comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 3,411
- 4,435
- Thread starter
- #21
Na kama mzazi ndio chanzo cha matatizo? Au nyie ndio mna akili za kiafrika mzazi hakoseiUshasema wazazi...
Ndugu unaangalia..ndugu wengine ndo hao hao hawakutakii mema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kama mzazi ndio chanzo cha matatizo? Au nyie ndio mna akili za kiafrika mzazi hakoseiUshasema wazazi...
Ndugu unaangalia..ndugu wengine ndo hao hao hawakutakii mema
Famili za kiafrika NI ufalaaaa
Kulogana
Ujinga mwingi
Umaskini
Yani daaaah
Najua ushaelewaUmewaza nini bro?
Wewe ni mtoto wa tajiri?Famili za kiafrika NI ufalaaaa
Kulogana
Ujinga mwingi
Umaskini
Yani daaaah
Tatizo letu kubwa ni UJINGA, hayo mengine yanasababishwa na ujinga.Famili za kiafrika NI ufalaaaa
Kulogana
Ujinga mwingi
Umaskini
Yani daaaah
Ambavyo mimi Utopolo Mwandamizi sikutakii kabisa mema wewe Makolokolo Mwandamizi 😏Ushasema wazazi...
Ndugu unaangalia..ndugu wengine ndo hao hao hawakutakii mema
Kaa kwa kutulia kila mmoja atafikiwa.Famili za kiafrika NI ufalaaaa
Kulogana
Ujinga mwingi
Umaskini
Yani daaaah
Mzee wetu David Musuguri (former CDF wa TPDF) anapendelea sana kutoa ushauri kwa kutaja mambo matatu, anasema "Kama mwanaume unapaswa 1. Kutoogopa chochote 2. Kutokata tamaa 3. Kupambana mpaka mwisho.
Kuna mambo yanaudhi mno ila hakuna namna ndiyo ushazaliwa Africa.
Sasa watu waachane?Ukiona kwenye ukoo wenu ata mwalimu wa primary hajawai kuwepo ukipata gap kidogo zaa na familia zinazojiweza tena ikiwezekana kabila njingine ili wakikutupia wewe majini mtoto au watoto wa survive ujombani. Ila wewe karungu yeye unaoa tena mwanamke karungu yeye watoto wenu watapata shida sana.
Poleni sana.Famili za kiafrika NI ufalaaaa
Kulogana
Ujinga mwingi
Umaskini
Yani daaaah
Familia gan ukizaliwa hutakua na matatizoFamili za kiafrika NI ufalaaaa
Kulogana
Ujinga mwingi
Umaskini
Yani daaaah
AiseeeehUkiona kwenye ukoo wenu ata mwalimu wa primary hajawai kuwepo ukipata gap kidogo zaa na familia zinazojiweza tena ikiwezekana kabila njingine ili wakikutupia wewe majini mtoto au watoto wa survive ujombani. Ila wewe karungu yeye unaoa tena mwanamke karungu yeye watoto wenu watapata shida sana.
Hapo kwenye matatizo ndipo Kuna tatizo.Shida ya Africa ni Kuna kila tatizo la ndugu yako ni lako...na ndugu zako kuona kufanikiwa kwako ni lazima uwasaidie. Shida kubwa IPO hapo sio uchawi Wala nini...Sasa ole wako ukosee kuoa ndio utasalimia mpaka mbwa mtaani ....
Wewe lengo sikizazi chako kikombolewe kutoka kwenye umasikini wa ukoo wenu? Kwan ata mkiachana wakati mna watoto atawabadilisha ubini? Hyo inaitwa kujitoa kafara ili kizazi chako kisipitie mateso uliyopitia wewe. Yani kuna koo ata ufanyeje ukianza kutoboa hawatokaa wakuache salama yani ni kama pai r2.Sasa watu waachane?
Waliozaliwa ulaya/America nao wanajutia kuzaliwa huko. Kila mahala pana mema na mabaya.Famili za kiafrika NI ufalaaaa
Kulogana
Ujinga mwingi
Umaskini
Yani daaaah
Usiwachokoze sasa wamiliki wa majiniAfrika uchawi ni mwingi hili ni tatizo kubwa wachawi Wanamiliki majini muda wowote anaweza kumtupia mtu jini na ndio mana Afrika watu maarifa ni madogo wenzetu wachawi walishawamaliza kwa kuwaua kama biblia ilivyoagiza