comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 3,411
- 4,435
Famili za kiafrika ni Kulogana, Ujinga mwingi, Umaskini yaani daaaah!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Afrika uchawi ni mwingi hili ni tatizo kubwa wachawi Wanamiliki majini muda wowote anaweza kumtupia mtu jini na ndio mana Afrika watu maarifa ni madogo wenzetu wachawi walishawamaliza kwa kuwaua kama biblia ilivyoagiza
Kuwakaushia Hadi ndugu? Wazazi😊😊😊😊principle ni kutokujuana sana
Ushasema wazazi...Kuwakaushia Hadi ndugu? Wazazi
Jikomboe wewe na watu wako wa karibu mkuuFamili za kiafrika NI ufalaaaa
Kulogana
Ujinga mwingi
Umaskini
Yani daaaah
Hivi mzee bado yupo?Mzee wetu David Musuguri (former CDF wa TPDF) anapendelea sana kutoa ushauri kwa kutaja mambo matatu, anasema "Kama mwanaume unapaswa 1. Kutoogopa chochote 2. Kutokata tamaa 3. Kupambana mpaka mwisho.
Kuna mambo yanaudhi mno ila hakuna namna ndiyo ushazaliwa Africa.
Mkuu cut the chain bila hivyo hutoboi maana unaweza kusaidia ukadhani watapata unafuu lakini wapi.Kibaya zaidi kuna kitu kama vile OSMOSIS NA DIFFUSION,yaani unachopata kidogo halafu kinaenda kuyeyuka kwakukigawa kidogo kidogo then inakuwa 0Famili za kiafrika NI ufalaaaa
Kulogana
Ujinga mwingi
Umaskini
Yani daaaah
Kwa utafiti wangu dawa ni "CUT THE CHAIN" yaani kutoka kwenye familia za kimaskini inabidi uwe BANDIDU kuliko UBANDIDU wenyewe.Kanuni ya maendeleo ni kwamba kuna watu lazima wateseke tena sana mpaka WACHAKAE ili wengine waje kuishi vizuriJikomboe wewe na watu wako wa karibu mkuu
Ndio ukubwa huoPole sana kiongozi
Hizi ni Myth tu. Hayo majini mbona hawawatupii wasiojulikana?Afrika uchawi ni mwingi hili ni tatizo kubwa wachawi Wanamiliki majini muda wowote anaweza kumtupia mtu jini na ndio mana Afrika watu maarifa ni madogo wenzetu wachawi walishawamaliza kwa kuwaua kama biblia ilivyoagiza
Yangu naona inakaribiaKua mpole kila mmoja atachanganyikiwa, zamu yako bado