Kwa aina ya mpira anaocheza Kylian Mbappe, atapotea baada ya kufikisha miaka 30

Kwa aina ya mpira anaocheza Kylian Mbappe, atapotea baada ya kufikisha miaka 30

Wewe ni Tuisila Kisinda mkuu?
Naongea uhalisia wangu..
Napenda mpira KWA sababu nimecheza toka mtoto mpaka leo japo sio level za juu, Naelewa mabadiliko ya kiuchezaji umri unapo songa mbele, Zamani nilikuwa nacheza kiungo mkabaji namba 6 ile ya kukata umeme katika umri wa uvulana, kila miaka inavyosogea nguvu na kasi ya kukaba inapungua....mpaka nikaamua mwenyewe kucheza pembeni winga, huwezi kupimana upepo na watoto ambao bado viungo vyao havijachoka.....uta aibika,

Kasi ya mchezaji inapungua kadri umri unayoongezeka.

Mkuu mimi naupiga mwingi mpaka leo japo nishakuwa veterani,ungekuwa huku nilipo ningekuonesha uwezo nilio nao miguuni kwangu japo hatukupata Nafasi ya kuonekana😄😄😄

Ball linatembea mkuu⚽⚽⚽⚽
 
Naongea uhalisia wangu..
Napenda mpira KWA sababu nimecheza toka mtoto mpaka leo japo sio level za juu, Naelewa mabadiliko ya kiuchezaji umri unapo songa mbele, Zamani nilikuwa nacheza kiungo mkabaji namba 6 ile ya kukata umeme katika umri wa uvulana, kila miaka inavyosogea nguvu na kasi ya kukaba inapungua....mpaka nikaamua mwenyewe kucheza pembeni winga, huwezi kupimana upepo na watoto ambao bado viungo vyao havijachoka.....uta aibika,

Kasi ya mchezaji inapungua kadri umri unayoongezeka.

Mkuu mimi naupiga mwingi mpaka leo japo nishakuwa veterani,ungekuwa huku nilipo ningekuonesha uwezo nilio nao miguuni kwangu japo hatukupata Nafasi ya kuonekana😄😄😄

Ball linatembea mkuu⚽⚽⚽⚽
Je ulicheza ligi kuu? Au daraja la kwanza?

Then vipi kuhusu ngono ukifanya Sana , inaua performance?
 
Okay,Mkuu Ronaldo ana miaka 38 na bado hajastaafu so mbappe kafananishwa na ronaldo hivyo mpaka miaka hio atakua bado nae kiwango kipo juu
Sio uhakika,kufanishwa wamefananishwa wengi lakini wako wapi?
Kina Jack Wilshare wamefananishwa na kina Xavi Hernandez lakini hayupo tena kwenye ramani ya soka na bado ni kijana,Kikubwa tu ni yeye mwenyewe kuwa na nidhamu ya soka lake alilinde vipi mpaka aweze kudumu kuchukua KWA muda mrefu kama Ronaldo,Modric,Zlatan,Buffon na wengine waliokipiga zaidi ya miaka 35.

Mbape ni mchezaji wa kiwango cha juu KWA sasa Dunia...namkubali ana kitu kikubwa katika miguu na kichwa chake sio wa kumbeza kama ni mtu wa mpira huwezi kumkataa Mbape au Ronaldo hawa wameonyesha vitu vikubwa walivyo navyo.
 
Kila nikimuangalia huyu mchezaji ninaona anatumia mbio nyingi na ndio mafanikio yake yapo hapo.

Akishavuka miaka 30 hataweza kukimbia kwa kasi ya sasa hivi na hapo atapotea kama alivyopotea Christiano.
Ngoja tuendelee kumtizama...
 
Je ulicheza ligi kuu? Au daraja la kwanza?

Then vipi kuhusu ngono ukifanya Sana , inaua performance?
SIJACHEZA LEVEL ZA JUU MKUU...
INATEGEMEA NA MTU...ILA KUNA WENGINE BILA KUGONGA HAWANA CHOCHOTE UWANJANI....WENGINE WANAPOTEA KWA SABABU YA KUGONGA.
 
Mleta mada anatakiwa asome comment yako,chuki yake kwa mbappe ni kubwa mno. Hivyo anatamani kijana apotee kama uliowasema wamepotea ila kakosea kufahamu christiano hajapotea kwenye miaka 30
Sio uhakika,kufanishwa wamefananishwa wengi lakini wako wapi?
Kina Jack Wilshare wamefananishwa na kina Xavi Hernandez lakini hayupo tena kwenye ramani ya soka na bado ni kijana,Kikubwa tu ni yeye mwenyewe kuwa na nidhamu ya soka lake alilinde vipi mpaka aweze kudumu kuchukua KWA muda mrefu kama Ronaldo,Modric,Zlatan,Buffon na wengine waliokipiga zaidi ya miaka 35.

Mbape ni mchezaji wa kiwango cha juu KWA sasa Dunia...namkubali ana kitu kikubwa katika miguu na kichwa chake sio wa kumbeza kama ni mtu wa mpira huwezi kumkataa Mbape au Ronaldo hawa wameonyesha vitu vikubwa walivyo navyo.
 
Ronaldinho ndiye ana hizo raha zote uwanjani, MISS PENATI wenu hata kama angechukua balloon D'O mara trilioni bado sitamkubali kamwe hadi niingie mbinguni [emoji38]
Aaah sio issue ataYessu na Mtume Muhammad (S.W) walipingwa na baadhi ya watu iweje Messi akubaliwe na wote?
 
Kila nikimuangalia huyu mchezaji ninaona anatumia mbio nyingi na ndio mafanikio yake yapo hapo.

Akishavuka miaka 30 hataweza kukimbia kwa kasi ya sasa hivi na hapo atapotea kama alivyopotea Christiano.

Golkipa alikuwa anayafata mashuti yake lakini zilikuwa za moto!
Je akifisha 30 si atavunja magolkipa mikono
 
Kwa hyo Mbappe ana UEFA cup kweny huo umri mkuu?acha kutupiga kamba bana
Angalia katika umri huo wa 23 Pessi alikuww na magoli mangapi plus assists, na kingine cha kuongeza ni kuwa katika umri huo tayari Mbappe alikuwa ana WC
 
Mleta mada anatakiwa asome comment yako,chuki yake kwa mbappe ni kubwa mno. Hivyo anatamani kijana apotee kama uliowasema wamepotea ila kakosea kufahamu christiano hajapotea kwenye miaka 30
Kwa nini unataka kuonesha mtoa Mada ana chuki na Mbappe? Umesoma comments zako mbona zinaonesha una chuki na Messi pia? Na hatusemi?
 
Tangu mpate baby mpya wengine tunaonekana mazezeta
Iwe jua iwe mvua nitasimama na
Mbappe.

Na wale wasiompenda wajiandae kupata heart attack maana Dogo anaendelea kuushangaza ulimwengu.


Our Mbappe
King of Football
#New Generation👌
Ya kale yamepita sasa ni mapya ya mtaalam Kylian🙌🔥🔥
 

Attachments

  • JamiiForums1326404544.jpeg
    JamiiForums1326404544.jpeg
    181.9 KB · Views: 1
Back
Top Bottom