Pre GE2025 Kuzorota kwa Huduma/Shirika gani litakufanya usiipigie tena kura CCM?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hata usipopiga kura unafikiri hawa wanajali!watakupugia tu kura za juu kwa juu

Ova
 
Hakuna sehemu niliyosema wapinzani hawawezi kuendesha Nchi nimesema ni wapinzani wapi tuwaamini ? Nadhani swala ni kuwataja tu. Wapinzani Nchi hii ni
1. ACT Wazalendo
2. CHADEMA
3. CUF
4. TLP n.k sasa je katika hao ni wapinzani wapi unaona wanatufaa ?
 
Hakuna mpinzani atashindwa kuendesha nchi hii.
 
Mie mama samia ntamchagua wengine mtajijua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…