Pre GE2025 Kwa aina ya Siasa anazofanya Tundu Lissu, hata akigombea Ubunge hapati

Pre GE2025 Kwa aina ya Siasa anazofanya Tundu Lissu, hata akigombea Ubunge hapati

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hakuna research umefanya wewe umeandika utoto tu ulioongozwa na chuki kwa Lissu na upinzani . Lissu amekuwa Mbunge kwa vipindi viwili hadi pale Magufuli alipoamua auwawe kwa kupigwa risasi jambo ambalo halikufanikiwa. Uliyoandika yote ni upupu tu unaongozwa na njaa na uchawa wako.
relax,
binafsi kazi yangu nimemaliza vizuri, nimekuandaa kisaikolojia vizuri kwa akipigwa chini ubunge nilikujulisha mapema, kugimbea urasi Chadema nako akipigwa chini nimeshakuajulisha mapema,

so sitegemei athari zozote za kisaikolojia kwa mfuasi yeyote wa Lisu sawa 🐒

na hivyo ndivyo atakavyohitimisha safari yake ya siasa kwa fedheha sana kwasabb ya papara zake 🐒
 
Ikitokea akakubali ushauri wa wazee wa Singida eti agombee Ubunge kwenye miongoni mwa majimbo yaliyomo mkoani Singida, Tundu Lisu atashidwa vibaya mno ikiwa atagombea Urais wa Tanzania, huku uwezekano wa kupewa nafasi hiyo ndani ya chama chake CHADEMA ukiwa finyu na mdogo sana.

Siasa zake za kulalamika, kuomba omba kuchangiwa, kuonewa huruma, imotional stori telling with hopeless and empty promises zimewafanya wanachama wa chama chake wengi kubadilisha uelekeo na uamuzi na kuamua kumuunga mkono kiongozi na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.

Aina hiyo ya siasa yamewafedhehesha na kuwavunja moyo sana watu wachapakazi wa Singida kwa sababu wao hawana tabia ya kuomba omba, na kwahivyo hawamuamini na wala hawataki kubeba aibu zaidi hiyo aliyowapa inatosha.

Soma Pia:
Hata hiyo,
Tundu Lisu hana sera mahususi tena, hana uelekeo kabisa, kapoteza credibility completely kwa Umma nadhani hata yeye amegundua hilo ndio maana sasa anajarbu tu kupambana kudhibiti kila hoja anayoibua Mwenyekiti wake ili yeye ndio awe relevant zaidi mitandoni.

Kwakweli anaelekea kukata tamaa kabisaa.

Actually,
Mwenyekiti wake anampendelea zaidi Dr.Slaa kua mgombea Urasi wa CHADEMA zaidi ya mtu mwingine yeyote 🐒
Ccm yamejaa majinga ndio maana badala kushawishi wananchi mmebaki kuunda Karakana za kuuwa watu chang'ombe wajinga kabisa
 
relax,
binafsi kazi yangu nimemaliza vizuri, nimekuandaa kisaikolojia vizuri kwa akipigwa chini ubunge nilikujulisha mapema, kugimbea urasi Chadema nako akipigwa chini nimeshakuajulisha mapema,

so sitegemei athari zozote za kisaikolojia kwa mfuasi yeyote wa Lisu sawa 🐒

na hivyo ndivyo atakavyohitimisha safari yake ya siasa kwa fedheha sana kwasabb ya papara zake 🐒
Hiyo uliyoandaa ni takataka katupe shambani au wahusishe watoto wenzako. Unazidi kujidhalilisha tu unaandika ujinga halafu mwenyewe umekomalia kuwa hayo ni madini ni wendawazimu tu huo.
 
Ikitokea akakubali ushauri wa wazee wa Singida eti agombee Ubunge kwenye miongoni mwa majimbo yaliyomo mkoani Singida, Tundu Lisu atashidwa vibaya mno ikiwa atagombea Urais wa Tanzania, huku uwezekano wa kupewa nafasi hiyo ndani ya chama chake CHADEMA ukiwa finyu na mdogo sana.

Siasa zake za kulalamika, kuomba omba kuchangiwa, kuonewa huruma, imotional stori telling with hopeless and empty promises zimewafanya wanachama wa chama chake wengi kubadilisha uelekeo na uamuzi na kuamua kumuunga mkono kiongozi na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.

Aina hiyo ya siasa yamewafedhehesha na kuwavunja moyo sana watu wachapakazi wa Singida kwa sababu wao hawana tabia ya kuomba omba, na kwahivyo hawamuamini na wala hawataki kubeba aibu zaidi hiyo aliyowapa inatosha.

Soma Pia:
Hata hiyo,
Tundu Lisu hana sera mahususi tena, hana uelekeo kabisa, kapoteza credibility completely kwa Umma nadhani hata yeye amegundua hilo ndio maana sasa anajarbu tu kupambana kudhibiti kila hoja anayoibua Mwenyekiti wake ili yeye ndio awe relevant zaidi mitandoni.

Kwakweli anaelekea kukata tamaa kabisaa.

Actually,
Mwenyekiti wake anampendelea zaidi Dr.Slaa kua mgombea Urasi wa CHADEMA zaidi ya mtu mwingine yeyote 🐒
Mbona anayesema hivyo hata ujumbe wa nyumba kumi hapati?
 
