Kuzaliwa mwanaume ni hatia

Kuzaliwa mwanaume ni hatia

Mtoa mada hajakataa wanaume kuwekeza rasilimali na muda kwa mwanamke, ila anatufungua macho na kutujulisha tuwekeze nguvu na rasilimali zetu kwa wanawake wa aina gani.

Kuna wanaume wengi wanawekeza rasilimali, nguvu, attention, muda na hela kwa wadada k.v kusomesha ila wanaishia kuambulia hasara, na kuna wanaume hawawekezi sana mda na pesa kwa wadada, ila wanapata benefits kama zote toka kwa wadada Rebeca 83
Kwa hio wewe utawekeza rasilimali na muda wako kwa mwanamke wa aina gani nikuulize?! ...

Kuambulia hasara ni matokeo tu...hii haimaanishi hautawekeza kwenye mahusiano utakayopata, hata walioambulia hasara haikuwa mwisho waliendelea kuwekeza kwenye mahusiano mengine...both wanaume na wanawake wanakua kwenye uhusiano sababu they are gaining something in return, hakuna mahusiano ambayo mtu habenefit anything...so wewe kusema kuna wanaume hawafanyi lolote na bado wako na mahusiano na wadada Is total fallacy...you don't offer anything and expect mtu akupe muda wake?
 
Kwa hio wewe utawekeza rasilimali na muda wako kwa mwanamke wa aina gani nikuulize?! ...

Kuambulia hasara ni matokeo tu...hii haimaanishi hautawekeza kwenye mahusiano utakayopata, hata walioambulia hasara haikuwa mwisho waliendelea kuwekeza kwenye mahusiano mengine...both wanaume na wanawake wanakua kwenye uhusiano sababu they are gaining something in return, hakuna mahusiano ambayo mtu habenefit anything...so wewe kusema kuna wanaume hawafanyi lolote na bado wako na mahusiano na wadada Is total fallacy...you don't offer anything and expect mtu akupe muda wake?
Kwenye mahusiano mwanaume anawekeza mali/pesa mwanamke anawekeza hisia, hii ni biashara ya kipumbavu kwa sababu hisia zinabadilika lakini mali alizowekeza mwanaume hapati compensation yoyote uhusiano ukifa, ndio maana tukifanya trading places ya hii biashara kwamba mwanamke uwekeze hela na mwanaume awekeze hisia hamtakubali mtamuita uyo mwanaume marioo, dume suruali, mkwepa majukumu n.k.
 
Inatakiwa mwanamke akikamatwa kwa wizi apatiwe kinywaji chochote cha baridi awekwe kivulini kisha wanaume wote walioko eneo hilo na yote ya jirani wapigwe badala yake.Yaani wapigwe kama mbwa koko!!👊🏼👍

Au nimekosea ladies??😀 To yeye Lamomy Joannah
 
Inatakiwa mwanamke akikamatwa kwa wizi apatiwe kinywaji chochote cha baridi awekwe kivulini kisha wanaume wote walioko eneo hilo na yote ya jirani wapigwe badala yake.Yaani wapigwe kama mbwa koko!!👊🏼👍

Au nimekosea ladies??😀 To yeye Lamomy Joannah
Kabisaaa Mh M/kiti.
Huo unakuwa ni uzembe wa wanaume kwann hawamuhudumii 🤣🤣🤣
 
Halafu kataa ndoa waongo, wote wana wake zao na vyombo wanaosha majumbani mwao. 🤣🤣🤣
Ulisema nimeua ila kama wee ndo umezika kqbisa😁😁😁

Ukifuatisha vitu watu wanahubir humu unapotea.
Ukute majamaa hadi nazi yanakunishwa😁🙏
 
Mimi hii ninayo toka kitambo tu, nikienda bar kama kuna mhudumu wa kiume ni bora buku yangu au elfu mbili nimpe kijana wa kiume kuliko mwanamke.
Kwa kuongezea tuu pia wanaume tusvuke mipaka tunapo kuwa ktk harakat za kutaka tunda kwa wake au madem zetu.Ile kumwambia/kujsemea kwamb "ntawah au nataman niwah kufa kabla yako(mke wangu) natumain hata mbingu inatuona vichaa.Maana hii nikutojipenda na nkuingilia mipango ya Mungu.
TUSIJITANGULIZE KISA KUJIONYESHA TUNAWEPENDA WAKE ZETU TUMWACHE MUNGU AAAMUE ALVYO PANGA.VINGINEVYO BORA TUWAOMBEE WAISHI MIAKA MINGI NA SIO KU-SUMMERIZE UHAI WETU KISA KE HAIKO SAWA HATA KIDOGO.
 
Inatakiwa mwanamke akikamatwa kwa wizi apatiwe kinywaji chochote cha baridi awekwe kivulini kisha wanaume wote walioko eneo hilo na yote ya jirani wapigwe badala yake.Yaani wapigwe kama mbwa koko!!👊🏼👍

Au nimekosea ladies??😀 To yeye Lamomy Joannah
Tena hao wanamme wanyongwe kabisa!pambaf kabisa
 
Kwa hio wewe utawekeza rasilimali na muda wako kwa mwanamke wa aina gani nikuulize?! ...

