Kuzaliwa mwanaume ni hatia

Kuzaliwa mwanaume ni hatia

Wadogo zetu tukiwaambia ukweli wanafikiri tunawachukia wanawake, wanafikiri kaka zao tunashindwa kutapanya hela kama wao, matokeo yake kijana anagonga 35 yrs hana hata kiwanja cha 25×25 wakati mademu aliwahonga na kupoteza nao muda akiwa 20's washaolewa wanakula maisha.
Unachukia wanawake ndio...usidhanie huonekani unavyosambaza chuki zako..na kuna mafala yanakufuata blindly...
 
Nimekumbuka mtani kwetu miaka ya nyuma, alitokea mwizi mwanamke, alikamatwa bila kupigwa hata kibao tu walitokea watu wakazuia asipigwe.

Baada ya yule dada kuhojiwa alitoa story ya simanzi pale akachangiwa sembe, mchele, sukari na vyakula vingine vingi akale na familia yake, akapewa na nauli ya kurudi nyumbani.

Miezi imeenda akakamatwa mwizi mwanaume raia walikuwa wakali wakataka apigwe kukomesha wizi, ikabidi washkaji tufanye maarifa kumuokoa kijana mwenzetu.

Umejifunza nini? Mwizi wa kwanza alionewa huruma na kusaidiwa kwa sababu ni mwanamke, mwizi wa pili raia walitaka apigwe kwa sababu ni mwanaume.

Wote kosa lao moja lakini treatments tofauti kwa sababu ya jinsia zao.

Umenielewa sasa? Wewe kama mwanaume elewa kwamba ukizaliwa mwanaume basi upo peke yako. Ni hatia kuwa mwanaume katika hii dunia. Pressure na expectations za jamii kwako ni kubwa sana na hakuna excuse utaitoa ukaeleweka.

Wanawake hawatajali chochote kuhusu wewe, wanaume wenzako hawatajali chochote kuhusu wewe, ulimwengu hautajali chochote kuhusu wewe.

Ukijidanganya kwamba unaweza kupata favor kama mwanamke utapata tabu sana. Hata hao marafiki zako wengi tu wanaweza kukutosa na kumsaidia mwanamke just because of pussy.

Nini ufanye kuondokana na hii hatia ya kuzaliwa mwanaume? Pambania mafanikio, mafanikio yako pekee ndio yatakuondolea hatia yako ya kuwa mwanaume hapa duniani. Upendo wa bure utaupata nyumbani kwako kutoka kwa mama, baba, kaka na dada, ukiingia huku mtaani utapendwa kutokana na unacho-provide.

Ndio maana nawasisitiza vijana wenzangu, wakati wa kujitafuta usipoteze muda, pesa au nguvu kumsaidia mwanamke au kutengeneza mahusiano yako na mwanamke. Katika hiyo age yako mwanamke awe ni kwa ajili ya pipe and swipe tu, baaaasi.

Huyo demu wako hatokuwa mkeo, huyo ni mke au mchepuko mtarajiwa wa wanaume wengine ambao kwa sasa wapo 30's au 40's, kajiweka tu kwako kwa sababu rain maker bado hajajitokeza.

Mwanamke ameshafanikiwa kimaisha kukuzidi wewe mwanaume kwa sababu tu ya jinsia yake. Wapo wanaume wengi ambao tayari wameshajipata wanaweza kumuokoa cheaply, lakini wewe kama mwanaume hakuna wa kukuokoa.

Usipoteze pesa, nguvu, rasilimali au muda wako kwa ajili ya mwanamke, sio mwenzako huyo, ukiishiwa atahamia kwa mwanaume mwingine mwenye nazo, wewe utabaki na umasikini wako.

My brothers, don't go broke, you will be a criminal in this world.
NAKAZIA
 
Nimekumbuka mtani kwetu miaka ya nyuma, alitokea mwizi mwanamke, alikamatwa bila kupigwa hata kibao tu walitokea watu wakazuia asipigwe.

Baada ya yule dada kuhojiwa alitoa story ya simanzi pale akachangiwa sembe, mchele, sukari na vyakula vingine vingi akale na familia yake, akapewa na nauli ya kurudi nyumbani.

Miezi imeenda akakamatwa mwizi mwanaume raia walikuwa wakali wakataka apigwe kukomesha wizi, ikabidi washkaji tufanye maarifa kumuokoa kijana mwenzetu.

