Kuzuia mchanga wa dhahabu, Magufuli anastahili pongezi. Tusiishie kwenye madini tu, na gesi je?

Kumbe ww mwezetu unaujua huo mkataba?
 
Ndio maana magu kasema atayafungua Yale makontena baada ya taratibu kukamilika ili Tanzania , Africa na dunia ione..hajakurupuka faiza
Mule ndan huenda kuna dhahabu asilimia kubwa zaid ya mchanga[emoji1] [emoji1] [emoji1]

Yafunguliwe
 
Kati ya vitu ulivotudanganya ni nchi zenye hzo smelters. Waandshi wetu mmezd kukurupuka. Tulien fanyen utafit,hamna haja ya kuwa na haraka. Nenda ufanye utafiti urudi tena na list ya nchi zenye smelter.

Sent from my SM-J110F using JamiiForums mobile app
 
Anybody with basic knowledge of chemistry utafiti wa dakika chache kwenye mtandao angefahamu sababu msingi mchanga kusafirishwa nje - surely Phd chemistry with a difference.
 
Mule ndan huenda kuna dhahabu asilimia kubwa zaid ya mchanga[emoji1] [emoji1] [emoji1]

Yafunguliwe
Sio huenda, wanachimba na ku semi process kwa kusaga tuu na sio mchanga bali ni makinikia ya dhahabu.

Paskali
 
Lengo ni zuri tatizo ni ukurupukaji. Hili zoezi lilihitaji majadiliano baina ya pande 2. Ikumbukwe hii si mara ya kwanza kwa zuio hili chini ya JPM. Mara ya kwanza lilifeli.

Kuchenjua madini kunahitaji uwekezaji mkubwa wa mitambo. Hivyo wawekezaji walipaswa kupewa muda mf miezi6 au mwaka kwa makubaliano ya pande zote 2. Huku kukurupuka ni sawa na zoezi la Viroba. Hakuna muda wa mpito kwa Mwekezaji.

Naskia migodi imesitisha mikataba na kampuni zote, wafanya kazi wote wamesimamishwa kazi, mafunzo yote yamesitishwa, nk. Kodi tunapoteza, ajira kwa watu wetu zinapotea, biashara za jirani zina athirika, nk.
 
Tukumbuke kuwa kuna sheria na kanuni za mikataba, hazitubani?

Pia tukumbuke kisa cha Tiny Rowlands na Nyerere.
Dhahabu ni yetu na mchanga hautoki, hakuna cha sheria ya mikakataba wala mikakataba ya uwekezaji, tumesema wajenge smelter hapa na wauchambulie hapa hapa, kama hawataki wafungashe wakwende zao, tutaichimba dhahabu yetu wenyewe tukiisha jenga uwezo. ICCD tunajitoa na hatusikilizi kesi yoyote wala hatutaki usuluhisho wowote kwenye rasilimali zetu! .
Nimemshauri tukifanikisha hili la dhahabu tuje na kwenye gesi maana nako tunaibiwa! .
http://www.jamiiforums.com/threads/...anzania-tunaibiwa-mchana-kweupe.298561/page-3
Paskali
 


Safi sana, tukumbuke tu ya Nyerere na Tiny Rowlands. Ilitunyeeshea.
 
It's so sad, hizi papara na maamuzi ya kukurupuka is not very good at all kwenye investment climate.

Tuliwahi kushauri humu
https://www.jamiiforums.com/threads...ye-uchumi-we-have-to-choose-or.1189637/page-3

Ukifanya jambo kwa papara with a negative preconceived ideas, then atakapokuja kuambiwa ukweli kuwa Tanzania hatuna umeme wa kuendesha hizo smelter za ku separate gold, silver and copper, sura itamshuka!.

Watu wana mikataba ya uwekezaji, sheria, taratibu na kanuni zipo, papara za nini? .

Paskali
 
Tukumbuke kuwa kuna sheria na kanuni za mikataba, hazitubani?

Pia tukumbuke kisa cha Tiny Rowlands na Nyerere.
Umenena kibibi gagula, kuzuia kisiasa kutaitumbukiza nchi hii kwenye madeni makubwa sana . hekima inafaa itumike maana hao watu kama mliingia nao mikataba mnafaa muelewe ni sheria na itatumaliza
 
Kwasasa hivi wananchi wengi wanamuona Magufuli ni shujaa na wanampongeza kwa maamuzi yake ya kuzuia huo mchanga.. Lakini amini usiamini, soon Tanzania itasuffer na ikiwezekana kabisa kufunguliwa mashtaka kwenye mahakama za kimataifa kwa sakata hili.... Na hapo ndipo watu watakapomgeuka Rais na kuanza kujiuliza maswali yasiyo na majibu...
 
Usichanganye madawa, nimesema Tanzania haipo kwenye top ten gold producers, kwenye bara la África, South Africa na Ghana ziko kwenye top ten na hazina smelter of such magnitude, nikasema kwenye top ten, nchi 4 ndizo zenye hizo smelter, sasa what are the chances kwa Tanzania to have such a smelter, kwa dhahabu gani na kwa umeme gani? .

Ili Tanzania tuweze kuendelea ni lazima mkuu wetu apewe expert opinion kabla ya kutoa maamuzi ya kukurupuka ambayo mwisho wa siku yatakuja kuli cost taifa.

Mimi nimependekeza asaidiwe https://www.jamiiforums.com/threads...a-kitu-peke-yake.1224084/page-6#post-20343364

Paskali
 
Umetaja nchi zenye smelters hata ulaya hamna ukataja china,urusi,japan na ukasema afrika hamna nchi yenye smelter.

Hili ndo naomba ulifanyie utafiti boss maana nyie waandsh tunawategemea sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…