Kwa aina ya mpira anaocheza Kylian Mbappe, atapotea baada ya kufikisha miaka 30

Kwa aina ya mpira anaocheza Kylian Mbappe, atapotea baada ya kufikisha miaka 30

Hapana hakuwa nayo ila alishakuwa na UCL na Ballon d'or ambazo mbappe hana. Mbappe hata Euro hana. Hana super cup wala club world. Hajawahi kugusa tuzo ya FIFA best player of the year wala ile ya UEFA kwahiyo bado ni mtoto sana kwa king Messi.
Kwanini MISS PENATI alilalamikiwa tuzo zake zote za balloon D'O 2010 & 2020 ambapo ilipaswa wapewe Iniesta na Lewandosky [emoji848]

Mchezaji yupi aliwahi kulalamikiwa kupewa tuzo ya mchezaji bora wa dunia tangu kuanzishwa kwa mpira tofauti na MISS PENATI pekee [emoji848]

MISS PENATI ni BEBWA BEBWA tupu bila mbeleko ni Kibu Denis aliyechangamka tu [emoji28]
View attachment 2452286View attachment 2452287View attachment 2452288
 
Tofauti na Man U wapi tena aligombana na kocha?
MISS PENATI mwenyewe mbona ana ego kibao, tena hata PSG kashagombana na Kocha mara kibao lakini sababu Jamaa ni Litaahira linakaza tu fuvu kumwona MISS PENATI kama malaika vile [emoji847]
JamiiForums-1394873182.jpg
JamiiForums-201325086.jpg
 
Sasa kwa uwezo wa Messi kwenye kabumbu unaanzaje kum criticize. Mtu anakila kitu Ball balance, ball skills and ball brain. Yule ata akikaa miaka miwili bila ya kutrain akiingia uwanjan still ataweza kufanya maajabu tofauti na hao wachezaji wengine manguvu kibao wakifika 30+ wanakuwa maflop
Watu wafupi mnateseka sana kukaza mafuvu kwamba Mtu yeyote ana mahaba niuwe na huyo MISS PENATI wenu [emoji3526]
 
Kiuhalisia Mbape anatumia nguvu nyingi sana akiwa na Mpira! Messi so soft mpira wake unaweza sema vitu rahisi anavyofanya uwanjan!
Ronaldinho ndiye ana hizo raha zote uwanjani, MISS PENATI wenu hata kama angechukua balloon D'O mara trilioni bado sitamkubali kamwe hadi niingie mbinguni [emoji38]
 
Kila nikimuangalia huyu mchezaji ninaona anatumia mbio nyingi na ndio mafanikio yake yapo hapo.

Akishavuka miaka 30 hataweza kukimbia kwa kasi ya sasa hivi na hapo atapotea kama alivyopotea Christiano.

Chanzo cha umaskini wa wa Africa ni kuhangaika na maisha ya watu.
 
Wanasema mpira wetu kivyetu vyetu

Yani wanataka kujitofautisha na commentators wa huko ulaya kwa kuongeza uswahili

Unaweza kuta mtangazaji anaacha kutangaza kile kinachofanyika uwanjani akajikita kwenye kampeni za CCM
Unasemaje kuhusu TBC kukuletea na kukuonesha bureee kabisa michuano hii ya kombe la dunia?😀
 
Christiano Ronaldo ni mchezaji bora sanaaa lkn kwa akili za kibongo na mess kupata World Cup [emoji3047] akili zimeishia hapo.
 
Kila nikimuangalia huyu mchezaji ninaona anatumia mbio nyingi na ndio mafanikio yake yapo hapo.

Akishavuka miaka 30 hataweza kukimbia kwa kasi ya sasa hivi na hapo atapotea kama alivyopotea Christiano.
Inategemea na nidhamu yake kwenye mazoezi na misosi.

Ronaldo mpaka miaka 35 bado alikuwa wa moto,sababu jamaa ana nidhamu kubwa ya kuutunza mwili wake kwa chakula na mazoezi.
 
Okay,Mkuu Ronaldo ana miaka 38 na bado hajastaafu so mbappe kafananishwa na ronaldo hivyo mpaka miaka hio atakua bado nae kiwango kipo juu
Hapa hawaongelei hela...wanaongelea kiwango chake kudumu muda mrefu...sio mambo ya pesa....Mbape akiacha kucheza mpira leo hii bado atqbaki na ubilionea wake daima.
 
Kweli wewe ni wamilembe,unasema CR7 kapotea mapema?, mpaka sasa hivi ana miaka mingapi? Nitajie wachezaji wawili tu waliochukua bal'ndio alafu wakacheza mda mrefu Kama Cr7
 
Team mbeleko huyu jamaa mkampora ballon yake ili daima msimuweke kwenye hio kategory unayoitaja. Punguza chuki kwa kijana anayekuzidi mafanikio
Nimesema angalau world cup moja halafu hapo uongeze na vigezo vingine kama copa america, club world, ballon d'or angalau tatu, FIFA player of the year angalau tatu, UCL angalau tatu.

Hapo Messi peke yake anakidhi vigezo.
 
Watu wengi wanaowachukia Messi au CR7 huwa ni kwa sababu zao binafsi na sio kwa sababu za kiufundi...

Unakuta wengi mashabiki wa timu pinzani zilizowahi kuadhibiwa na hao jamaa...
 
Watu mliokuwa mnaangalia mpira kupitia TBC huwa hamfichiki

Kwa hiyo nawewe ulikuwa unamsikiliza Nazareth Upete na kumuamini?

Eti chenga ya aina moja' we ulitaka awe nazo pea ngapi?
Sasa Kama wewe ukuangalia mpira kupitia tbc ulijuaje kama hayo maneno kasema Nazareth Upete..
 
Back
Top Bottom