Kiumbe Kitakachoushangaza ulimwengu ni E Haaland.Iwe jua iwe mvua nitasimama na
Mbappe.
Na wale wasiompenda wajiandae kupata heart attack maana Dogo anaendelea kuushangaza ulimwengu.
Our Mbappe
King of Football
#New Generation👌
Ya kale yamepita sasa ni mapya ya mtaalam Kylian🙌🔥🔥