Kwa aina ya mpira anaocheza Kylian Mbappe, atapotea baada ya kufikisha miaka 30

Kwa aina ya mpira anaocheza Kylian Mbappe, atapotea baada ya kufikisha miaka 30

Ronaldo tumeshasema afananishwe na wenzie wasiokuwa na world cup kama lewandowski na Ibrahimovic.
Kutumia world cup kama kigezo cha kumbeza ronaldo sio sawa kumbuka mashindano ya namna hii sometimes unaweza kuwa na bahati tu kama messi mwaka huu bado kidogo achukue jiatu kwa penati tu ambazo nyingi hazikua halali., giroud kachukua world cup akiwa hana on target hata moja achilia mbali goli alafu yeye ndo staiker pale mbele juan mata kachukua world cup akiwa hajacheza mechi hata moja, takwimu za messi pamoja na kipaji chake vinatosha kabisa kumfunika ronaldo ila sio hicho kigezo cha kuchukua world cup
 
Tatizo kwa sasa soka ni siasa na biashara sio passion kama zamani na system tayari ishawachagua messi na ronaldo. Yaan messi/ronaldo anatakiwa kuwa na moment moja tu nzuri uwanjani kuwafunika wengine wote na story nzima ikawa juu yake hata kama kuna mchezaji mwingine alikua vzr zaidi yake kwa siku iyo ila story ikiandikwa kupitia jina la messi au ronaldo itapata views nyingi, likes nyingi, shares nyingi n.k... yaan hawa jamaa wawili watundike daruga tu angalao kutakua na usawa kwa kiasi fulni
Kweli kabisa mkuu. Ukijumlisha na makampuni ya betting ndo kabisaaa.
 
Ronaldo tumeshasema afananishwe na wenzie wasiokuwa na world cup kama lewandowski na Ibrahimovic.
Hatuwezi kufurahia walichotupa uwanjani bila sisi kuwa na mahaba mshindo? Halafu kuna wachezaji wengi tu wenye WC na sio wazuri kama Ronaldo, Lewandowski na Ibrahimovic. Kusema Ronaldo ni mzuri hakutabadili mafanikio makubwa aliyoyapata Messi.
Screenshot_20221219-153838_Chrome.jpg
 
Yule mtangazaji ni fala sana😂 Kila sekunde...anatamka (Acuna) akunya akunya akunya hata asipokuwa na mpira.
Mara aongea kiarabu mara kiiraq aah tafrani tu
Yule jamaa ni certified zwazwa, muda mwingi anapiga Umbea badala ya kutangaza mpira
 
Kwanza naye alikuwa haoni vizuri kama sisi tu

Nimeshuhudia matukio mawili akiyatafsiri ndivyo sivyo kulingana na low quality ya streaming

Hadi kwenye sub napo alikuwa anachemka anataja watu wasio husika kama ndio wanaofanya mabadiliko
Hapo kwenye sub ndio nilijua jamaa ni mbungira
 
Na mie team CR7 kisha mbappe. Natamani mbappe ahamie Real madrid
Iwe jua iwe mvua nitasimama na
Mbappe.

Na wale wasiompenda wajiandae kupata heart attack maana Dogo anaendelea kuushangaza ulimwengu.


Our Mbappe
King of Football
#New Generation👌
Ya kale yamepita sasa ni mapya ya mtaalam Kylian🙌🔥🔥
 
Okay,Mkuu Ronaldo ana miaka 38 na bado hajastaafu so mbappe kafananishwa na ronaldo hivyo mpaka miaka hio atakua bado nae kiwango kipo juu
Cristiano ana miaka 37 sawa na Modric.
 
Mkuu nitafutie uzi nilioanzisha humu JF kumponda Messi kama mleta mada anavyo mshambulia Ronaldo kwa kisingizio cha mbappe

Yanii ulivyoumia ni either hii ID ni fekero la mleta mada au ni demu wa mleta mada umeumizwa na mashambulizi anayopokea bwana ako take a chill pill shostie
Kwa nini unataka kuonesha mtoa Mada ana chuki na Mbappe? Umesoma comments zako mbona zinaonesha una chuki na Messi pia? Na hatusemi?
 
Team mbeleko huyu jamaa mkampora ballon yake ili daima msimuweke kwenye hio kategory unayoitaja. Punguza chuki kwa kijana anayekuzidi mafanikio
Nani kaporwa ballon d'or?
 
Mleta mada anatakiwa asome comment yako,chuki yake kwa mbappe ni kubwa mno. Hivyo anatamani kijana apotee kama uliowasema wamepotea ila kakosea kufahamu christiano hajapotea kwenye miaka 30
Mbappe ni fowadi wa ufaransa ambayo huwa nashabikia hivyo siwezi kumchukia. Argentina nilisimama nao mwaka huu kwa ajili ya Messi.
 
Nimekuongezea miaka yake ili ufurahi mkuu lakini kwa miaka hio bado hajaisha kama unavyodai pole.

Anyway modric jembe la chama langu real madrid bado anaupiga mwingi
Cristiano ana miaka 37 sawa na Modric.
 
Back
Top Bottom