Pre GE2025 Kwa aina ya Siasa anazofanya Tundu Lissu, hata akigombea Ubunge hapati

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
kama kusema ukweli ni kujiabisha basi nadhani nitafanya bidii zaidi ili niabike sana...

by the way,
ulichoandika hakina uhusiano hata kidogo na Lisu kukataliwa singida na kupigwa chini kugombea urasi kupitia Chadema πŸ’
 
Duh,
Hapa ni ama pesa ya Abdul inafanya kazi au uliwahi kuhisi TL kukut#mbea, maana siyo kwa kumuandama huku!!!
hapana,
singida wamemkataa kabisa wanadai ana omba sana kuchangiwa,

chadema wanamuona kama ni puppet tu anaetaka kuvuruga chama chao halafu atembee mbele πŸ’
 
kama kusema ukweli ni kujiabisha basi nadhani nitafanya bidii zaidi ili niabike sana...

by the way,
ulichoandika hakina uhusiano hata kidogo na Lisu kukataliwa singida na kupigwa chini kugombea urasi kupitia Chadema πŸ’
Huwezi kushinda kwa hicho chama kimeshajidhalilisha vyakutosha na sasa hivi wanakuwa hawajiamini wapo wapo. Tu na wanatukana tukana kwa sasa wananchi wamejichokea wapo wapo tu na tshirts zao za kijani
 
hapana,
singida wamemkataa kabisa wanadai ana omba sana kuchangiwa,

chadema wanamuona kama ni puppet tu anaetaka kuvuruga chama chao halafu atembee mbele πŸ’
Vipi kuhusu Tume Huru ya uchaguzi, kwa nini mnaiogopa mno?
 
Unazani kwanini Mh.Prezda aliwashauri wamwite yule SIMBA DUME jina la Tundu Lissu?

Ingali kulikuwa na wanyama wengine?

Akachagua simba.
 
ni muhimu zaidi kuandikia uzi maalumu juu ya hilo bila kuathiri hoja mahususi iliyopo mezani πŸ’
Haha,
Hoja ipi hapa bro?
Au unapenda tu kujaza server bila sababu ya msingi?
Ili kuokoa muda, niwaombe mods waunganishe huu uzi na ule wa..
 
unatafuta ban kinguvu, unakebehi kazi za watu au unawafundisha watu kazi zao right?πŸ’

ukifikia ukomo wako wa mawazo mapya na fikra mbadala unapumzika tu πŸ’
 
Huyo anayewalipa naye atakua hajielewi.
 
Unazani kwanini Mh.Prezda aliwashauri wamwite yule SIMBA DUME jina la Tundu Lissu?

Ingali kulikuwa na wanyama wengine?

Akachagua simba.
ni kwakua anapigwa chini ubunge singida, anapigwa chini nafasi ya kugombea urais kupitia Chadema,

na kwahivyo walau kuwe na kumbukumbu yake huko kwenye hifadhi za Taifa za wanyama πŸ’
 

johnthebaptist kumbusha madogo hawa:

Your browser is not able to display this video.


Huyu si ndugu yule nabii wa Arusha au wale kina yakhe wengine.

Ukweli mchungu:

"Muda wa kumwangukia vilivyo mzee wa mia kenda, aka mzee Tobiko... !"
 
Huwezi kushinda kwa hicho chama kimeshajidhalilisha vyakutosha na sasa hivi wanakuwa hawajiamini wapo wapo. Tu na wanatukana tukana kwa sasa wananchi wamejichokea wapo wapo tu na tshirts zao za kijani
nadhani,
nimetekeleza wajibu wangu vyema kuwaandaa kisaikolojia baada ya huyo muungwana kupigwa chini ubunge na kupigwa chini kugombea urasi kupitia Chadema...

sasa hivi mtakua mnaenda kumtembelea ndugu yake huko mbugani ili kukuza utalii wa ndani πŸ’
 
Kwa ujinga wa kusifia jimama ulionao hata D hukupata
 
Unaonyesha utoto tu katika hii mada, hujui kitu na kamwe hutajua wala kuelewa. Unakaza fuvu kwa jambo usilolielewa wala lisilokuhusu ni aina ya ukichaa.
 
Unaonyesha utoto tu katika hii mada, hujui kitu na kamwe hutajua wala kuelewa. Unakaza fuvu kwa jambo usilolielewa wala lisilokuhusu ni aina ya ukichaa.
mtu mzima umepanic dah 🀣
 
Siwezi kupanic kwa hizi ngonjera zako ila nakucheka kwa dharaaaau kwa huu utoto unaofanya. Ni mpumbavu tu anayeweza kuuamini.
unyesha utu uzima wako sasa kwa mawazo mapya na fikra mbadala dhidi ya hoja mezani,

lakini pia kama ni upumbavu onyesha uerevu basi dhidi ya hoja hiyo mahususi mezani,

vinginevyo mihemko na ghadhabu ni ushirikiana tu kama uchawi yaani πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…