Uchaguzi 2020 Kwa afya ya Demokrasia nawaombea kwa Magufuli Wagombea wafuatao warudi bungeni

Crimea kura zispotosha watateuliwa. Serikali ina kazi nyingi sana
Nina uhakika wataunga mkono juhudi zetu

Na maendeleo hayana chama
 

Hao ndiyo wamepita bila kupingwa indirect kwahiyo ni 20:13 hadi sasa
 
B

Bora umeeleza ukweli. Jiwe ndo anaamua nani anaingia bungeni na nani anagota. Uchaguzi ni gelesha tu!
Sometimes mnampa jiwe sifa asizostahili.uwezo huo hana,kwanza hata yeye hatima yale haijui sasa anawezaje amua hatima ya watu wengine?lakini pia kama ana uwezo huu mnaompa hapa,basi itakuwa ni kweli dish lake limeyumba,maana mama yeye ndo anaamua wakati huu akiamua mamilioni ya pesa za walipa kodi ziteketezwe, kama si uendawazimu ni nini?
 
Nikupe gari, nyumba, nikulipe mshahara alafu umtangaze mpinzani
 
Ndio maana nikakwambia mwaka huu hawa warudi maana wasiporudi hali itakuwa mbaya zaidi
Ni kweli, wasiporudi Hali itakuwa mbaya Sana kwa wanyonge.

Huoni unamuaibisha mtetezi wa wanyonge?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…