Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna shoga alikua maarufu Moshi miaka ya nyuma maeneo ya kindoroko pale mjini Moshi sasa marehemu alikua akiitwa KINJE. Siku Moja hii nyimbo ilipigwa akasema " Mimi nilijua mapema ndio maana nimejitoa huko" 😂😂😂😂Ottu Jazz Band Msondo Ngoma Baba ya Muziki Waliimba wimbo Ajali ukiwa na Maneno,"Ukizaliwa mwanaume kaa ujue kila kitu kwako itakua tabu, wanaume tumeumbwa mateso kuhangaika"
DahHuwa naisikiliza hii video mara mbili mbili.
Hakika kuzaliwa mwanaume ni hatia.View attachment 3089559
Verry sure bloodVijana wengi wanashindwa kupata maendeleo kwa sababu ya kubeba majukumu yasiyowahusu. Hakuna mwanaume mwenye jukumu la kumuhudumia girlfriend, kahaba au mdangaji. Anaehudumiwa ni mke.
Kapeace njoo huku tayari kasi ya mashambulizi imeongezeka.Duuh nimeamini wanaume wa siku hizi mnapenda sana kulialia na kuplay victims, pale jamii inapowatukana wanawake na kuwasifia wanaume kwa kufanya kitendo kimoja 'umalaya' eti kisa jinsia zao na maumbile yao mbona huwa hamuongei, kwanza mnastahili hayo kila jinsia ina angle yake ambayo inaandamwa ila kiujumla wanawake ndio wanaandamwa sana ni vile tu siku hizi wameamua kujibu mapigo na kuacha kulalamika wamewaachia nyie
Mwisho wa siku Mwanaume unatakiwa upambane na hali yako bila kujali hofu mashaka au hisia..😂😂😂😂😂
Ukiangalia topics za natafuta ajira kwa juu juu unaweza dhani anachukia wanawake, ila kwa asilimia kubwa anaongea ukweli Anita MakiritaUnachukia wanawake ndio...usidhanie huonekani unavyosambaza chuki zako..na kuna mafala yanakufuata blindly...
Ukweli gani, anachukia wanawake huyo...mtu balanced anaonekana hata michango yake...wewe kila siku kuponda wanawake...huyu mtu hayuko emotionally balanced na mtakaomfuata mtaishia kuwa na mahusiano rocky kama yeye ..Ukiangalia topics za natafuta ajira kwa juu juu unaweza dhani anachukia wanawake, ila kwa asilimia kubwa anaongea ukweli Anita Makirita
Aisee...Ukweli gani, anachukia wanawake huyo...mtu balanced anaonekana hata michango yake...wewe kila siku kuponda wanawake...huyu mtu hayuko emotionally balanced na mtakaomfuata mtaishia kuwa na mahusiano rocky kama yeye ..
Sasa kichapo cha mwanamke mwenzie nacho unakiita kichapo, si wataishia kuvuana mawigi na kuchaniana nguo tu.Wee thubutuu!!! Huyo mwizi mwanamke angemwibia mwanamke mwenzake uone angevojambishwa na huyohuyo mwanamke mwenzake, adui wa mwanamke ni mwanamke.
Kuna mwizi mwanamke alimwibia mwanamke mwenzake sim kwenye gari alikula kichapo Cha wanawake wenzake na maneno makali juu, afu wanaume wakakaa pembeni kwanza.
Kuna na yule mwizi mwingine wa kike aliyeiba mume wa mwanamke mwenzake majuzi, walimfanya kitu mbaya mpaka akaomba maji ya kunywa na hakupewa.
Wizi ni mbaya tuu hauangalii jinsia jichanganye useme wee ni wa kike utahurumiwa uone Cha moto, waweza jikuta unakula kiberiti bila kutegemea na uanamke wako, ohooooo Dunia haieleweki hii.
Kijana usipoteze muda, nguvu wala pesa na mwanamke wa age yako. Mwenzako kutoboa ni suala la kulala na kuamka tu lakini wewe kutoboa ni mchakato.Kipindi tupo shule tuliwahi kuambiwa wake zetu bado hawajazaliwa au kuanza hata shule. Tukajikuta sisi tunajua sana tukapuuzia tulichoambiwa. Picha likaja tupo mtaani sasa, tunajitafuta na hao tunaowaita wapenzi wetu ambao hatujaachana sana umri. Msoto umepiga na wao wameamua kwenda kwa wenye hela na waliojipata, na wengine imebidi tuwaache waende maana hali imezidi kuwa tafrani dah. Ndio tukajua kumbe hatujui. Tumekuja kujipata tunapata vitoto vya 2000 ambao kimsingi ndio wa kuja kuwaoa.
Kwa kizazi tulichopo kwa kusena kweli suala la malezi ni changamoto, binafsi nafikiri tuwafundishe heshima na uthubutu ws kujitegemea tangu wakiwa wadogo pia tusiwaachie uhuru usiokua na mipaka(lengo sio kuwabana lengo ni kuwalinda).Mleta mada andiko hili pamaja na mengi mazuri na yenye mafunzo uliyo wasilisha hapa kwa manufaa yetu kama vijana na wote kwa ujumla una ushauri gani kwetu tulio na watoto wa kike ambo kesho watakuwa wadada ambo ni kama hawa tunao waongelea hapa?
Natanguliza shukurani Natafuta Ajira
Wakati tuliopo tujitahidi kutumia zaidi logic. Tufate nature pale ambapo hakuna namna nyingine.Hii Iko kwenye nature hata lijogoo huponda majogoo wengine na kulisha mitetea!
Ila binafsi huwa napenda sana kuwapa vipaumbile vidume wenzangu kutokana na niliyoyapitia kama mwanaume
😀😀😀😀😀" Mimi nilijua mapema ndio maana nimejitoa huko"
Sio mashetani mkuu, wewe ishi nao kimkakati tu.wanawake nawaonagq kama ni.mashetani tu