Kwa aina ya mpira anaocheza Kylian Mbappe, atapotea baada ya kufikisha miaka 30

Kwa aina ya mpira anaocheza Kylian Mbappe, atapotea baada ya kufikisha miaka 30

Benzema aliitwa kwa makubaliano ataanza kucheza kuanzia robo fainal ila mpaka kufikia hatua iyo giroud alikua anafanya vizuri nafikiri kocha aliamua kumtema benzema ili asialibu molali ya giroud ingawa imemgharimu maana game ya fainali baada ya giroud kuchemka hapakua na straiker mwingine wa kuingia ilibidi pale mbele mbappe na thulam wawe wanabadilishana nafasi kila wakati nafikiri angekuwepo benzema uenda ufaransa angekua na uhai zaidi kule mbele especially second half kipindi ambacho aliukamata mchezo
Kombe la dunia sio rahisi kihivyo na huyo benzema amekuwa bora sana msimu mmoja tu tena akiwa na miaka 34. Uamuzi wa kocha nauona ulikuwa sahihi kwasababu benzema hakuwa na match fitness.
 
Hapa unajaribu kumweka Cristiano kwenye level za Messi? Haitakuja kuwezekana tena. Ronaldo afananishwe na wenzie wasiokuwa na world cup.
Sijajaribu hilo na tupo tofauti sana linapokuja suala la burudani ya soka.

Nilifurahia kumtazama Messi anavyocheza bila kujua ana magoli mangapi Uefa, ana mataji mangapi n.k Nafurahia kile anachofanya uwanjani. Ronaldinho alinipa burudani zaidi kuliko Messi na Cr7.

Mambo ya nani zaidi katika rikodi za vikombe na rikodi za makaratasi ni muhimu kwa wachezaji na makampuni ya biashara kuliko kwangu. Kilichomuhimu kwangu ni ile burudani uwanjani. Nadhani hapa ndipo tunapotofautiana.
 
Watu mliokuwa mnaangalia mpira kupitia TBC huwa hamfichiki

Kwa hiyo nawewe ulikuwa unamsikiliza Nazareth Upete na kumuamini?

Eti chenga ya aina moja' we ulitaka awe nazo pea ngapi?
Umejuaje kama Nazareth Upete aliyasema hayo?
 
Kombe la dunia sio rahisi kihivyo na huyo benzema amekuwa bora sana msimu mmoja tu tena akiwa na miaka 34. Uamuzi wa kocha nauona ulikuwa sahihi kwasababu benzema hakuwa na match fitness.
Kuna watu ni muhimu sana inabidi uwaite tu ronaldo msimu huu kala benchi man u na kaitwa, di maria na dybala wameitwa wakitoka kwenye majeruhi world cup iliyopita salah aliumia final ya champions league na bado akaitwa kaanza kicheza mechi ya 3 ya group stage na sio kweli benzema amekua na msimu mzuri mmoja tu sema majukumu yake yalibadilika timu yoyote inakua na mtu wa kumlenga pale mbele ambaye anakua ndio finishing center ya mashamulizi ya timu hapo kabla pale madrid alikwepo ronaldo ila benzema alikua anatimiza majukumu yake vizuri tu vikosi vyote vilivyochukua uefa 4 mfululizo pale madrid benzema alikua anaanza baada ya ronaldo kuondoka ilo jukumu la kuwa finishing centerndio likaangukia mikononi mwa benzema.. benzema amekua na misimu mizuri mingi sana pale madrid sio msimu mmoja tu kilichotokea huo msimu mmoja ni alibadilishiwa majukumu tu
 
Ronaldo ana kundi kubwa sana la watu wanaomchukia kuliko tunavyodhani

Yani pamoja na wao kuchukua kombe lakini bado wanaona haitoshi kumfanyia ridiculous
Wanaomchukia na kumunderrate Ronaldo ni mashbiki wa Messi ,sijawah kumuona mtu ambaye hayuko upande wa Messi au Ronaldo akamuongelea vibaya cr7 .
Si unaona hata huyo mtoa Uzi hampendi Ronaldo team Messi huyo .

Hao ndio team messi
 
Si unaona hata huyo mtoa Uzi hampendi Ronaldo team Messi huyo
Nyie haters mlikuwa mnasubiri kwa hamu ufaransa ashinde siku ile mlete kejeli kwa Messi hivyo hatutawaacha kamwe. Tutaendelea kuwanyoosha.
 
1. Ronaldo hajapotea akiwa na miaka 30, sasas hivi ana miaka 38 na msimu uliopita tu alikuwa anagombania ufungaji bora, mchezaji akifika miaka 38 ni mkubwa sana, malegend wengi wanastaafu chini ya miaka 35.

2. Mbappe hahitaji hata kufika miaka 30 kuweka legacy yake, jamaa ana stats za kutisha sana, kama Rooney, Owen, Neymar na golden boy wengine huwa wanastaafu mapema sababu wameanza kucheza at top level wakiwa wadogo.

View attachment 2452173
COMPUTED STATISTICS FOR EACH PLAYER IN PERCENTAGES (%)
RONALDO 33.66337%​
23.7624%​
TOTAL 57.4257%​
MESSI 53.43511%​
25.9542%​
79.3893%​
MBAPPE
64.28571%​
36.3636%​
100.649%​
 
Di Maria yule mtu na nusu,jana kounde alimshukuru kocha fala wa Argentine kumtoa na kuingia Acuna.

Mbappe anachenga ya aina moja tu na mbio ndio maana jana imemchukua dakika 78 kuanza kuonekana uwanjani.
Di Maria game aliiweza sana ile juzi.
 
Watu mliokuwa mnaangalia mpira kupitia TBC huwa hamfichiki

Kwa hiyo nawewe ulikuwa unamsikiliza Nazareth Upete na kumuamini?

Eti chenga ya aina moja' we ulitaka awe nazo pea ngapi?
We jamaa umenichekesha sana, 🙌.
 
Watu mliokuwa mnaangalia mpira kupitia TBC huwa hamfichiki

Kwa hiyo nawewe ulikuwa unamsikiliza Nazareth Upete na kumuamini?

Eti chenga ya aina moja' we ulitaka awe nazo pea ngapi?
kama chupi za mkewe
 
Jamani striker anastahili yake uchezaji na hata chenga, sio lazima wafanane. Kuna goal better, ambao mnawaita haters sijui na kuna wengine yeye ndiye anaanzisha mashambulizi na kufunga hao ndio akina Ronaldo, Mbappe nk.
 
Back
Top Bottom