Kuambulia hasara ni matokeo tu...hii haimaanishi hautawekeza kwenye mahusiano utakayopata, hata walioambulia hasara haikuwa mwisho waliendelea kuwekeza kwenye mahusiano mengine...both wanaume na wanawake wanakua kwenye uhusiano sababu they are gaining something in return, hakuna mahusiano ambayo mtu habenefit anything...so wewe kusema kuna wanaume hawafanyi lolote na bado wako na mahusiano na wadada Is total fallacy...you don't offer anything and expect mtu akupe muda wake?
You don't offer anything and expect mtu akupe muda wake" hii ni kauli ya kikahaba. No cap👊🏿
 
Inatakiwa mwanamke akikamatwa kwa wizi apatiwe kinywaji chochote cha baridi awekwe kivulini kisha wanaume wote walioko eneo hilo na yote ya jirani wapigwe badala yake.Yaani wapigwe kama mbwa koko!!👊🏼👍

Au nimekosea ladies??😀 To yeye Lamomy Joannah
Jipe moyo, Ukiiba utapigwa bila kujali jinsia yako watu wamechenguka sikuhizi mtaa hauangalii tena jinsia kila mtu kachoka na ukikaa vibaya watakulawiti kwa kosa la wizi na huohuo uanamke wako
 
Jipe moyo, Ukiiba utapigwa bila kujali jinsia yako watu wamechenguka sikuhizi mtaa hauangalii tena jinsia kila mtu kachoka na ukikaa vibaya watakulawiti kwa kosa la wizi na huohuo uanamke wako
I know mkuu
 
Umeona eeh?

Ukiona mwanamke anaiba chunguza lazima ana watoto na baba zao wako huku JF kuponda singo maza na kuvizia kina Lamomy watumbue nao raha.
Tukienda na hii logic yako, utakuja kugundua kwamba hao wanaume waliomkimbia huyo mwanamke mpaka akafikia hatua ya kuiba ni kwa sababu walilelewa na wamama wa ovyo ambao walishindwa kuwaandaa kuwa wababa Bora kwa watoto wao... Na kama hiyo haitoshi Kuna mwanamke akaja kuzaa na mwanaume huyu ambaye hajaandaliwa kuwa baba na hatimae mpaka imempelekea yeye kuwa mwizi kwa sababu ya uchaguzi wake wa ovyo.

Kwa hiyo unakuja kuona mzigo wa lawama Bado una Baki pale pale kwa mwanamke, ambapo ni mama wa huyo baba aliyekimbia kulea huyo mtoto pamoja na huyo mwanamke mwizi aliyezaa na mwanaume huyo ilihali akijua kabisa hawezi kulea ..

Naona hii "it's always a man's fault mentality" imekomaa Sana kwenye vichwa vyenu chochote Cha kipuuzi anachofanya mwanamke mnatafuta namna ya kuonesha kwamba chanzo Chake ni mwanaume, mnaudhi sana nyie viumbe
 
Tukienda na hii logic yako, utakuja kugundua kwamba hao wanaume waliomkimbia huyo mwanamke mpaka akafikia hatua ya kuiba ni kwa sababu walilelewa na wamama wa ovyo ambao walishindwa kuwaandaa kuwa wababa Bora kwa watoto wao... Na kama hiyo haitoshi Kuna mwanamke akaja kuzaa na mwanaume huyu ambaye hajaandaliwa kuwa baba na hatimae mpaka imempelekea yeye kuwa mwizi kwa sababu ya uchaguzi wake wa ovyo.

Kwa hiyo unakuja kuona mzigo wa lawama Bado una Baki pale pale kwa mwanamke, ambapo ni mama wa huyo baba aliyekimbia kulea huyo mtoto pamoja na huyo mwanamke mwizi aliyezaa na mwanaume huyo ilihali akijua kabisa hawezi kulea ..

Naona hii "it's always a man's fault mentality" imekomaa Sana kwenye vichwa vyenu chochote Cha kipuuzi anachofanya mwanamke mnatafuta namna ya kuonesha kwamba chanzo Chake ni mwanaume, mnaudhi sana nyie viumbe
Kwa nini lawama ziwe kwa bibi na sio kwa bibi na babu mkuu?

Sitetei wizi na nilivyosema wanaume wapigwe sikua serious na hapo nilikua nataniana na rafiki zangu ila ndani ya utani wangu kuna asilimia za ukweli.😀

inshort nikiwa na chat na Joannah na Lamomy mara nyingi ni kutaniana na kufurahi tu so take it easy mkuu
 
Wanaume tumeumbwa matesooooo 🎶
Misemo kama hii wanaume tumeumbwa mateso, kitanda hakizai haramu na mingine yote ambayo inahalalisha mental torture, exploitation, emotional blackmail na manipulations ambazo tunafanyiwa wanaume ni misemo ya kupigwa vita kwa nguvu zote.

We have to stop playing the role of sacrificial lamb. We men also deserve peacefull and better life.
 
Kwa nini lawama ziwe kwa bibi na sio kwa bibi na babu mkuu?

Sitetei wizi na nilivyosema wanaume wapigwe sikua serious na hapo nilikua nataniana na rafiki zangu ila ndani ya utani wangu kuna asilimia za ukweli.😀

inshort nikiwa na chat na Joannah na Lamomy mara nyingi ni kutaniana na kufurahi tu so take it easy mkuu
Ushamkwaa muungwana tayari 😂😂
Punguza kusema ukweli
 
Back
Top Bottom