Umejifunza nini? Mwizi wa kwanza alionewa huruma na kusaidiwa kwa sababu ni mwanamke, mwizi wa pili raia walitaka apigwe kwa sababu ni mwanaume.

Wote kosa lao moja lakini treatments tofauti kwa sababu ya jinsia zao.

Umenielewa sasa? Wewe kama mwanaume elewa kwamba ukizaliwa mwanaume basi upo peke yako. Ni hatia kuwa mwanaume katika hii dunia. Pressure na expectations za jamii kwako ni kubwa sana na hakuna excuse utaitoa ukaeleweka.

Wanawake hawatajali chochote kuhusu wewe, wanaume wenzako hawatajali chochote kuhusu wewe, ulimwengu hautajali chochote kuhusu wewe.

Ukijidanganya kwamba unaweza kupata favor kama mwanamke utapata tabu sana. Hata hao marafiki zako wengi tu wanaweza kukutosa na kumsaidia mwanamke just because of pussy.

Nini ufanye kuondokana na hii hatia ya kuzaliwa mwanaume? Pambania mafanikio, mafanikio yako pekee ndio yatakuondolea hatia yako ya kuwa mwanaume hapa duniani. Upendo wa bure utaupata nyumbani kwako kutoka kwa mama, baba, kaka na dada, ukiingia huku mtaani utapendwa kutokana na unacho-provide.

Ndio maana nawasisitiza vijana wenzangu, wakati wa kujitafuta usipoteze muda, pesa au nguvu kumsaidia mwanamke au kutengeneza mahusiano yako na mwanamke. Katika hiyo age yako mwanamke awe ni kwa ajili ya pipe and swipe tu, baaaasi.

Huyo demu wako hatokuwa mkeo, huyo ni mke au mchepuko mtarajiwa wa wanaume wengine ambao kwa sasa wapo 30's au 40's, kajiweka tu kwako kwa sababu rain maker bado hajajitokeza.

Mwanamke ameshafanikiwa kimaisha kukuzidi wewe mwanaume kwa sababu tu ya jinsia yake. Wapo wanaume wengi ambao tayari wameshajipata wanaweza kumuokoa cheaply, lakini wewe kama mwanaume hakuna wa kukuokoa.

Usipoteze pesa, nguvu, rasilimali au muda wako kwa ajili ya mwanamke, sio mwenzako huyo, ukiishiwa atahamia kwa mwanaume mwingine mwenye nazo, wewe utabaki na umasikini wako.

My brothers, don't go broke, you will be a criminal in this world.
Wee thubutuu!!! Huyo mwizi mwanamke angemwibia mwanamke mwenzake uone angevojambishwa na huyohuyo mwanamke mwenzake, adui wa mwanamke ni mwanamke.

Kuna mwizi mwanamke alimwibia mwanamke mwenzake sim kwenye gari alikula kichapo Cha wanawake wenzake na maneno makali juu, afu wanaume wakakaa pembeni kwanza.

Kuna na yule mwizi mwingine wa kike aliyeiba mume wa mwanamke mwenzake majuzi, walimfanya kitu mbaya mpaka akaomba maji ya kunywa na hakupewa.

Wizi ni mbaya tuu hauangalii jinsia jichanganye useme wee ni wa kike utahurumiwa uone Cha moto, waweza jikuta unakula kiberiti bila kutegemea na uanamke wako, ohooooo Dunia haieleweki hii.
 
Kuna bidada tulikuwa tunasota naye mpk December mwaka Jana, lkn mwezi march mwaka huu akampata don amemjengea bonge la mjengo na kamanunuliw gari kali ya kutembelea. Mwanamke......shikamoo.
Na wee kajengewe uone kama ni kazi nyepesi kufumuliwa marinda, wenzako hata kukaa hawawezi washaharibiwa mpaka huko nyuma, wanawake wa hivo huko nyuma kushaoza wanatembea na funza kwenye vinyeo na maumivu makali sababu ya tamaaa.

