Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama unapanic hivi bila kuelewa hoja iliyopo unataka mimi nikusaidieje?Wee jamaa niliwahi kukwambia kuwa huna akili hata kidogo. Ulichoandika kinadhihirisha jinsi ulivyo zuzu na hii inahakisi jamii nzima ya mnaoshabikiana.
Watu kama wewe ikitokea mkafa basi nchi itakuwa imepata faida kubwa sana.
Sasa hapo napanic vipi na hoja yako ya kipuuzi? Watu kama wewe sina shida nao maana najua wanalilia matumbo yao. Au wewe unajiona kuwa umetoa hoja sana nini?Sasa kama unapanic hivi bila kuelewa hoja iliyopo unataka mimi nilusaidieje?
Hujasoma mada yote!Siku hizi wabunge kumbe wanaombewa kwa Magufuli na Tume siyo wanachaguliwa na wananchi kwenye sanduku la kura kama haya uliyo andika ni kweli basi ni aibu sana kwa nchi yetu.
Sasa kama wewe unajiita una akili sana lakini umeahindwa kuelewa mada unataka mimi nikusaidie vipi?Unataka kusema magufuli ndo anaamua nani arudi bungeni na nani kama ni hivyo huu uchaguzi unaosababisha watu waache kazi na kwenda kumsikiliza magufuli pale taifa ni wa nini sasa? Magufuli si angeteua tu nani awe mbunge wa wapi na nani asiwe? Kama ccm huko watu mnafikiria hivi,then I think ccm is now a group foolish individuals
Nisome uchafu!Hujasoma mada yote kisha umerukia kukoment
Tetete umeandika upupuBasi pita kimya ili kuepusha kuonesha umbumbumbu wako hadharani
Malizia kiporo mkuuYap ni upupu! Si unaona ulivyokuwasha?
Umepungukiwa maarifa, Kumbe Magufuli ndio anaipangia tume ya uchaguzi.
Badala ya kumshauri Jiwe atende haki kwa wanyonge, unaandika utopolo...
Kwa wingi wa wabunge wa CCM, huoni Sheria ya Kuondoa FAO la kujitoa Ni kunyanyasa wafanyakazi. Sasa mtu kulipwa 33% ya mshahara kwa miezi 6...je mtu analipa Kodi ya Nyumba asilimia 33? Sukari analipa 33%