Kuzuia habari Waraka wa Maaskofu kuripotiwa kwenye Vyombo vya Habari ni uminywaji wa kiwango cha juu sana katika utoaji habari

Kuzuia habari Waraka wa Maaskofu kuripotiwa kwenye Vyombo vya Habari ni uminywaji wa kiwango cha juu sana katika utoaji habari

Serikali haiingilii shughuli za ndani za taasisi za kidini. Huo upotoshaji wako umeshafeli kabla haujaanza
 
Na bado kuna watu wanafuatilia hizo Station? Binafisi nina miaka mingi siangaliahi huo ujinha bora niaangali Move youtube
 
Katika awamu Hii vyombo vya habari hasa TV, Magazeti, na Radio vimebanwa hasa kupitia BAHASHA za KAKI zinazotolewa na akina napenauye.

Ishu ipo hivyo, vyombo vya habari vilivyo vingi hapa nchini ni njaa kali, kwa hii serikali ya wala rushwa na mafisadi yanayokula kwa urefu wa kamba zao wanawaambia waandishi wa habari chagua moja au ULE na sisi ukubali uwe chawa wa mama au UFE njaa na watanzania wenzako kwa kutete maslahi mapana ya TAIFA.

Waandishi wa habari walio wengi na vyombo vya habari ving vimechagua kula mapochopocho ya mafisadi ya awamu ya sita kuwa sharti moja tu. Hakuna Kuisema vibaya serikali hii.

Ndio maana waziri wa Habari nape anakuwa na jeuri ya kuvipangia vyombo vya habari, habari gani iripotiwe na habari gani isiripotiwe kwenye vyombo vya habari.

Kwa hili la WARAKA WA MAASKOFU vyombo vya habari vimejidhalilisha sana.
Hayo mapochopocho yatawatokea puani soon wawaulize kina zembwela
 
Yaani TEC inavyojibaraguza unaweza kudhani wanawagawia Unga sukari na Mboga waumini wao.

Kumbe hata mtoto wamuumuni aliekosa ada anafukuzwa kwenye shule zao.
 
Mnajitekenya kucheka,waraka umeshasomwa hata kabla haujatoka.

Walitumia kuwaambia wana jumuia lakini wengine wanasema haya mambo ya siasa kwenye dini hawayataki.

Waumini wanalala njaa,Maaskofu wanakuka na kusaza.
Unadhani nirahisi kuwashawishi kupigania maslahi ya watu wachache
 
Ni wakati Sasa neppy ajue ukubwa wa kanisa katoliki.
 
Back
Top Bottom