Kuzaliwa mwanaume ni hatia

Kuzaliwa mwanaume ni hatia

When you are a man means you need to hold these attributes

Smartness
Leader
Provider
And being responsible for ur family and societies the all time you will think about how to become responsible
 
Kwa nini lawama ziwe kwa bibi na sio kwa bibi na babu mkuu?

Sitetei wizi na nilivyosema wanaume wapigwe sikua serious na hapo nilikua nataniana na rafiki zangu ila ndani ya utani wangu kuna asilimia za ukweli.😀

inshort nikiwa na chat na Joannah na Lamomy mara nyingi ni kutaniana na kufurahi tu so take it easy mkuu
Kuna watu muda wote hata hawajui kusoma comment za utani na za serious wao ni kupanic tu....job truetrue
 
Wana stress pesa hawana na wanawake hawawataki wakiona hivyo basi hasira zao zote wanamalizia kwetu 😂😂
Ni hatari dogo ila mi nishajiambia sitaruhusu mtu aniambukize stress zake. hapa JF😀
 
Kuna watu muda wote hata hawajui kusoma comment za utani na za serious wao ni kupanic tu....job truetrue
😂😂😂 job true true au sio
Wewe mimi nawazidishia visukari labda niamke na roho mtakatifu
 
Wewe tena😀
Wangekua wanamexa dawa zao za presha na sukari kabla ya kukuvaa!😀
Kuna muda nawapelekea moto mpk wanaenda kufungua id mpya ili wapooze machungu yao 🤣🤣🤣
 
Kuna muda nawapelekea moto mpk wanaenda kufungua id mpya ili wapooze machungu yao 🤣🤣🤣
Huwa nikikuonaga engo hizo nacheka sana hlf wao wanakua serious hawajui hizo vitu mwenzao unaona kama mchezo😀
 
Uzi ungeuandikia kwenye boxer yako ukauficha huko ningeuonea wapi? Au ungeandikia kwenye toilet paper ukauchambia, ili nisiuone
😂😂😂😂😂😂🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
 
Huwa nikikuonaga engo hizo nacheka sana hlf wao wanakua serious hawajui hizo vitu mwenzao unaona kama mchezo😀
Wangeona ninavyowajibu huku nacheka nadhani wangeacha wanachofanya kwa afya yao ya akili 🤣🤣🤣

Yaani naenjoy hawajui tu, nawageuza ninavyotaka nawaacha wanasonya mpk usingizini 😹😹
 
Wangeona ninavyowajibu huku nacheka nadhani wangeacha wanachofanya kwa afya yao ya akili 🤣🤣🤣

Yaani naenjoy hawajui tu, nawageuza ninavyotaka nawaacha wanasonya mpk usingizini 😹😹
I know 😀
Ila ukute hata hawakuchukii labda na wao wanakuchokoza tu for fun😀

Ukute vile unawawashia moto na wao wanachekaa ila walio na chuki kweli ndo hapo sukari zinawapanda😀
 
I know 😀
Ila ukute hata hawakuchukii labda na wao wanakuchokoza tu for fun😀

Ukute vile unawawashia moto na wao wanachekaa ila walio na chuki kweli ndo hapo sukari zinawapanda😀
Weeh wale sukari inawapandaga kweli wananiombeaga had ban 😂😂😂
Mkigusa panapouma lazima akimbilie JF HQ kujitetea, wakiona wamekushindwa wanafungua id mpya warudi kivingine watukane wapooze machungu yao na wasichokijua hakuna tusi naliogopa na jipya yote ya zamani na yashaexpire wanajichosha.. 😹😹😹
 
Weeh wale sukari inawapandaga kweli wananiombeaga had ban 😂😂😂
Mkigusa panapouma lazima akimbilie JF HQ kujitetea, wakiona wamekushindwa wanafungua id mpya warudi kivingine watukane wapooze machungu yao na wasichokijua hakuna tusi naliogopa na jipya yote ya zamani na yashaexpire wanajichosha.. 😹😹😹
Haters wa kweli hawakosekani mdogo wangu ila sio ajabu kuna wengine ukute anajiambia kabisa ngojeq nimzingue lamomy leo ila moyoni anakupenda😀
Haters fake yaani😀
 
Haters wa kweli hawakosekani mdogo wangu ila sio ajabu kuna wengine ukute anajiambia kabisa ngojeq nimzingue lamomy leo ila moyoni anakupenda😀
Haters fake yaani😀
Wengine wanafanya kusudi ili niwajibu siku yao iende vizuri, wengine yakinishindwa yanaanza kunibebisha 😂😂😂
Kuna muda unaingia unakuta mention kibao halafu za kipuuzi tupu unabaki unacheka basi sasa utafanyaje?! 😹

Wengine wanakuwa na maumivu y’a kweli hao pole yao.. sina la kuwasaidia wapambane na stress zao..!
 
Wengine wanafanya kusudi ili niwajibu siku yao iende vizuri, wengine yakinishindwa yanaanza kunibebisha 😂😂😂
Kuna muda unaingia unakuta mention kibao halafu za kipuuzi tupu unabaki unacheka basi sasa utafanyaje?! 😹

Wengine wanakuwa na maumivu y’a kweli hao pole yao.. sina la kuwasaidia wapambane na stress zao..!
😀😀
Kabisa usikubali kuambukizwa stress.
Mi sijui ni uzee yaani huwa naishiwa kabisa nguvu za kujibu siku hizi😀
 
Back
Top Bottom