Kuzaliwa mwanaume ni hatia

Kuzaliwa mwanaume ni hatia

Duuh kwahiyo mwanaume kuwa mwizi ni mfumo ambao hawezi kuukwepa au ni mifumo gani hiyo ambayo unaongelea, sasa tendo linalohusisha jinsia mbili linawezaje kuwa sawa kwa jinsia moja halafu liwe kosa kwa jinsia nyingine wewe unaona kuna logic hapo, hivi hata tukija kwenye uhalisia tu kati ya mwanaume na mwanamke ni nani amewekewa mifumo kandamizi inayomtesa
Lengo la mfano wangu ni kuonyesha namna jamii inavyompendelea mwanamke hata katika gumu ambalo linamkuta mwanaume pia. Huo ni mfano tu ambapo reflection yake haiishii kwenye tukio la wizi tu ambalo nimelitumia mimi kama rejea.

Mwanamke akiwa masikini jamii itapambana kumuinua yataandaliwa makongamano ya mwanamke akiwezeshwa anaweza, hata wanaume waliojipata wataona wanawajibika kumuinua kiuchumi huyu mwanamke.

Ni tofauti na mwanaume akiwa masikini., hatopewa upendeleo katika nyanja yoyote ataishia kuonekana laughing stock tu.

Wewe ndie ulikuja na mfano wa kuhalalisha umalaya wa mwanamke kama justice reaction ya mifumo ya ukandamizaji aliyowekewa mwanaume.
 
Mwanaume haonewi huruma,ila Mwanamke anaonewa huruma na kupewa pesa bure

Acha wadau wakumbushane
Waache wakumbushane ila hakuna litakalobadilika, hio ni nature..adapt or die.
 
unfortunately mwanaume asiyewekeza nguvu ,rasilimali na muda wake kwetu hatuna time nae atabaki single and bitter kama wewe......kwa hio unachoshauri hapa ni wanaume wakazane kutafuta pesa wasiwe na mahusiano at all,jambo ambalo hata wanaume wenzako hawatakubaliana nalo...namaanisha wataendelea kutoa pesa wapate mahusiano. It is what it is...hutaki kunywa sumu.
Mi nimefurahi sana kuona comment yako Rebeca 83 , muda mrefu mno!
Kwenye mada acha tu iwe hivyo, mleta mada hazungumzi na kila mwanaume ila kuna baadhi ya wanaume ni ujumbe wao mahususi kabisa.
 
Lengo la mfano wangu ni kuonyesha namna jamii inavyompendelea mwanamke hata katika gumu ambalo linamkuta mwanaume pia. Huo ni mfano tu ambapo reflection yake haiishii kwenye tukio la wizi tu ambalo nimelitumia mimi kama rejea.

Mwanamke akiwa masikini jamii itapambana kumuinua yataandaliwa makongamano ya mwanamke akiwezeshwa anaweza, hata wanaume waliojipata wataona wanawajibika kumuinua kiuchumi huyu mwanamke.

Ni tofauti na mwanaume akiwa masikini., hatopewa upendeleo katika nyanja yoyote ataishia kuonekana laughing stock tu.

Wewe ndie ulikuja na mfano wa kuhalalisha umalaya wa mwanamke kama justice reaction ya mifumo ya ukandamizaji aliyowekewa mwanaume.
Sasa ulitegemea mwanaume apewe upendeleo gani kwenye jambo ambalo limekuwa ni jukumu lake toka enzi na enzi na ana ujuzi nalo, mwanamke anapewa upendeleo kwenye mambo ambayo zamani alizuiliwa kuyafanya kwa kuonekana hayawezi kisa uanamke wake, by the way suala siyo kuhalalisha umalaya ila ni ile stereotype ya kwamba ngono akifanya mwanamke ni kosa ila akifanya mwanaume ni sawa na mitazamo mingine mingi kama hiyo ya kumbagua mwanamke wewe unaona kuna logic yoyote hapo
 
