Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 11,050
- 31,412
Asante sana kwa kunikumbusha hili, mara nyingi sana tunawaungisha wanawake kwenye biashara kuliko wanaume wenzetu.bidhaa inauzwa na mwanamke na mwanaume nitaenda kununua kwa mwanaume
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana kwa kunikumbusha hili, mara nyingi sana tunawaungisha wanawake kwenye biashara kuliko wanaume wenzetu.bidhaa inauzwa na mwanamke na mwanaume nitaenda kununua kwa mwanaume
Kanyoe vuzi ww dada mumeo anataka akuweke popo kanyea mbingu tonightAndikieni kwenye toilet paper muchambie hamtoona hizi comment za kuwakera ama la kuweni wanawake na nyie mtembezwe km za kutosha, kuonewa huruma na kuhongwa
Njoo tusaidiane kumuhudumia bwana mke mwenzaKanyoe vuzi ww dada mumeo anataka akuweke popo kanyea mbingu tonight
We naona unawashwa 071, subiri waje wazibuajiNjoo tusaidiane kumuhudumia bwana mke mwenza
Waache kuwazibua nyie mnaotamani kuwa na k, tulia hapo wanakujaWe naona unawashwa 071, subiri waje wazibuaji
Broo unazingua, usindishane na mwanamke kwa vijimaneno-maneno, wanawake ni wataalamu wa hayo mambo uta-aibika tuu.We naona unawashwa 071, subiri waje wazibuaji
Afu hata hauchekeshi... Kaa mbali wewe kima!!!Andikieni kwenye toilet paper muchambie hamtoona hizi comment za kuwakera ama la kuweni wanawake na nyie mtembezwe km za kutosha, kuonewa huruma na kuhongwa
Mkuu you so much wiser to do this,Acha yapite my fellow legendnikuchekeshe mi bwana ako?
Usiteseke na mimi, huo uwiser mi siutakiMkuu you so much wiser to do this,Acha yapite my fellow legend
🙏🙏🙏🙏🙏Usiteseke na mimi, huo uwiser mi siutaki
Kuna bidada tulikuwa tunasota naye mpk December mwaka Jana, lkn mwezi march mwaka huu akampata don amemjengea bonge la mjengo na kamanunuliw gari kali ya kutembelea. Mwanamke......shikamoo.Wapo wanaume wengi ambao tayari wameshajipata wanaweza kumuokoa cheaply, lakini wewe kama mwanaume hakuna wa kukuokoa.
Ndio maana nasema mwanamke sio mwenzako, anaweza kulala na kuamka tajiri, lakini mwanaume kwako kufanikiwa ni mchakato mrefu.Kuna bidada tulikuwa tunasota naye mpk December mwaka Jana, lkn mwezi march mwaka huu akampata don amemjengea bonge la mjengo na kamanunuliw gari kali ya kutembelea. Mwanamke......shikamoo.
😀😀😀😀 mkuu wewe copy and paste kasambazie gen z wote, hata usiponi-acknowledge mimi sina noma, muhimu ujumbe usambae tu.Natafuta Ajira naomba unielekeze namna ya kuprint hili andiko lako, nataka nikaliwee LAMINATION niwe nalisoma kila siku.
Ahsante
Wewe picha linaanza baba Yako ajakuachia ata redio ya urithi daaah!!Ndio maana nasema mwanamke sio mwenzako, anaweza kulala na kuamka tajiri, lakini mwanaume kwako kufanikiwa ni mchakato mrefu.
Kitu ambacho mwanaume utapambania kukitafuta kwa miaka hata mitano mwanamke anaweza kukipata mdani ya dakika 30 tu kwa kupanua mapaja yake
Wadogo zetu tukiwaambia ukweli wanafikiri tunawachukia wanawake, wanafikiri kaka zao tunashindwa kutapanya hela kama wao, matokeo yake kijana anagonga 35 yrs hana hata kiwanja cha 25×25 wakati mademu aliwahonga na kupoteza nao muda akiwa 20's washaolewa wanakula maisha.Wewe picha linaanza baba Yako ajakuachia ata redio ya urithi daaah!!