Pre GE2025 Kwa aina ya Siasa anazofanya Tundu Lissu, hata akigombea Ubunge hapati

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
relax,
binafsi kazi yangu nimemaliza vizuri, nimekuandaa kisaikolojia vizuri kwa akipigwa chini ubunge nilikujulisha mapema, kugimbea urasi Chadema nako akipigwa chini nimeshakuajulisha mapema,

so sitegemei athari zozote za kisaikolojia kwa mfuasi yeyote wa Lisu sawa πŸ’

na hivyo ndivyo atakavyohitimisha safari yake ya siasa kwa fedheha sana kwasabb ya papara zake πŸ’
 
Ccm yamejaa majinga ndio maana badala kushawishi wananchi mmebaki kuunda Karakana za kuuwa watu chang'ombe wajinga kabisa
 
Hiyo uliyoandaa ni takataka katupe shambani au wahusishe watoto wenzako. Unazidi kujidhalilisha tu unaandika ujinga halafu mwenyewe umekomalia kuwa hayo ni madini ni wendawazimu tu huo.
 
Mbona anayesema hivyo hata ujumbe wa nyumba kumi hapati?
 
sasa mwenye first class brain mbona unababaika na mimi personally badala ya kudeal na kodeconstruct hoja ya msingi? hiyo ni blunders no1 na uthibitisho kwamba umefikia ukomo wako wa mawazo mapya na fikra mbadala...

mimi ni mtumishi mnyonge sana lakini mchapakazi hodari sana wa wananchi,

na kwahivyo ifahamike kwamba ninao wajibu mkubwa, mzito na muhimu zaidi kwa maslahi mapana ya waTanzania wote,

na ndio maana naeleza ukweli bila kificho mchana kweupe bila mbambamba na sihitaji hata senti moja kutoka popote...

na ndrugu yangu kamanda Bams sina maana kwamba wewe na wengine wakubaliane na ukweli huu,

cha muhimu zaidi,
mimi kama mbobezi wa mambo haya nimetekeleza wajibu wangu kitaalamu na kimkakati kuwaandaa kisaikolojia kwamba huyo myungwana akikubali ubunge hatapata singida lakini kugombea urasi kupitia Chadema asahau..

muweke hii kwenye record msijesema mtaalamu sikusema πŸ’
 
Kama mko kwenye kupima maji, mkiwa wakweli:

"mnao mrejesho wa kumvunja moyo mno aliyewatuma."
so,
umevunjika moyo sana Dr.Samia Suluhu Hassan kupeleke huduma za kijamii kama maji, umeme, kilimo, afya, elimu, biashara, ulinzi, usalama n.k mpaka kule chini kwa common mwananchi,

na kwamba hakuna hoja tena kwamba mambo yote yamefanywa na huyu kipenzi cha waTanzania wote Rais Dr Samia Suluhu Hassan, right?πŸ’
 
Mbona anayesema hivyo hata ujumbe wa nyumba kumi hapati?
unazungumzia huyu mtoa hoja mbobevu, kiongozi muandamizi wa wanainchi mwenye dhamana nzito na muhimu sana kwa maslahi mapana ya waTanzania wote?πŸ’
 
unazungumzia huyu mtoa hoja mbobevu, kiongozi muandamizi wa wanainchi mwenye dhamana nzito na muhimu sana kwa maslahi mapana ya waTanzania wote?πŸ’
Hapana ila ni huyu anayeuliza na kujimwambafai.
 
Ni chawa tu anayeishi kwa matumaini yakuteuliwa.
of course hata yeye mwenyewe amegundua hilo na hana matumaini kabisa kwamba atapewa fursa ya kugombea urasi kupitia Chadema...

singida ndio wamemgomea kikatili zaid dah πŸ’
 
Hiyo uliyoandaa ni takataka katupe shambani au wahusishe watoto wenzako. Unazidi kujidhalilisha tu unaandika ujinga halafu mwenyewe umekomalia kuwa hayo ni madini ni wendawazimu tu huo.
sasa si ungekuja na dustbin ndrugu yangu ulie timamu 🀣

sasa unakuja na mihemko na makasiriko kwenye hoja ya maana kama hii kweli? uko sawa kweli ama umefikia kiwango chako cha mwisho cha mawazo mapya na fikra mbadala?

au ndio unafanya mazoezi ya kupandisha mori ili uanze kuyaporomosha? alaaaaaπŸ’
 
Ccm yamejaa majinga ndio maana badala kushawishi wananchi mmebaki kuunda Karakana za kuuwa watu chang'ombe wajinga kabisa
kwahiyo muerevu umebaki na kutia huruma, mihemko na ghadhab tu, dah 🀣
 
Kwa aina ya tume yenu ya uchaguzi iliyopo, hata Rais aliyeko madarakani sasa akigombea nafasi yoyote mfano ubalozi wa nyumba 10, udiwani, ubunge, nk kupitia chama cha upinzani; na yeye hawezi kushinda.
Babuu mamboo😘😘😘😘πŸ₯°πŸ˜πŸ˜˜πŸ€©πŸ˜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…