Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio wapo uwanja wa taifa kusikiliza sera! Ulitaka waende kumsindikiza Lisu kwenda kununua nyanya kariakoo?Mtu asipopata kura za kutosha maana yake nini wewe kilaza?huoni unaendelea kuendekeza utopolo wako?by the way nadrive from moro to ila maeneo ambayo huwezi kukosa mapolice, leo hawapo,je wallenda kuongea idadi ta vichwa taifa?
Mkuu chadema wana hali mbaya sana!Nashindwa kuelewa tume inaingiaje hapa (labda kama unatuambia tume ina mbinu za kumfanya mtu aliyeshindwa ashinde (LoL)). Tume kazi yake ni kusimamia uchaguzi (mchakato) huru na wa haki. Wananchi wao wana amua. Raisi anayechaguliwa ana viti 10 tu kwa likatiba hili libovu, kumbuka nae ana watu wake ambao sio wanasiasa lakini anataka kuwatumia bungeni au kiuwaziri. Sasa kama JPM ndiye atakae shinda ni wazi ombi lako haliwezi kufanikiwa kwani toka achaguliwe ameonyesha nia ya, na vitendo vya, wazi vya kuitenga na kuihujumu CDM. Kwa ufupi tamanio lako halina uhalisia na unalijua hilo. Hayo mengine uliyo andika ni kuendeeza kejeli zako kwa CDM.
Jifunze kuwa na akili mkuu ,tafuta maneno mazuri ya kutumia kwani matusi Ndo kufikisha ujumbe ,,,Wee jamaa niliwahi kukwambia kuwa huna akili hata kidogo. Ulichoandika kinadhihirisha jinsi ulivyo zuzu na hii inahakisi jamii nzima ya mnaoshabikiana.
Watu kama wewe ikitokea mkafa basi nchi itakuwa imepata faida kubwa sana.
anaweza akawa ni mtu mmoja.Wewe na yule Bia Yetu kimewapata nini leo asubuhi...? Au ni accounts mbili za mtu mmoja..?
Huo ujinga wa kupata nafasi kwa ridhaa ya rais cdm Hawana maana wanaungwa mkono vya kutosha na wananchi. Usitake kuweka mazingira kuwa ww ndio uliwaombea wapitishwe. Tunataka uchaguzi wa haki, wakishinda au kishindwa iwe ni kwa haki na sio kwa utashi wa rais. Tuko radhi cdm wasipate hata Diwani au mbunge mmoja kwa halali, na sio kupata viti 100 kwa kubebwa. Hivyo viti vya mbeleko wapeni wabunge wa NCCR, CUF nk wao ndio hawana uwezo wa kishinda kihalali. Cdm haihitaji hisani yoyote ya ccm maana Ina jeuri ya watu.Hata kama hawatapata kura za kutosha naomba tume na Magufuli tumieni hekima yenu ili wabunge wagombea wafuatao kutoka vyama vya upinzani warudi bungeni. Hili litasababisha nchi yetu kuchangamka kimijadala na pia kufanya selikali isilale.
Itakuwa ni bahati mbaya sana tukikosa kabisa wabunge wa kufanya amsha amsha kwa maendeleo ya taifa letu.
Najua hawa watu hupinga kila kitu ila kwa afya tu ya demokrasia naomba wanachi wa maeneo haya wapigieni kura kwa wingi ili taifa letu lisiwe kama la mabubu hapo baaada ya Oktoba hii:
1. Sugu
2. Joseph Haule
3. Msigwa
4. Mbowe
5. Lema
6. Upendo Peneza
7. Bulaya
8. Mdee
9. Wenje
10. Heche
11. Devotha Minja
12. Ester Matiko
13. Zitto
Nawaombeni sana Tume na Magufuli hawa watu hata wakipata kura kidogo wapelekeni bungeni. Najua hili hata usalama wa taifa watalizingatia sana.
Najua Majimbo mengine nje ya hao
nliowataja CHADEMA hawatapata mbunge hata mmoja hivyo kupita kwao hawa taifa letu litachangamka sana kwenye mijadala mbalimbali.
Na pia mtaisaidia CHADEMA kusavaivu kwenye ruzuku maana Lissu hana nguvu ya kupata kura nyingi kama zile za EL 2015, au mnataka CCM huku bara wabaki peke yao?
Shukrani.
