Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali zuri sana kwake, barikiwa sana.Unawaombea kwa Magufuli? Kwamba ushakubali matokeo kwamba Magu ndo anatoa order Mbunge gani arudi na nani asirudi?
Nchi imeshaharibika hii.Unataka kusema Magufuli ndo anaamua nani arudi bungeni na nani kama ni hivyo huu uchaguzi unaosababisha watu waache kazi na kwenda kumsikiliza Magufuli pale taifa ni wa nini sasa?
Magufuli si angeteua tu nani awe mbunge wa wapi na nani asiwe? Kama CCM huko watu mnafikiria hivi,then I think CCM is now a group foolish individuals
Mtu asipopata kura za kutosha maana yake nini wewe kilaza?huoni unaendelea kuendekeza utopolo wako?by the way nadrive from moro to ila maeneo ambayo huwezi kukosa mapolice, leo hawapo,je wallenda kuongea idadi ta vichwa taifa?Sasa kama wewe unajiita una akili sana lakini umeahindwa kuelewa mada unataka mimi nikusaidie vipi?
Nani kasema Magu ndio anapanga?
Nmesema wasipopata kura za kutosha yeye kama rais atumie busara yake kwa uhai wa democrasia!
Sasa hujaelewa nini hapo?