Tamaa mbele mauti nyuma
 
Kweli mkuu, kwenye kujitafuta ni bora upige na kusepa tu, ukisema umfurahishe mwanamke utabaki kuteseka.
Kumbe ndio maana vijana wengi skuizi wanapenda kufurahishwa... right 🤔
 
Na wee kajengewe uone kama ni kazi nyepesi kufumuliwa marinda, wenzako hata kukaa hawawezi washaharibiwa mpaka huko nyuma, wanawake wa hivo huko nyuma kushaoza wanatembea na funza kwenye vinyeo na maumivu makali sababu ya tamaaa.

Tamaa mbele mauti nyuma
Acha wivu, wewe sema una nyota ya punda, kuhonga uhongwi
 
Acha wivu, wewe sema una nyota ya punda, kuhonga uhongwi
Ohoooo wee jidanganye tuu, ma k skuizi yamejaa Kila kona nani akujengee mjengo na gari kisa k tuu, akati ma k ya Bure yametapakaa.

Wenzako skuizi wanatoa ndogo usiku kucha, akitoka hapo hata kukaa hawezi, usione wanawake wamejengewa mjengo na gari ukazani ni k tuu, vinyeo vyao vishaoza, wanaskilizia maumivu tuu.

Mwanamke asipokua na akili zinazoumia ni sehem zake za Siri.
 
Nimekumbuka mtani kwetu miaka ya nyuma, alitokea mwizi mwanamke, alikamatwa bila kupigwa hata kibao tu walitokea watu wakazuia asipigwe.

Baada ya yule dada kuhojiwa alitoa story ya simanzi pale akachangiwa sembe, mchele, sukari na vyakula vingine vingi akale na familia yake, akapewa na nauli ya kurudi nyumbani.

Miezi imeenda akakamatwa mwizi mwanaume raia walikuwa wakali wakataka apigwe kukomesha wizi, ikabidi washkaji tufanye maarifa kumuokoa kijana mwenzetu.

Umejifunza nini? Mwizi wa kwanza alionewa huruma na kusaidiwa kwa sababu ni mwanamke, mwizi wa pili raia walitaka apigwe kwa sababu ni mwanaume.

Wote kosa lao moja lakini treatments tofauti kwa sababu ya jinsia zao.

Umenielewa sasa? Wewe kama mwanaume elewa kwamba ukizaliwa mwanaume basi upo peke yako. Ni hatia kuwa mwanaume katika hii dunia. Pressure na expectations za jamii kwako ni kubwa sana na hakuna excuse utaitoa ukaeleweka.

Wanawake hawatajali chochote kuhusu wewe, wanaume wenzako hawatajali chochote kuhusu wewe, ulimwengu hautajali chochote kuhusu wewe.

Ukijidanganya kwamba unaweza kupata favor kama mwanamke utapata tabu sana. Hata hao marafiki zako wengi tu wanaweza kukutosa na kumsaidia mwanamke just because of pussy.

Nini ufanye kuondokana na hii hatia ya kuzaliwa mwanaume? Pambania mafanikio, mafanikio yako pekee ndio yatakuondolea hatia yako ya kuwa mwanaume hapa duniani. Upendo wa bure utaupata nyumbani kwako kutoka kwa mama, baba, kaka na dada, ukiingia huku mtaani utapendwa kutokana na unacho-provide.

Ndio maana nawasisitiza vijana wenzangu, wakati wa kujitafuta usipoteze muda, pesa au nguvu kumsaidia mwanamke au kutengeneza mahusiano yako na mwanamke. Katika hiyo age yako mwanamke awe ni kwa ajili ya pipe and swipe tu, baaaasi.

Huyo demu wako hatokuwa mkeo, huyo ni mke au mchepuko mtarajiwa wa wanaume wengine ambao kwa sasa wapo 30's au 40's, kajiweka tu kwako kwa sababu rain maker bado hajajitokeza.

Mwanamke ameshafanikiwa kimaisha kukuzidi wewe mwanaume kwa sababu tu ya jinsia yake. Wapo wanaume wengi ambao tayari wameshajipata wanaweza kumuokoa cheaply, lakini wewe kama mwanaume hakuna wa kukuokoa.

Usipoteze pesa, nguvu, rasilimali au muda wako kwa ajili ya mwanamke, sio mwenzako huyo, ukiishiwa atahamia kwa mwanaume mwingine mwenye nazo, wewe utabaki na umasikini wako.