Mkuu chadema mwaka huu ina hali mbaya sana!Huo ujinga wa kupata nafasi kwa ridhaa ya rais cdm Hawana maana wanaungwa mkono vya kutosha na wananchi. Usitake kuweka mazingira kuwa ww ndio uliwaombea wapitishwe. Tunataka uchaguzi wa haki, wakishinda au kishindwa iwe ni kwa haki na sio kwa utashi wa rais. Tuko radhi cdm wasipate hata Diwani au mbunge mmoja kwa halali, na sio kupata viti 100 kwa kubebwa. Hivyo viti vya mbeleko wapeni wabunge wa NCCR, CUF nk wao ndio hawana uwezo wa kishinda kihalali. Cdm haihitaji hisani yoyote ya ccm maana Ina jeuri ya watu.
Mkuu chadema mwaka huu ina hali mbaya sana!
Wasi wasi wangu tunaweza tusiwe na mbunge hata mmoja wa upinzani! Ndio hoja yangu ilipo.
Hata ukinidharau mkuu hainipunguzii kitu!Acha mbunge hata tusipopata diwani, Ila tunataka tushindwe kihalali. Huo ulemavu wa kutegemea kushinda kwa mbeleko bakini nao huo huko ccm. Mwanafunzi mwenye akili hahitaji kununua mtihani. Kwa Uzi huu nimekudharau vibaya sana.
Apo anayeweza kurudi labda no2. Hao wengine hawana ham tena ktk majimbo yao.Hata kama hawatapata kura za kutosha naomba tume na Magufuli tumieni hekima yenu ili wabunge wagombea wafuatao kutoka vyama vya upinzani warudi bungeni. Hili litasababisha nchi yetu kuchangamka kimijadala na pia kufanya selikali isilale.
Itakuwa ni bahati mbaya sana tukikosa kabisa wabunge wa kufanya amsha amsha kwa maendeleo ya taifa letu.
Najua hawa watu hupinga kila kitu ila kwa afya tu ya demokrasia naomba wanachi wa maeneo haya wapigieni kura kwa wingi ili taifa letu lisiwe kama la mabubu hapo baaada ya Oktoba hii:
1. Sugu
2. Joseph Haule
3. Msigwa
4. Mbowe
5. Lema
6. Upendo Peneza
7. Bulaya
8. Mdee
9. Wenje
10. Heche
11. Devotha Minja
12. Ester Matiko
13. Zitto
Nawaombeni sana Tume na Magufuli hawa watu hata wakipata kura kidogo wapelekeni bungeni. Najua hili hata usalama wa taifa watalizingatia sana.
Najua Majimbo mengine nje ya hao nliowataja CHADEMA hawatapata mbunge hata mmoja hivyo kupita kwao hawa taifa letu litachangamka sana kwenye mijadala mbalimbali.
Na pia mtaisaidia CHADEMA kusavaivu kwenye ruzuku maana Lissu hana nguvu ya kupata kura nyingi kama zile za EL 2015, au mnataka CCM huku bara wabaki peke yao?
Shukrani.
Hata ukinidharau mkuu hainipunguzii kitu!
Mimi nataka tume na Magu endapo hao nliowataja hawatapata kura za kutosha wapewe ubunge ili kuchangamsha bunge ambalo litakuwa kimeja wana ccm pekee!
Chadema mwaka huu hali ni mbaya sana mkuu.
Bora umeeleza ukweli. Jiwe ndo anaamua nani anaingia bungeni na nani anagota. Uchaguzi ni gelesha tu!Inaonekana unampenda sana Lissu ila umejificha kwa kivuli cha mbogamboga, maana hadi umemuweka kwenye avatar yako.. Hongera sana.
#NiYeYe2020
Sio kwa kura boss. Sasa hivi tunajitambua kuliko maelezo, tatizo kidogo tu lipo kwa watu kuwa na woga, huo uoga ukiondoka mtacheka kichina.Magu njia ya ikulu ni nyeupe 95%
Kwa hiyo leo ni siku ya mapumziko kwenye hii dona countryNdio wapo uwanja wa taifa kusikiliza sera! Ulitaka waende kumsindikiza Lisu kwenda kununua nyanya kariakoo?
Sidhani kama CDM wanahitaji "busara"ya JPM wanachohitaji ni uchaguzi huru na wa haki. Kama watakosa viti basi tuende mbele bila wao bungeni kwani hiyo ndiyo demokrasiaya JPM na CCM yake waliyotaka. CDM watajipanga upya ikibidi. JPM atafurahi na maisha yataendelea. Kama unataka demokrasia ya vyama vingi iendelee kuonekana basi tubadili hili likatiba libovu na tuwe na katiba inayo akisi vyama vingi siyo hii ya viraka viraka ambayo inapendelea chamadola.Mkuu chadema wana hali mbaya sana!
Wasiwasi wangu tunaweza tusiwe na mbunge hata mmoja wa upinzani ndio maana nikasema rais na tume watumie busara ili demicrasia ya vyama vingi iendelee kuonekana.