Lightysh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2024
- 434
- 1,551
Mashirika mengi ya umma rushwa ndio inazorotesha mambo.
TANESCO rushwa imetawala mno, unalipia umeme Ila hadi waje kukuwekea bila kutoka chochote kitu utakesha.
Ukiwapigia wanakwambia mara nguzo hamna but ukimwambia kuna ya chai hapo hapo nguzo imepatikana wanakuja fasta.
Jambo la kufanya siku moja, wanakuzungusha 2 weeks.
TANESCO rushwa imetawala mno, unalipia umeme Ila hadi waje kukuwekea bila kutoka chochote kitu utakesha.
Ukiwapigia wanakwambia mara nguzo hamna but ukimwambia kuna ya chai hapo hapo nguzo imepatikana wanakuja fasta.
Jambo la kufanya siku moja, wanakuzungusha 2 weeks.
