Uchaguzi 2020 Kwa afya ya Demokrasia nawaombea kwa Magufuli Wagombea wafuatao warudi bungeni

Uchaguzi 2020 Kwa afya ya Demokrasia nawaombea kwa Magufuli Wagombea wafuatao warudi bungeni

Crimea

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2014
Posts
25,874
Reaction score
36,030
Hata kama hawatapata kura za kutosha naomba tume na Magufuli tumieni hekima yenu ili wabunge wagombea wafuatao kutoka vyama vya upinzani warudi bungeni. Hili litasababisha nchi yetu kuchangamka kimijadala na pia kufanya selikali isilale.

Itakuwa ni bahati mbaya sana tukikosa kabisa wabunge wa kufanya amsha amsha kwa maendeleo ya taifa letu.

Najua hawa watu hupinga kila kitu ila kwa afya tu ya demokrasia naomba wanachi wa maeneo haya wapigieni kura kwa wingi ili taifa letu lisiwe kama la mabubu hapo baaada ya Oktoba hii:

1. Sugu
2. Joseph Haule
3. Msigwa
4. Mbowe
5. Lema
6. Upendo Peneza
7. Bulaya
8. Mdee
9. Wenje
10. Heche
11. Devotha Minja
12. Ester Matiko
13. Zitto

Nawaombeni sana Tume na Magufuli hawa watu hata wakipata kura kidogo wapelekeni bungeni. Najua hili hata usalama wa taifa watalizingatia sana.

Najua Majimbo mengine nje ya hao nliowataja CHADEMA hawatapata mbunge hata mmoja hivyo kupita kwao hawa taifa letu litachangamka sana kwenye mijadala mbalimbali.

Na pia mtaisaidia CHADEMA kusavaivu kwenye ruzuku maana Lissu hana nguvu ya kupata kura nyingi kama zile za EL 2015, au mnataka CCM huku bara wabaki peke yao?

Shukrani.
 
Umepungukiwa maarifa, Kumbe Magufuli ndio anaipangia tume ya uchaguzi.

Badala ya kumshauri Jiwe atende haki kwa wanyonge, unaandika utopolo...

Kwa wingi wa wabunge wa CCM, huoni Sheria ya Kuondoa FAO la kujitoa Ni kunyanyasa wafanyakazi. Sasa mtu kulipwa 33% ya mshahara kwa miezi 6...je mtu analipa Kodi ya Nyumba asilimia 33? Sukari analipa 33%
 
Umepungukiwa maarifa, Kumbe Magufuli ndio anaipangia tume ya uchaguzi.

Badala ya kumshauri Jiwe atende haki kwa wanyonge, unaandika utopolo...

Kwa wingi wa wabunge wa CCM, huoni Sheria ya Kuondoa FAO la kujitoa Ni kunyanyasa wafanyakazi. Sasa mtu kulipwa 33% ya mshahara kwa miezi 6...je mtu analipa Kodi ya Nyumba asilimia 33? Sukari analipa 33%
Nmeshakwambia wasipipata kura za ktosha. Maana hali kwenu si nzuri
 
Umepungukiwa maarifa, Kumbe Magufuli ndio anaipangia tume ya uchaguzi.

Badala ya kumshauri Jiwe atende haki kwa wanyonge, unaandika utopolo...

Kwa wingi wa wabunge wa CCM, huoni Sheria ya Kuondoa FAO la kujitoa Ni kunyanyasa wafanyakazi. Sasa mtu kulipwa 33% ya mshahara kwa miezi 6...je mtu analipa Kodi ya Nyumba asilimia 33? Sukari analipa 33%
Nje ya mada
 
Huo ujinga wake ni hukohuko kijani, huku ni kura ndizo zinaanza siyo utashi wake! Yeye mwenyewe anapumulia mashine!
 
Mimi sitetei wanasiasa wapate kula, naangalia Sera za kunisaidia mnyonge.

Bunge la Ndugai lilipitisha Sheria mbovu na halikukemea bomoa bomoa bila fidia.
Ndio maana nikakwambia mwaka huu hawa warudi maana wasiporudi hali itakuwa mbaya zaidi
 
Wee jamaa niliwahi kukwambia kuwa huna akili hata kidogo. Ulichoandika kinadhihirisha jinsi ulivyo zuzu na hii inahakisi jamii nzima ya mnaoshabikiana.

Watu kama wewe ikitokea mkafa basi nchi itakuwa imepata faida kubwa sana.
 
Wewe na yule Bia Yetu kimewapata nini leo asubuhi...? Au ni accounts mbili za mtu mmoja..?

Sent from my Infinix X5514D using JamiiForums mobile app
Labda wameongezewa posho ya bando maana hali ni mbaya sana kwa mheshimiwa ...

Naskia anajaribu kuwawasiliana na malaika anaowangoza kupitia taasisi za dini ili Mungu awashushe waje waongezee nguvu maana hali ni mbaya

Sasa sijui Mungu wa nini tena wakati yeye ndio kuingozi wao si awamrishe tu waje jamani na sisi tuwashuhudie kwa macho yetu tunaishia tu kuwasoma kwenye biblia na misahafu
 
Wee jamaa niliwahi kukwambia kuwa huna akili hata kidogo. Ulichoandika kinadhihirisha jinsi ulivyo zuzu na hii inahakisi jamii nzima ya mnaoshabikiana.

Watu kama wewe ikitokea mkafa basi nchi itakuwa imepata faida kubwa sana.
Thank you for this comment
 
Back
Top Bottom