Nauza Akili
Member
- Oct 14, 2024
- 23
- 79
inategemea umezaliwa wapi,huwezi kuskia mchaga au mhaya anasema hayo maneno unless kama umezaliwa Utete rufiji.Famili za kiafrika NI ufalaaaa
Kulogana
Ujinga mwingi
Umaskini
Yani daaaah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inategemea umezaliwa wapi,huwezi kuskia mchaga au mhaya anasema hayo maneno unless kama umezaliwa Utete rufiji.Famili za kiafrika NI ufalaaaa
Kulogana
Ujinga mwingi
Umaskini
Yani daaaah
Msyuuuu😏😏😏😏Ambavyo mimi Utopolo Mwandamizi sikutakii kabisa mema wewe Makolokolo Mwandamizi 😏
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Mchawi akishaona mtu mipango yake inaanza kunyooka anamrushia jini na ndio mana bongo kila mtu akifanikiwa anaitwa mchawiUsiwachokoze sasa wamiliki wa majini
Wewe sasa ndio umenifanya NIcheke, maana Mimi mama wa tarakea baba mhaya, kwahyo kumbe Sisi wahaya sio waafrica maana Mimi nmezungumzia wa africainategemea umezaliwa wapi,huwezi kuskia mchaga au mhaya anasema hayo maneno unless kama umezaliwa Utete rufiji.
Sonyo lako sasa hilo Mtani daaah...😅Msyuuuu😏😏😏😏
Agree with ,binafsi niligundua hili baada ya kuteseka Kwa miaka8. Tangu niwakaushie nimekua na amani lakini pia akili imeanza kuwakaa Sawa..Kwa familia za kiafrika ili utoboe inahitaji uwe bandidu Sana tuKwa utafiti wangu dawa ni "CUT THE CHAIN" yaani kutoka kwenye familia za kimaskini inabidi uwe BANDIDU kuliko UBANDIDU wenyewe.Kanuni ya maendeleo ni kwamba kuna watu lazima wateseke tena sana mpaka WACHAKAE ili wengine waje kuishi vizuri
Huu ujinga umewagharimu wengi Sana na wamesahau hata wapumbavu ni wanazaaa piaNa kama mzazi ndio chanzo cha matatizo? Au nyie ndio mna akili za kiafrika mzazi hakosei
Ni laana kabisaFamili za kiafrika ni Kulogana, Ujinga mwingi, Umaskini yaani daaaah!
Yeah maanake kujuana sana ndio kuharibiana cv😊😊😊😊principle ni kutokujuana sana
Iv kwann Mungu aliruhusu uchawi uwepo hswa kwa afrika, maana uchawi unaharibia watu maisha,ndoa,maradhi,Afrika uchawi ni mwingi hili ni tatizo kubwa wachawi Wanamiliki majini muda wowote anaweza kumtupia mtu jini na ndio mana Afrika watu maarifa ni madogo wenzetu wachawi walishawamaliza kwa kuwaua kama biblia ilivyoagiza
Ajali zile unazoziona sometims akutoka mtu gari right off,ndio wasiojulikana hao wamepigwa makombora, au jitu limepalalaizi unakutananalo muhimbili na ukiliangalia muonekano anafanana na wasiojulikana,ndio makombola hayoHizi ni Myth tu. Hayo majini mbona hawawatupii wasiojulikana?
Yeah unaweza kudhani ni Jirani kapata ajali kumbe alikuwa miongoni mwa wasiojulikana.Ajali zile unazoziona sometims akutoka mtu gari right off,ndio wasiojulikana hao wamepigwa makombora
Yeah,ndio ukweli,kuna jirani yangu nyumba yake iliunguaga moto yote,haikupita muda akaja akapata janga lingine, na alikuwa mtu dizaini kama wa eagle houseYeah unaweza kudhani ni Jirani kapata ajali kumbe alikuwa miongoni mwa wasiojulikana.
Pole sana. Umewaza kama mmoja wa aliyetekwa ufahamu.Famili za kiafrika ni Kulogana, Ujinga mwingi, Umaskini yaani daaaah!
Mungu si mwepesi wa hasira hao wachawi Kuna siku inawezekana wakabadilika ndio mana wameachwa tu waishi nabii eliya aliwaua wachawi 400Iv kwann Mungu aliruhusu uchawi uwepo hswa kwa afrika, maana uchawi unaharibia watu maisha,ndoa,maradhi,
Mtu anarogwa anafirisika au kupata maradhi,halafu uyo mtu mwisho wa siku anamkufuru Mungu wake kwa kuona kuwa mungu amemuonea kumfirisi au kumpa matadhi,kumbe wachawi ndio chanzo, na pia wanaofanyabiashara kwa level ya chini unakuta wale mabingwa wakuroga ndio wanafanikiwa kibiashara, we unaejifanya mlokole au mchamungu biashara zinafeli!!