Kuzaliana kunamsaidia nini kiumbe anayezaa?

Arabi ni kwamba wenye uwezo mkubwa kiuchumi hawana utitiri wa Watoto....!!
 
Hua sipanic mkuu,
Nimekuelekeza kazi ya uumbaji ni ya mungu, na kazi ya kuendeleza kizazi ni ya mungu, wewe na wengine tunetunikiwa tu nafasi ya kushiriki katika uumbaji huo,

Haimaanishi wote tukikataa kuzaa basi kizazi kitakufa, mungu anaweza tafuta namna nyingine ya kukiendeleza kizazi kama tukiwa wajeuri kama ulivo wewe,

So uzae au usizae, mungu hapungukiwi na kitu wala hauongezekiwi na kitu

So kuendeleza kizazi sio choice, kitaendelea tu hata usipozaa.

Ila faida za watoto zipo nyingi, wewe endelea kukataa kuzaa halafu rudi kwenye huu uzi 20-30 yrs uone umemiss nn kwa kutokuzaa
 
Nature. Ni ecosystem, ukienda darasani ukajifunza utaelewa. Kila kilichomo hapa duniani, mchwa, konokono, Simba, jongoo, tembo, panzi, chura, binadamu, miti, maua, majani vimo kwenye mfumo huo.
 
Kuzaa ni njia mpya ya kuhamisha genes kuendelea kubaki duniani. Viumbe wote ni watumwa wa genes. Ningeelezea mengi ila niishie hapo kwa leo.

Viumbe huzaa pale wanapokuwa wana resource za kutosha mfano chakula. Na viumbe huzaa watoto wengi pale inapokuwa chance of survival is low to compasate vifo ila population ipo at equilibrium. Mfano Sasa hivi hatuzai sana maana hatufi sana hence resources zipo chache na population is stable tukizidisha tuu vifo vitatokea vingi sana
 
Kuzaliana ni njia ya kuzifanya "genes" na viumbe kuendelea kuwepo duniani. Genes zako automatically zinataka kuendelea kuwepo duniani hivyo zinakusukuma wewe chombo uliyezibeba au kiumbe kingine chochote pia ambacho ni chombo cha genes kufanya uzazi.
 
Kwa sababu ni "copy" yake ilyobeba sehemu kubwa ya "genes" zake na hivyo ni chombo kitakachohakikisha genes zake zinaendelea kuwepo duniani. Hivyo ndivyo upendo kwa ndugu wengine wa karibu unavyotokea pia.

Kadri undugu wa damu unavyokuwa wa karibu ndivyo kujali huyo mtu kunavyoongezeka kwa sababu anakuwa na genes asilimia kubwa zinazofanana.
Upo sahihi coz ni kama betting unaweza zaa mtoto na akaja kuwa liability.

But why kunakiwa na upendo kati ya mzazi na mtoto.?
 
Kama unaona hamna faida, usizae na wala usihangaike na mambo ya utelezi. Kwa ufupi kizazi chenu kikomee kwako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…