Pre GE2025 Kuzorota kwa Huduma/Shirika gani litakufanya usiipigie tena kura CCM?

Pre GE2025 Kuzorota kwa Huduma/Shirika gani litakufanya usiipigie tena kura CCM?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hata usipopiga kura unafikiri hawa wanajali!watakupugia tu kura za juu kwa juu

Ova
 
Kwa taarifa yako hata chama kinachotawala Kenya ni tofauti kabisa na kinachotawala hapa kama hoja yako ni tofauti. Kama wapinzani hawawezi, mbona wanaopindua nchi huweza kuziendesha bila kuwa na hizo protocol za vyama vya siasa? Hapo Zambia tulikuwa tunasikia wapinzani hawataweza kuendesha nchi, je Zambia wamekuja kutuomba msaada wa kuendeshewa nchi?
Hakuna sehemu niliyosema wapinzani hawawezi kuendesha Nchi nimesema ni wapinzani wapi tuwaamini ? Nadhani swala ni kuwataja tu. Wapinzani Nchi hii ni
1. ACT Wazalendo
2. CHADEMA
3. CUF
4. TLP n.k sasa je katika hao ni wapinzani wapi unaona wanatufaa ?
 
Hakuna sehemu niliyosema wapinzani hawawezi kuendesha Nchi nimesema ni wapinzani wapi tuwaamini ? Nadhani swala ni kuwataja tu. Wapinzani Nchi hii ni
1. ACT Wazalendo
2. CHADEMA
3. CUF
4. TLP n.k sasa je katika hao ni wapinzani wapi unaona wanatufaa ?
Hakuna mpinzani atashindwa kuendesha nchi hii.
 
Mie mama samia ntamchagua wengine mtajijua
 
Back
Top Bottom