Sasa ulitegemea mwanaume apewe upendeleo gani kwenye jambo ambalo limekuwa ni jukumu lake toka enzi na enzi na ana ujuzi nalo, mwanamke anapewa upendeleo kwenye mambo ambayo zamani alizuiliwa kuyafanya kwa kuonekana hayawezi kisa uanamke wake, by the way suala siyo kuhalalisha umalaya ila ni ile stereotype ya kwamba ngono akifanya mwanamke ni kosa ila akifanya mwanaume ni sawa na mitazamo mingine mingi kama hiyo ya kumbagua mwanamke wewe unaona kuna logic yoyote hapo
Haya, umeshinda.
 
unfortunately mwanaume asiyewekeza nguvu ,rasilimali na muda wake kwetu hatuna time nae atabaki single and bitter kama wewe......kwa hio unachoshauri hapa ni wanaume wakazane kutafuta pesa wasiwe na mahusiano at all,jambo ambalo hata wanaume wenzako hawatakubaliana nalo...namaanisha wataendelea kutoa pesa wapate mahusiano. It is what it is...hutaki kunywa sumu.
Ukila hela kubali kupigwa Dudu,sio ule hela bure
 
Topic yako wenye akiki
Lengo la mfano wangu ni kuonyesha namna jamii inavyompendelea mwanamke hata katika gumu ambalo linamkuta mwanaume pia. Huo ni mfano tu ambapo reflection yake haiishii kwenye tukio la wizi tu ambalo nimelitumia mimi kama rejea.

Mwanamke akiwa masikini jamii itapambana kumuinua yataandaliwa makongamano ya mwanamke akiwezeshwa anaweza, hata wanaume waliojipata wataona wanawajibika kumuinua kiuchumi huyu mwanamke.

Ni tofauti na mwanaume akiwa masikini., hatopewa upendeleo katika nyanja yoyote ataishia kuonekana laughing stock tu.

Wewe ndie ulikuja na mfano wa kuhalalisha umalaya wa mwanamke kama justice reaction ya mifumo ya ukandamizaji aliyowekewa mwanaume.
Topic zako wenye akili ndogo hawezi kujibu ona huyo alivyojubu utumbo, hoja zingine usijibu unajidhalilisha, utaonekana nawewe ni mbumbumbu kama wao.
 
Nimekumbuka mtani kwetu miaka ya nyuma, alitokea mwizi mwanamke, alikamatwa bila kupigwa hata kibao tu walitokea watu wakazuia asipigwe.

Baada ya yule dada kuhojiwa alitoa story ya simanzi pale akachangiwa sembe, mchele, sukari na vyakula vingine vingi akale na familia yake, akapewa na nauli ya kurudi nyumbani.

Miezi imeenda akakamatwa mwizi mwanaume raia walikuwa wakali wakataka apigwe kukomesha wizi, ikabidi washkaji tufanye maarifa kumuokoa kijana mwenzetu.

Umejifunza nini? Mwizi wa kwanza alionewa huruma na kusaidiwa kwa sababu ni mwanamke, mwizi wa pili raia walitaka apigwe kwa sababu ni mwanaume.

Wote kosa lao moja lakini treatments tofauti kwa sababu ya jinsia zao.

Umenielewa sasa? Wewe kama mwanaume elewa kwamba ukizaliwa mwanaume basi upo peke yako. Ni hatia kuwa mwanaume katika hii dunia. Pressure na expectations za jamii kwako ni kubwa sana na hakuna excuse utaitoa ukaeleweka.

Wanawake hawatajali chochote kuhusu wewe, wanaume wenzako hawatajali chochote kuhusu wewe, ulimwengu hautajali chochote kuhusu wewe.

Ukijidanganya kwamba unaweza kupata favor kama mwanamke utapata tabu sana. Hata hao marafiki zako wengi tu wanaweza kukutosa na kumsaidia mwanamke just because of pussy.

