaliana kunamsaidia nini kiumbe anayezaa. Kuendeleza kizazi cha ng'ombe, kunamsaidia nini ng'ombe anayezaa. Binadamu walioishi miaka ya BC huko, wanafaidika vipi na kuendeleza uzao wa binadamu? Kungekuwa hamna kufa ningeweza kidogo kuelewa.
Zaidi naona uzazi unamnyonya mzazi kiafya, kichumi nk. Kuzaliana kunamsaidia nini anayezaa?
Umejibu kwa mhemuko, swali ni kiumbe yyoyote yule anapata faida gani akizaa mtoto. Achana na kujikita kwa binadamu tu.
Yaani kwa mfano, ule mwembe unazaa maembe ambayo ndani yana mbegu ambazo zikiota zinakuwa mwembe mwingine. Sasa ule mwembe uliozaa maembe unapata faida gani endapo lile tunda la embe litaota na kuwa mwembe?
Mnyoo jnapata faida gani ukizaa kimnyoo kingine kidogo?
Mjusi anapata faida gani akizaa kamjusi kengine kadogo? Nk
Mtoto ni assests hebu waza wazazi wa leonel messi, wa Diamond Platnumz,
Mtoto ni uwekezaji wa uzeeni kama pension yaani
Sio kweli, haya mambo ya mtoto ni asset au uwekezaji huwa ni kwa jamii au wazazi maskini.Kihulasia watoto ni mzigo kwa wazazi wao na inapaswa kuwa hivyo.
Ehhhhhhh hayaUpo sahihi coz ni kama betting unaweza zaa mtoto na akaja kuwa liability.
But why kunakiwa na upendo kati ya mzazi na mtoto.?
Mawazo ya kimasikini.Mtoto ni assests hebu waza wazazi wa leonel messi, wa Diamond Platnumz,
Mtoto ni uwekezaji wa uzeeni kama pension yaani
Upo sahihi coz ni kama betting unaweza zaa mtoto na akaja kuwa liability.
But why kunakiwa na upendo kati ya mzazi na mtoto.?
Umejuaje kua wewe una akili?Hii mada nzuri, naomba wapumbavu kaeni pembeni sisi wenye akili tulijadili
Sawa, na ofcoarse ni kweli kabisa unavyosema!Kuzaliana ndio kusurvive. Watu wasipozaa watakufa na binadamu watatoweka duniani.
Kama unaona hamna faida, usizae na wala usihangaike na mambo ya utelezi. Kwa ufupi kizazi chenu kikomee kwakoNimekuwa najiuliza sana hili swali. Nakumbuka mara ya kwanza kuwaza hivi nilimuuliza mama. Nikasema sisi lengo letu nini? Bibi kamzaa mama, bibi anazeeka anakufa. Na mama anatuzaa sisi, nae atazeeka na atakufa vile vile. Na mimi naanza kupambana na mihangaiko ya maisha kisha nazaa watoto. Then what?
Kama mleta maada alivyosema, labda kama tungekuwa hatufi ingeleta maana.
Kama watu wa BC hakuna wanachofaidika na kizazi hiki ya nini kuzaana? Si tustop biashara kichaa iishie hapa?
au sisi tumefungwa na kitu fulani ambacho lengo lake ni kitoweo. Kama vile sisi tunavyofuga kuku.
Inafikilisha kwa kweli forget wandugu.
Haujawahi kuhitaji msaada wowote kutoka kwa mtu yeyote tangu upevuke akili?Nina mtoto mmoja, huwa najiuliza kama sio manzi alipata yule dogo nisingezaa..hamna faida yoyote.