My brothers, don't go broke, you will be a criminal in this world.
Kipindi tupo shule tuliwahi kuambiwa wake zetu bado hawajazaliwa au kuanza hata shule. Tukajikuta sisi tunajua sana tukapuuzia tulichoambiwa. Picha likaja tupo mtaani sasa, tunajitafuta na hao tunaowaita wapenzi wetu ambao hatujaachana sana umri. Msoto umepiga na wao wameamua kwenda kwa wenye hela na waliojipata, na wengine imebidi tuwaache waende maana hali imezidi kuwa tafrani dah. Ndio tukajua kumbe hatujui. Tumekuja kujipata tunapata vitoto vya 2000 ambao kimsingi ndio wa kuja kuwaoa.
 
Mleta mada andiko hili pamaja na mengi mazuri na yenye mafunzo uliyo wasilisha hapa kwa manufaa yetu kama vijana na wote kwa ujumla una ushauri gani kwetu tulio na watoto wa kike ambo kesho watakuwa wadada ambo ni kama hawa tunao waongelea hapa?
Natanguliza shukurani Natafuta Ajira
 
Nimekumbuka mtani kwetu miaka ya nyuma, alitokea mwizi mwanamke, alikamatwa bila kupigwa hata kibao tu walitokea watu wakazuia asipigwe.

Baada ya yule dada kuhojiwa alitoa story ya simanzi pale akachangiwa sembe, mchele, sukari na vyakula vingine vingi akale na familia yake, akapewa na nauli ya kurudi nyumbani.

Miezi imeenda akakamatwa mwizi mwanaume raia walikuwa wakali wakataka apigwe kukomesha wizi, ikabidi washkaji tufanye maarifa kumuokoa kijana mwenzetu.

Umejifunza nini? Mwizi wa kwanza alionewa huruma na kusaidiwa kwa sababu ni mwanamke, mwizi wa pili raia walitaka apigwe kwa sababu ni mwanaume.

Wote kosa lao moja lakini treatments tofauti kwa sababu ya jinsia zao.

Umenielewa sasa? Wewe kama mwanaume elewa kwamba ukizaliwa mwanaume basi upo peke yako. Ni hatia kuwa mwanaume katika hii dunia. Pressure na expectations za jamii kwako ni kubwa sana na hakuna excuse utaitoa ukaeleweka.

Wanawake hawatajali chochote kuhusu wewe, wanaume wenzako hawatajali chochote kuhusu wewe, ulimwengu hautajali chochote kuhusu wewe.

Ukijidanganya kwamba unaweza kupata favor kama mwanamke utapata tabu sana. Hata hao marafiki zako wengi tu wanaweza kukutosa na kumsaidia mwanamke just because of pussy.

Nini ufanye kuondokana na hii hatia ya kuzaliwa mwanaume? Pambania mafanikio, mafanikio yako pekee ndio yatakuondolea hatia yako ya kuwa mwanaume hapa duniani. Upendo wa bure utaupata nyumbani kwako kutoka kwa mama, baba, kaka na dada, ukiingia huku mtaani utapendwa kutokana na unacho-provide.

Ndio maana nawasisitiza vijana wenzangu, wakati wa kujitafuta usipoteze muda, pesa au nguvu kumsaidia mwanamke au kutengeneza mahusiano yako na mwanamke. Katika hiyo age yako mwanamke awe ni kwa ajili ya pipe and swipe tu, baaaasi.

Huyo demu wako hatokuwa mkeo, huyo ni mke au mchepuko mtarajiwa wa wanaume wengine ambao kwa sasa wapo 30's au 40's, kajiweka tu kwako kwa sababu rain maker bado hajajitokeza.

Mwanamke ameshafanikiwa kimaisha kukuzidi wewe mwanaume kwa sababu tu ya jinsia yake. Wapo wanaume wengi ambao tayari wameshajipata wanaweza kumuokoa cheaply, lakini wewe kama mwanaume hakuna wa kukuokoa.

Usipoteze pesa, nguvu, rasilimali au muda wako kwa ajili ya mwanamke, sio mwenzako huyo, ukiishiwa atahamia kwa mwanaume mwingine mwenye nazo, wewe utabaki na umasikini wako.

My brothers, don't go broke, you will be a criminal in this world.
Daaah mkuu unaongea ukweli mtupu sema tunaokuelewa ni wachache mkuu

Endelea kutupatia madini hayo ya uhakika kabisa nipo hapa kusikiliza na kujifunza 🙇👱
 
Back
Top Bottom