Nini ufanye kuondokana na hii hatia ya kuzaliwa mwanaume? Pambania mafanikio, mafanikio yako pekee ndio yatakuondolea hatia yako ya kuwa mwanaume hapa duniani. Upendo wa bure utaupata nyumbani kwako kutoka kwa mama, baba, kaka na dada, ukiingia huku mtaani utapendwa kutokana na unacho-provide.

Ndio maana nawasisitiza vijana wenzangu, wakati wa kujitafuta usipoteze muda, pesa au nguvu kumsaidia mwanamke au kutengeneza mahusiano yako na mwanamke. Katika hiyo age yako mwanamke awe ni kwa ajili ya pipe and swipe tu, baaaasi.

Huyo demu wako hatokuwa mkeo, huyo ni mke au mchepuko mtarajiwa wa wanaume wengine ambao kwa sasa wapo 30's au 40's, kajiweka tu kwako kwa sababu rain maker bado hajajitokeza.

Mwanamke ameshafanikiwa kimaisha kukuzidi wewe mwanaume kwa sababu tu ya jinsia yake. Wapo wanaume wengi ambao tayari wameshajipata wanaweza kumuokoa cheaply, lakini wewe kama mwanaume hakuna wa kukuokoa.

Usipoteze pesa, nguvu, rasilimali au muda wako kwa ajili ya mwanamke, sio mwenzako huyo, ukiishiwa atahamia kwa mwanaume mwingine mwenye nazo, wewe utabaki na umasikini wako.

My brothers, don't go broke, you will be a criminal in this world.
Nimesikitika sanaaa
 
Lengo la mfano wangu ni kuonyesha namna jamii inavyompendelea mwanamke hata katika gumu ambalo linamkuta mwanaume pia. Huo ni mfano tu ambapo reflection yake haiishii kwenye tukio la wizi tu ambalo nimelitumia mimi kama rejea.

Mwanamke akiwa masikini jamii itapambana kumuinua yataandaliwa makongamano ya mwanamke akiwezeshwa anaweza, hata wanaume waliojipata wataona wanawajibika kumuinua kiuchumi huyu mwanamke.

Ni tofauti na mwanaume akiwa masikini., hatopewa upendeleo katika nyanja yoyote ataishia kuonekana laughing stock tu.

Wewe ndie ulikuja na mfano wa kuhalalisha umalaya wa mwanamke kama justice reaction ya mifumo ya ukandamizaji aliyowekewa mwanaume.
Kuwa mwanamke tu tayari umetengenezewa silaha yako kwenye mifumo ya kijamii, Mwanaume unaweza unaweza ukapewa kesi yoyote ile na Mwanamke akiamua na vyombo lukuki vya kijamii vikasimama naye.

Mfuatilieni Andrew Tate na Tristan Tate miongoni mwa kesi walizopewaa huko Romania ukiachana na human trafficking ni unyanyasaji wa kijinsia kwa wanawake kesi ambayo ni kama recurring decimal kwa alpha male wengi.

Mwanaume kupambana na mtu mwenye silaha ya kimfumo jamii ni hatari sana. Tupambane tu na hali zetu.
 
hoja zingine usijibu unajidhalilisha, utaonekana nawewe ni mbumbumbu kama wao.
Ilo nimeshaligundua ndio maana kuna wengine uko juu nimewaambia waende jukwaa la mapishi au mange kimambi app. ndipo kuna maudhui ambayo ni level ya akili zao.
 
Topic nzuri kwa wanaume, ila kinachonichekesha ni wanaodhani kuwa mwanamke ni rahisi. There’s price for everything.

Karibuni!!

Tupo kipindi ambacho kundi kubwa la wanaume wanatsmani wangezaliwa wanawake au basi wabadilishwe wawe wanawake. Hii ni kutokana na kauli za aina hii, hii yaani vuu vuu, Kila jinsia Ina changamoto zake.
 
Back
Top Bottom