Kama hujawahi kuambiwa, ni budi tukueleze ukweli.

Wewe ni low IQ. Kwa sababu huna reasoning ability, unahangaika kuweka upuuzi wa kila aina ili tu urushiwe hivyo vielfu kumi kumi upate kuishi. Ufahamu kuwa, hakuna mtu mwenye hata average IQ ambaye anaweza kukubali kuwa chawa. Kuwa chawa inamaanisha huna njia nyingine ya kuishi zaidi ya kutafuta watu wa kukurushia hivyo vielefu kumi kumi kwa gharama ya kudhalilisha utu wako. Ungekuwa japo na akili kidogo, kabla hujaleta hii mada dhaifu, ungejiuliza:

1) Kama unayotaka kuyaandika, ni habari au hisia?

2) Kama ni habari, chanzo cha habari ni nini?

3) Kama ni hisia, je, hisia zimejengwa kwa misingi ya kisayansi kwa kuzingatia matokeo ya utafiti wowote?

3) Kama ni matamanio yako, je, matamanio hayo yana backup yoyote kama vile historia na matokeo ya tafiti za karibuni, etc? Au ni matamanio hewa?

4) Kama ni matamanio hewa, unaowapelekea wana akili kidogo kama wewe kiasi cha kuwafanta waamini kuwa matamanio yako ndiyo ihalisia?

Kwa kuwa haya yote hukujiuliza, basi ni dhahiri, IQ yako ipo below average low.
sasa mwenye first class brain mbona unababaika na mimi personally badala ya kudeal na kodeconstruct hoja ya msingi? hiyo ni blunders no1 na uthibitisho kwamba umefikia ukomo wako wa mawazo mapya na fikra mbadala...

mimi ni mtumishi mnyonge sana lakini mchapakazi hodari sana wa wananchi,

na kwahivyo ifahamike kwamba ninao wajibu mkubwa, mzito na muhimu zaidi kwa maslahi mapana ya waTanzania wote,

na ndio maana naeleza ukweli bila kificho mchana kweupe bila mbambamba na sihitaji hata senti moja kutoka popote...

na ndrugu yangu kamanda Bams sina maana kwamba wewe na wengine wakubaliane na ukweli huu,

cha muhimu zaidi,
mimi kama mbobezi wa mambo haya nimetekeleza wajibu wangu kitaalamu na kimkakati kuwaandaa kisaikolojia kwamba huyo myungwana akikubali ubunge hatapata singida lakini kugombea urasi kupitia Chadema asahau..

muweke hii kwenye record msijesema mtaalamu sikusema 🐒
 

Attachments

  • IMG_20230730_055342.jpg
    IMG_20230730_055342.jpg
    52.7 KB · Views: 1
Kama mko kwenye kupima maji, mkiwa wakweli:

"mnao mrejesho wa kumvunja moyo mno aliyewatuma."
so,
umevunjika moyo sana Dr.Samia Suluhu Hassan kupeleke huduma za kijamii kama maji, umeme, kilimo, afya, elimu, biashara, ulinzi, usalama n.k mpaka kule chini kwa common mwananchi,

na kwamba hakuna hoja tena kwamba mambo yote yamefanywa na huyu kipenzi cha waTanzania wote Rais Dr Samia Suluhu Hassan, right?🐒
 
Mbona anayesema hivyo hata ujumbe wa nyumba kumi hapati?
unazungumzia huyu mtoa hoja mbobevu, kiongozi muandamizi wa wanainchi mwenye dhamana nzito na muhimu sana kwa maslahi mapana ya waTanzania wote?🐒
 
Ni chawa tu anayeishi kwa matumaini yakuteuliwa.
of course hata yeye mwenyewe amegundua hilo na hana matumaini kabisa kwamba atapewa fursa ya kugombea urasi kupitia Chadema...

singida ndio wamemgomea kikatili zaid dah 🐒
 
Hiyo uliyoandaa ni takataka katupe shambani au wahusishe watoto wenzako. Unazidi kujidhalilisha tu unaandika ujinga halafu mwenyewe umekomalia kuwa hayo ni madini ni wendawazimu tu huo.
sasa si ungekuja na dustbin ndrugu yangu ulie timamu 🤣

sasa unakuja na mihemko na makasiriko kwenye hoja ya maana kama hii kweli? uko sawa kweli ama umefikia kiwango chako cha mwisho cha mawazo mapya na fikra mbadala?

au ndio unafanya mazoezi ya kupandisha mori ili uanze kuyaporomosha? alaaaaa🐒
 
Ccm yamejaa majinga ndio maana badala kushawishi wananchi mmebaki kuunda Karakana za kuuwa watu chang'ombe wajinga kabisa
kwahiyo muerevu umebaki na kutia huruma, mihemko na ghadhab tu, dah 🤣
 
Kwa aina ya tume yenu ya uchaguzi iliyopo, hata Rais aliyeko madarakani sasa akigombea nafasi yoyote mfano ubalozi wa nyumba 10, udiwani, ubunge, nk kupitia chama cha upinzani; na yeye hawezi kushinda.
Babuu mamboo😘😘😘😘🥰😍😘🤩😍
 
Back
Top Bottom