Pridah
JF-Expert Member
- Jul 20, 2023
- 1,495
- 3,453
Poa poa thanks ๐๐Uwe unaniita nikusaidie kuwajibu ๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa poa thanks ๐๐Uwe unaniita nikusaidie kuwajibu ๐
Na vile NHIF sasa imepunguza matibabu ya kusukari kwenye list maana imeonekana kuna watu wanajitafutia kisukari kwa makusudi,utaua watu๐๐๐ job true true au sio
Wewe mimi nawazidishia visukari labda niamke na roho mtakatifu
Unapenda kununua ugomvi weye!kwenye ule uzi wangu last weekend mwafula alikuja mwendo wa ngiri nikatamani nikupambanishe nae sema ulikuwa guangzhou busy na mabox๐ ๐ ๐Uwe unaniita nikusaidie kuwajibu ๐
๐ Huyo ukimwita hadi atakula ban,usimwite tafadhali bado tunamuhitaji mawazo yake humuPoa poa thanks ๐๐
Aisee...Huwa naisikiliza hii video mara mbili mbili.
Hakika kuzaliwa mwanaume ni hatia.View attachment 3089559
Roger that wise one ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ila kwa ninavyozijua akili zangu inabidi huyu mtoto Lamomy tumpige stop kuwa karibu na mimi๐๐ instead awe karibu na wewe tu mpaka tukjiridhisha umemuambukiza hekima za kutosha na roho mtakabifu kamtoka.๐๐๐.๐ Huyo ukimwita hadi atakula ban,usimwite tafadhali bado tunamuhitaji mawazo yake humu
Yaani UKAWA wenu utakuwa mbaya kuliko ule wa Lipumba na mbowe,huyo mwaache nataka nipige neno awe binti binti Yerusalem...by the way leo nimesali tu nyumbani nipo peke yangu nataka nisikie The most high anasema nini na mimi...Roger that wise one ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ila kwa ninavyozijua akili zangu inabidi huyu mtoto Lamomy tumpige stop kuwa karibu na mimi๐๐ instead awe karibu na wewe tu mpaka tukjiridhisha umemuambukiza hekima za kutosha na roho mtakabifu kamtoka.๐๐๐.
Hope umekua na ibada njema leo mtumishi
๐๐๐๐ umeona ee!Yaani UKAWA wenu utakuwa mbaya kuliko ule wa Lipumba na mbowe,huyo mwaache nataka nipige neno awe binti binti Yerusalem...by the way leo nimesali tu nyumbani nipo peke yangu nataka nisikie The most high anasema nini na mimi...
Kumbee upoo dada, nilikumic mnoo.Kwa hio wewe utawekeza rasilimali na muda wako kwa mwanamke wa aina gani nikuulize?! ...
Kuambulia hasara ni matokeo tu...hii haimaanishi hautawekeza kwenye mahusiano utakayopata, hata walioambulia hasara haikuwa mwisho waliendelea kuwekeza kwenye mahusiano mengine...both wanaume na wanawake wanakua kwenye uhusiano sababu they are gaining something in return, hakuna mahusiano ambayo mtu habenefit anything...so wewe kusema kuna wanaume hawafanyi lolote na bado wako na mahusiano na wadada Is total fallacy...you don't offer anything and expect mtu akupe muda wake?
๐๐๐ Watakufa km imetolewa, na sie huku hatuna huruma tunakipandisha mwanzo mwishooooNa vile NHIF sasa imepunguza matibabu ya kusukari kwenye list maana imeonekana kuna watu wanajitafutia kisukari kwa makusudi,utaua watu
Weeh mwafula anajitakia kisukari cha jumla jumla ๐คฃ๐คฃ๐คฃUnapenda kununua ugomvi weye!kwenye ule uzi wangu last weekend mwafula alikuja mwendo wa ngiri nikatamani nikupambanishe nae sema ulikuwa guangzhou busy na mabox๐ ๐ ๐
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐ Huyo ukimwita hadi atakula ban,usimwite tafadhali bado tunamuhitaji mawazo yake humu
kuna mafeminist nimeyaona uko juu nime-scoll down tu bila hata kusoma maongezi yao, ni majinga halafu yanajionaga smart kinoma.Uzi ulikua mzuri kabla ya wazee wa haki sawa kutia timu.
Wazee wa haki sawa kata stimu sana.
Sema sio kesi mada iendelee tu kibishi.kuna mafeminist nimeyaona uko juu nime-scoll down tu bila hata kusoma maongezi yao, ni majinga halafu yanajionaga smart kinoma.