GIRITA
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 4,432
- 5,864
KWA nini uangalie mechi kupita Tbccm kijana hapo unafeli mwenyewe tibiccm wanaubovu wa kudumuWanasema mpira wetu kivyetu vyetu
Yani wanataka kujitofautisha na commentators wa huko ulaya kwa kuongeza uswahili
Unaweza kuta mtangazaji anaacha kutangaza kile kinachofanyika uwanjani akajikita kwenye kampeni za CCM